Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Bm 21 bado zinatumika na urusi to date. Better check that
 
Mleta Uzi akiri zako bhana,,Kwa akiri zako unadhani unaweza onyeshwa silaha zote ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo mnataka tuonyeshe hadi rangi ya chupi ndio ujue tuna kitumbua size gani au?
Vijana wengi wanaangalia movies zinawachanganya sana, hawajui mambo kwa ground ni tofauti kabisa.

Tanzania ni nchi ya Kijamaa, mambo yake mengi ni siri, hicho wanachoonyesha sicho kilichopo...

Kila Mwaka bajeti ya wizara ya Ulinzi na usalama inatengwa tena ya kutosha, umewahi kusikia wametangaza kununua hiki ama kile...

Ukiona umekaa sehemu unashushia bia na nyama choma tena kwa amani kabisa jua kuna wanaume hawalali huko.
 
Hatuna bajeti ya kutosha kununua na kutengeneza silaha zetu.
 
Ulinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
Kikubwa bado hazija expire kuuwa acha tutumie kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…