Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Watakuita sio mzalendo, kwa mtu anayefatilia teknolojia na masuala ya ujasusi ataamini kuwa tupo nyuma saana.

Ni vile tu tumezungukwa na watu ambao hawapendi vita ama tumezungukwa na watu ambao ni wastaarabu, tungepaka na nchi za kiarabu kwa zama hizi huenda tungejikita ktk silaha na sisi.

Hivi unafikiri Kenya,Uganda na Rwanda hawajui silaha tulizonazo hadi wasubiri 9/12 ndio wazione?
 
BUK haiwezi kutungua drones. Zimeshindwa kina Pantsir na Tungushka ambazo ni modern sembuse hizo BUK. Labda ukisema vidrone uchwara
Acha kuizalilisha Buk.Urusi kila siku wanatungua Drone za waasi wa Syria kwa kutumia Buk-missile.Syria wenyewe walitungua drone nyingi za mturuki kwa kutumia Buk na Pantsir
 
Hiyo picha ya pili kutoka chini ni anti aircraft gun? Dunia ya sasa AA batteries zipo tu ila unaweza usizitumie popote
Ndo yenyewe kaka, ni aibu kubwa mno.

Sijui nani utamtungua kwa Anti Aircraft Gun ulimwengu wa sasa, labda haya madege yetu ya miaka ya 60 ndo yanaweza angushwa na hizi takataka.

Uganda ana mashine matataa saaaana za angani, ana Sukhoi SU-30 Sita. Huyu akiamua hata Ikulu anadondosha mzigo na anatembea pasipojulikana.
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Nitashangaa kama kilichooneshwa ndo kilichopo...
Anyway kwa uchache pale stadium alikuwepo Kagame!!
 
Magufur tokea aingie madarakan hakununua vifaa vya ulinz hata bastora moja
Nilitaka nione hapa kama kuna silaha mpya. Sasa natumaini awamu ya tano haikununua sana silahasilaha hasa labda hizo Cougar na Super Cougar mbili, moja ilikuwa kwenye maonesho na nyingine iliyowabeba walipoondoka wameninginia sijui ni type gani. Na zenyewe waweza kuta order ilitolewa kabla ya JPM
 
Huwezi kuonesha vyote ulivyo navyo, lakini anaehitaji kujua kwa technolojia ya mawasiliano leo atajua ulivyo navyo hata ulivyo agiza a havijawasili.
Kama amekuelewa atakuwa ana akili sana. Endapo hajakuelewa basi atakuwa mzito kichwani.

Umenena vyema kabisa mkuu.
 
H
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Halafu, siyo silaha zinazopigana bali ni watu wenye uchungu wa nchi yao. Sijui wakati wa vita vya Kagera dhidi ya Nduli Idd Amin Dada ULIKUWA WAPI, ila ukweli ni kwamba arsenal ya silaha za kivita aliyokuwa nayo Idd Amin kama angekuwa na wanajeshi wafia nchi, ingekuwa balaa, lakini tukampiga na kumfurusha na hayo masilaha yake yote na mengine tukayateka.
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
 
Watakuita sio mzalendo, kwa mtu anayefatilia teknolojia na masuala ya ujasusi ataamini kuwa tupo nyuma saana.

Ni vile tu tumezungukwa na watu ambao hawapendi vita ama tumezungukwa na watu ambao ni wastaarabu, tungepaka na nchi za kiarabu kwa zama hizi huenda tungejikita ktk silaha na sisi.
Tungekuwa Western Africa uko tungenyanyasika. Ona kama Liberia ilivyoivamia Sierra Leone ikaweka waasi ili iibe almasi kama ambavyo Rwanda na Uganda zinafanya pale DRC
 
H

Halafu, siyo silaha zinazopigana bali ni watu wenye uchungu wa nchi yao. Sijui wakati wa vita vya Kagera dhidi ya Nduli Idd Amin Dada ULIKUWA WAPI, ila ukweli ni kwamba arsenal ya silaha za kivita aliyokuwa nayo Idd Amin kama angekuwa na wanajeshi wafia nchi, ingekuwa balaa, lakini tukampiga na kumfurusha na hayo masilaha yake yote na mengine tukayateka.
Mzee mambo ya watu kupiganisha yalishapitwa na wakati. Sasa hivi ni technology ndio inapigana. Achana na mawazo ya kijima ya Nduli Idd Amin Dadaa.
 
Hizo helicopter zenye landing gear alinunua nani?

Uongo mbaya jamani
Cougar? Embu nenda google usome vizuri.

Kikwete aliwahi kuagiza hizi 6 ila yakatokea mambo mengi saana, JW ikasitisha kuzichukua. Ikasubir mambo yapoe kwanza.

Kuna mambo hatuwez kuzungumza humu ila elewa tupo tunaotambua haya mambo vizuri.

Hope unamtambua Abdurlahman Shimbo, alikuwa mnadhimu wa JW kipindi cha JK.

Hio project ya hizo Cougar ilikuwa toka enzi za JK na walilipa.
 
Zile siraha nzito huwezi zitoa hazarani Ila mtindo huu wa kuonyesha siraha kwenye sherehe ni ushamba waache mara Moja ni kujichora zaidi
 
Nilitaka nione hapa kama kuna silaha mpya. Sasa natumaini awamu ya tano haikununua sana silahasilaha hasa labda hizo Cougar na Super Cougar mbili, moja ilikuwa kwenye maonesho na nyingine iliyowabeba walipoondoka wameninginia sijui ni type gani. Na zenyewe waweza kuta order ilitolewa kabla ya JPM
Ni risk sana kuleta silaha mpya kwenye maonesho ya wazi kama ya leo pale uhuru stadium...
Nakumbushia tu... Komandoo Kagame alikuwepo...

NB: Always play low profile to confuse your enemies...
 
Heshima yako mkuu!

Kabla sijasoma post yako hata mimi nlichangia hoja hapa kuwa kuna nchi kama Kenya na Ethiopia. Hizi nchi ktk ukanda wetu zimepiga hatua kubwa mno ktk uwekezaji jeshini.

Hatuwez leo kusema tuna kikosi bora kwa kuwa tuliwapiga M23 au waasi wengine, ilishawahi kutokea miaka ya nyuma Tz tukashika namba ishirin na kitu kwenye vikosi bora ulimwenguni, watu tukasifia mno.

Lakini huwez amini mkuu, China, Korea zote mbil n.k hawamo mle ndan, je kusema sisi ni bora kulia wao? Tumekuwa watu wa kusifia hiki chombo lakini kiuhalisia hakina sifa ambazo zinazo.

Kwa zama hizi tuna jeshi la kawaida mno, tena tusije thubutu jifananisha na majeshi mengine hapa Afrika.
Hivi ulishasikia wapi vita vikaishia angani ubora wa jeshi letu uko ardini mkuu

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Vijana wengi wanaangalia movies zinawachanga sana, hawajui mambo kwa ground ni tofauti kabisa.

Tanzania ni nchi ya Kijamaa, mambo yake mengi ni siri, hicho wanachoonyesha sicho kilichopo...

Kila Mwaka bajeti ya wizara ya Ulinzi na usalama inatengwa tena ya kutosha, umewahi kusikia wametangaza kununua hiki ama kile...

Ukiona umekaa sehemu unashushia bia na nyama choma tena kwa amani kabisa jua kuna wanaume hawalali huko.
Hapo mwisho ungemalizia na tusi ili iletee maana zaidi
 
Sisi tuna mavifaru ya kawaida, watu wana Armata huko, watu wana Apache, watu wana Sukhoi, tena wanazifanyia Parade, sasa jiulize hazina yao wana nini?

Kenya imetupiga hatua kubwa ktk hizi mambo, huu ni ukweli mchungu. Tunajaribu kufatilia hata Jeshi la Majini la Kenya tunaweza kuelewa.
Kuna uzi mwaka jana nilisema Kenya wana silaha kutuzidi watu wakanijia juu. Mada kama hizi huwa naongea kidogo mengine unapunguza makali, wewe uliona wapi duniani komandoo anabeba magogo mgongoni. Ukiwauliza hawa watakwambia ni kuonyesha ujasiri. Aisee, Israel ina wanajeshi wengine hata ngumi hawajui sasa fyatuka uingie nao vitani.

Last year walituonesha komandoo ana sufuria kabisaa. Leo angalau hawajaleta vituko
 
Back
Top Bottom