Kweli hakuna mnalojua vijana.Siyo comment yangu Bora,
Ila usiingilie taratibu za kijeshi,unadhani ni vyema kuonesha silaha zako wakati humjui adui yako ni nani
Aliyekwambia jeshi halitambui adui yake ni nani? Umeshawahi jiuliza kwanini Mkuu wa Majeshi anatokea Jeshini? Sio kwamba eti wao ndo wana silaha nzito tu pekee, hapana kaka.
Wao ndo wana kitengo maalumu cha kuweza kutambua nani ni threat ktk Taifa. Jeshi lina kitengo chake kinachojitegemea kabisa cha Intelligenc, chenyewe kimejikita hapo tu na wala hawawategemei sana Usalama wa Taifa.
Hawa hata leo tukitaka kuzipiga na Uganda, wao wanajua tunaanzia wapi na tutaishia wapi, wao wanaweza wakajua Idad ya silaha zao na ukubwa wake n.k
Narudia tena, sio kila jambo tunaweza zungumza humu. Ila eleweni tu kuwa hatuna jeshi lenye sifa ambazo tunawapa.