Ukiongea utaonekana wewe sio mzalendo, ila kama jeshi lahitaji teknolojia basi huenda tukawa tupo nyuma mno.
Kama mapambano ni rasilimali watu pekee na mafunzo, huenda tukawa namba za juu Afrika.
Leo tusiombe kupambana na Kenya au Ethiopia, tutalamba mchanga.
Kama mapambano ni rasilimali watu pekee na mafunzo, huenda tukawa namba za juu Afrika.
Leo tusiombe kupambana na Kenya au Ethiopia, tutalamba mchanga.