Kama Sabaya alikuwa na karakana ya kutesea watu, mbona Mbowe hakusema alipokuwa Bungeni?

Tumia common sense, kupelekwa mahakamani ndio kupata haki?
 
Hakika bi.Kirembwe ameacha mazuzu wengi sana
 
Hakika
 
Changu wewe ndowale uvccmiz mazaa kasema mnachojua ni kujikomba kwa viongozi badala ya kujenga hoja na kuongea Sera eti?? Unayemtetea anaenyeshwa hko nenda kamtoe ukae wewe mjinga uliwe!! Aliyemtuma kadanja ndomjifunze kumtegemea Mungu sio binadam shwain... Hoja zako zakijinga hazihitaji kujibiwa bali kupuuzwa!! Kwataarifa yako DG pccbii alikuwa RPsii Klm pindi Huyo shogako anatesa watu.
 
Ukiwa mtu usiye na akili taabu tunayopata ni sisi wasomaji.
 
Tumia common sense, kupelekwa mahakamani ndio kupata haki?
Sasa haki inapatikana wapi kwa mtu anayeshikiliwa kwa tuhuma za jinai kama Lengai Ole Sabaya?

Hapa ni nani anayetakiwa kutumia hiyo common sense!!
 
Hivi wewe angefanya ivo simngekuja hapa mnalia lia kuwa anajiliza kuonewa huruma jimbo linaenda kuwa kazidiwa ama

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Sasa haki inapatikana wapi kwa mtu anayeshikiliwa kwa tuhuma za jinai kama Lengai Ole Sabaya?

Hapa ni nani anayetakiwa kutumia hiyo common sense!!
Tofuatisha mahakama kutenda haki na mtu kufikishwa mahakamani. Umepata jibu nani anatakiwa kutumia akili ya kuzaliwa.
 
..."ukinywa sumu, usitegemee afe mtu mwingine mzee"... 7ya anakula jeuri yake.... na "iwe fundisho"...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…