Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Siyo comment yangu Bora,

Ila usiingilie taratibu za kijeshi,unadhani ni vyema kuonesha silaha zako wakati humjui adui yako ni nani
Kweli hakuna mnalojua vijana.

Aliyekwambia jeshi halitambui adui yake ni nani? Umeshawahi jiuliza kwanini Mkuu wa Majeshi anatokea Jeshini? Sio kwamba eti wao ndo wana silaha nzito tu pekee, hapana kaka.

Wao ndo wana kitengo maalumu cha kuweza kutambua nani ni threat ktk Taifa. Jeshi lina kitengo chake kinachojitegemea kabisa cha Intelligenc, chenyewe kimejikita hapo tu na wala hawawategemei sana Usalama wa Taifa.

Hawa hata leo tukitaka kuzipiga na Uganda, wao wanajua tunaanzia wapi na tutaishia wapi, wao wanaweza wakajua Idad ya silaha zao na ukubwa wake n.k

Narudia tena, sio kila jambo tunaweza zungumza humu. Ila eleweni tu kuwa hatuna jeshi lenye sifa ambazo tunawapa.
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Upo sawa zana hizo za vita ni za enzi za USSR,lakini ukae ukijua Tanzania hatuna potential enemy,tangu utawala uliokuwa wenye sera za ubaguzi wa rangi kule Afrika ya kusini ulipoachia madaraka,tangia hapo nchi ya Tanzania haina adui wa moja kwa moja ambaye unaweza kumyoshea kidole kwamba huyu hapa,kwa hiyo hakuna hoja ya msingi ya kutumia mabilioni ya fedha za wakulima na walipa Kodi,kununua vifaa vya vita ambavyo vitakuwa vinaoza taratibu kwenye mabohari ya jeshi,hebu google uone ndege moja ya kivita mfano F16 inauzwa sh ngapi halafu jaribu kucompare hiyo hela na gharama za kujenga shule na kununua madawati,au gharama za kujenga vituo vya afya na kununua vifaa vya afya.
Mfumo kama wa nchi za India na Pakistan wa kuwa na jeshi lenye vifaa vya gharama kubwa sana vyenye teknolojia za Hali ya juu,wakati ambapo hakuna vita yeyote ni ukichaa ulio wazi kabisa.
 
Mzee mambo ya watu kupiganisha yalishapitwa na wakati. Sasa hivi ni technology ndio inapigana. Achana na mawazo ya kijima ya Nduli Idd Amin Dadaa.
Sawa na hiyo vita ya Afghanistan na Wamarekani nayo ilikuwa wakati gani, wakati wa ujima!? Mbona tunawaona wakienda kwa miguu bila ku apply hiyo technology? Are you saying INFANTRY SOLDIERS hawana kazi siku hizi? Fikiria upya huo ni ujima au ni nini!?
 
Kuna uzi mwaka jana nilisema Kenya wana silaha kutuzidi watu wakanijia juu. Mada kama hizi huwa naongea kidogo mengine unapunguza makali, wewe uliona wapi duniani komandoo anabeba magogo mgongoni. Ukiwauliza hawa watakwambia ni kuonyesha ujasiri. Aisee, Israel ina wanajeshi wengine hata ngumi hawajui sasa fyatuka uingie nao vitani.

Last year walituonesha komandoo ana sufuria kabisaa. Leo angalau hawajaleta vituko
Bado tupo kizamani mno. Mavifua ya kutishia waandamanaji.
 
Huo ni utaratibu wa kawaida nyakati kama hizi, hata hivyo silaha unazo onesha SI kwa ajili ya kupigana bali ni kwa ajili ya kuonesha utayari wako likitokea la kutokea! Hata hivyo you do not show all that you have au siyo!?
Kwa kutazama tu parade ya silaha zako, watu wanajua what you have, what you thinking.

Kuna watu wapo trained ktk intelligenc kumsoma mpinzani kwa style hiyo.
 
Sawa na hiyo vita ya Afghanistan na Wamarekani nayo ilikuwa wakati gani, wakati wa ujima!? Mbona tunawaona wakienda kwa miguu bila ku apply hiyo technology? Are you saying INFANTRY SOLDIERS hawana kazi siku hizi? Fikiria upya huo ni ujima au ni nini!?
Infantry ni kwaajili ya kisafisha baada ya technology kufanya Kazi yake.
 
Ni kweli nalijua hilo lakini hapa africa mataifa yenye silaha za kisasa yzfiki hata matano pia kumbuka silaha huwa zinaboreshwa utendaji kazi wake
Na hazijawa obsolete bradha bado ziko kazini kama ilivyo AK 47! Hiyo ni ya 1947 lakini bado ni moto wa kuotea mbali hata hizo za kisasa kama UZI ya Israeli na nyingine nyingi hazioni ndani!
 
Kama Russia bado anazitumia hizo bm-21 na SA-6 wewe mtanganyika unatia kujua wakati hata goboli hujawahi kushika!

Taabu sana
WARUSI wa wapi hao ndugu wanaotumia hii mifumo.
WARUSI sasa ivi wapo kwenye Buk-M3,wametoka kutumia Buk-M2.hii Buk-M1 sijui mara ya mwisho ilikuwa lini wao kutumia
images%20(12).jpg
images%20(10).jpg
 
Hivi ulishasikia wapi vita vikaishia angani ubora wa jeshi letu uko ardini mkuu

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Kasome kuhusu Highway of Death pale jeshi la Saddam Hussein linafanya evacuation kutoka Kuwait ndio utajua umuhimu wa jeshi la anga. Kunakuwa na air denial na naval blockade ila hutosikia wanahangaika kuzuia ground movement mwanzoni. Jeshi la ardhini rahisi kuzuia likiwa halina air cover
 
Nilitaka nione hapa kama kuna silaha mpya. Sasa natumaini awamu ya tano haikununua sana silahasilaha hasa labda hizo Cougar na Super Cougar mbili, moja ilikuwa kwenye maonesho na nyingine iliyowabeba walipoondoka wameninginia sijui ni type gani. Na zenyewe waweza kuta order ilitolewa kabla ya JPM
Hizo cougar zilinunuliwa toka enzi za JK.

Zitatokea figisufigisu, nikisema hivi nadhan unaelewa mzee mwenzangu, utawala wa JK uligubikwa na mambo hayo.

Zoezi likasimamishwa, wakasubir ngoma ipoe, ilipopoa ndo wakazileta. So ni enzi za JK manunuzi ndipo yalipofanyika ya hizi Cougar, na zilikuwa 6.
 
H

Halafu, siyo silaha zinazopigana bali ni watu wenye uchungu wa nchi yao. Sijui wakati wa vita vya Kagera dhidi ya Nduli Idd Amin Dada ULIKUWA WAPI, ila ukweli ni kwamba arsenal ya silaha za kivita aliyokuwa nayo Idd Amin kama angekuwa na wanajeshi wafia nchi, ingekuwa balaa, lakini tukampiga na kumfurusha na hayo masilaha yake yote na mengine tukayateka.
Zamani vita ilihitaji watu wazalendo, tulimzid jamaa hapo. Sasa hivi mambo yamebadilika mkuu.
 
Mzee hata manati inaua. But ilitumika kipindi cha ujima. Huwezi ku display manati kama silaha yako.

Leo hii tunaoneshana madaraja, kweli!?
Kwa hiyo unasema silaha zote walizoonesha
Ni za kizamani

Ova
 
Waasi wa yemen wanazitungua high tech drone za saudia kwa kutumia buk zilizotumika kwenye vita ya iran na iraq kuhusu mbabe wa ant drone sidhani kama kuna taifa linaifikia iran hata historia inazieleza kati ya irna na israel nani kazishusha drone nyingi tena zenye high tech hivi unaijua operesheni safina linalopaa drone za hezbullah zilovyo penya mpaka kwenye vinu vya nuke vya israel?
Amka toka usingizi! Hakuna ndege wala drone ilishawahi kupaa kwenye anga la Israel ukiachana na Egypt walipoingia jangwa la Sinai kwa ghafla na wakitegemea cover ya anti aircraft missiles kutoka kwenye mainland yao. Sio drone wala jet fighter, Israel haijashambuliwa kwa anga na yeyote.

Iran tusimseme hapa kwanza una tabia ya kuleta dini kwenye hizi mada
 
Back
Top Bottom