karume kenge
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 568
- 421
Unahaki ya kusema hivyo huwezi kuwaona watu kwenye ma tv magazet kwa sababu tunao mitaani hawana kazi wako hoiii bin taaban utawajuajeSawa mpo 65% lakini wasomi waislamu hata 5% hamfiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahaki ya kusema hivyo huwezi kuwaona watu kwenye ma tv magazet kwa sababu tunao mitaani hawana kazi wako hoiii bin taaban utawajuajeSawa mpo 65% lakini wasomi waislamu hata 5% hamfiki
Kama vile walivyomshambukia dr Dau kuwa ni mdini wakati Nyerere akishakatazaHaya mambo ndo Mwl. Nyerere alikuwa anayapiga vita. Watu wakikosa hoja wanakimbilia kwenye udini na ukabila.
Nasi wa dini za asili sijaona hata mmoja wakati tumejaa wasomi wengi tuAisee kweli hata sisi Rastafarian hatuna mtu hata mmoja. Ina maana hakuna rasta msomi au??
Eti mpo 65% kwa hesabu ya sensa ya mwaka gani nyie mkawa wengi nchi hii,,Sawa mpo 65% lakini wasomi waislamu hata 5% hamfiki
Mkuu wamefikaje 65% wakati kila siku wanajilipua?Sawa mpo 65% lakini wasomi waislamu hata 5% hamfiki
kamanda maelezo yako mazuri ila lakini bado najiuliza. tunahitaji kubalance udini kwa maana hii ? ili tuweke uwiano wa kutusaidiaje? katika harakati za kukuza uchumi ? bado inanitatiza.tunapoanza kuchanganya dini na siasa hapo ndipo sasa tunapoteza uelekeo. na wenzetu wanatumia weekness hizi hizi kutuchanganya ili tupoteze mwelekeo tusiweze fanya maendeleo ili tuendelee kutawaliwa kifikra. ni lazima tujitambuePamoja na sheria, taratibu na kanuni za serika watu wengi duniani hufanya kazi kulingana na utamaduni na mazingira waliyolelewa na ndiyo maana ukienda Marekani kule maofisini unakuta watu wanafanya tafrija zinazoendana na utamaduni wao kama "halloween". Vivyo hivyo japokuwa watu wanapaswa kufanya kazi kulingana na sheria, taratibu na kanuni kwa Tanzania ila hawako hivyo kwa sababu ni binadamu na binadamu huishi kulingana na alivyolelewa na kukuzwa. Unapokuwa na jamii yenye makundi mbalimbali na ikatokea una kundi moja tu linaendesha serikali ni rahisi sana kwa mahitaji ya watu wa makundi mengine kusahaulika. Na ndiyo maana kuna kelele za kuongeza uwiano wa wanawake katika nafasi za uongozi kwa sababu hiyohiyo kuwa kunapokuwa na wanaume wengi kila mahali ni rahisi kwa mahitaji ya wanawake kusahaulika.
Athali ya hili jambo limeumiza sana toka wazee wetu kwa mwenye mtazamo wa karibu ataona mimi mdini saana huu ni mfumo ambao kuuondoa itachua miaka mingi sana hivi tujiulize mtu anapo teuliwa kuwa wazir au katibu mkuu au cheo chochote tu familia yake itasoma shule nzur na ndugu na jamaa watanufaika na hilo athar zake lazima uwe na mtazamo wa jicho la tatu hao hao ndio wanakwenda kwa kupeana vi memo angalia hata yale majipu ya benki kuukamanda maelezo yako mazuri ila lakini bado najiuliza. tunahitaji kubalance udini kwa maana hii ?
Sasa Ni kisasi....????Wewe ndo mdini mbona usemi uteuzi wa awamu iliyopita ulivokuwa?? Acha upuuzi wewe!!