Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Unaelewa tofauti ya kupokea na kuanzisha?
Ni lazima upokee kutoka kwa walioanzisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lazima upokee kutoka kwa walioanzisha?
Saudi Arabia hawakuanzisha dini yoyote. Saudi Arabia ni nchi iliyoanzishwa juzi juzi tu 1932, na wale wale walioianzisha Israel.
Kama vitu huvijuwi ni heri ukafanya japo utafiti kwa kutumia Google tu kabla hujakurupuka na ku "offend' dini zisizo kuhusu.
Sent using Jamii Forums mobile app