Umecomment wewe ila aibu naona mimi.Hivi ulishasikia wapi vita vikaishia angani ubora wa jeshi letu uko ardini mkuu
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umecomment wewe ila aibu naona mimi.Hivi ulishasikia wapi vita vikaishia angani ubora wa jeshi letu uko ardini mkuu
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
AA gun zilitumika mara ya mwisho WW2 na kidogo Korean Wars. Hata Vietnam jet age na air to air missiles ndio zimeshika kasi hawakutumia AA system. Hizo labda udungue BombardierNdo yenyewe kaka, ni aibu kubwa mno.
Sijui nani utamtungua kwa Anti Aircraft Gun ulimwengu wa sasa, labda haya madege yetu ya miaka ya 60 ndo yanaweza angushwa na hizi takataka.
Uganda ana mashine matataa saaaana za angani, ana Sukhoi SU-30 Sita. Huyu akiamua hata Ikulu anadondosha mzigo na anatembea pasipojulikana.
Hakuna cha movie hapa Mzee. Jeshi letu lipo outdated. Tunatakiwa ku modernize. Tunaona display za silaha kwa majirani zetu. Uganda na Kenya.
Watu huko nchi za mbali unaweza kuta mtu Koplo, Sajent ana degree au hata Masterz ama ana taaluma nzito mno.Kuna uzi mwaka jana nilisema Kenya wana silaha kutuzidi watu wakanijia juu. Mada kama hizi huwa naongea kidogo mengine unapunguza makali, wewe uliona wapi duniani komandoo anabeba magogo mgongoni. Ukiwauliza hawa watakwambia ni kuonyesha ujasiri. Aisee, Israel ina wanajeshi wengine hata ngumi hawajui sasa fyatuka uingie nao vitani.
Last year walituonesha komandoo ana sufuria kabisaa. Leo angalau hawajaleta vituko
Toka 2010 zaidi ya wanajeshi 2300 wa Marekani waliuwawa huko Afghanistan dhidi ya wanamgambo wa Taliban...Mzee mambo ya watu kupiganisha yalishapitwa na wakati. Sasa hivi ni technology ndio inapigana. Achana na mawazo ya kijima ya Nduli Idd Amin Dadaa.
Tunapangiana cha kujadili siyo!?Tulia Acha ujinga. Nenda hamia kenya. Mtu gani husikii.
Hayo mashule, madawati, hospital tunajenga kwa fedha zetu?Upo sawa zana hizo za vita ni za enzi za USSR,lakini ukae ukijua Tanzania hatuna potential enemy,tangu utawala uliokuwa wenye sera za ubaguzi wa rangi kule Afrika ya kusini ulipoachia madaraka,tangia hapo nchi ya Tanzania haina adui wa moja kwa moja ambaye unaweza kumyoshea kidole kwamba huyu hapa,kwa hiyo hakuna hoja ya msingi ya kutumia mabilioni ya fedha za wakulima na walipa Kodi,kununua vifaa vya vita ambavyo vitakuwa vinaoza taratibu kwenye mabohari ya jeshi,hebu google uone ndege moja ya kivita mfano F16 inauzwa sh ngapi halafu jaribu kucompare hiyo hela na gharama za kujenga shule na kununua madawati,au gharama za kujenga vituo vya afya na kununua vifaa vya afya.
Mfumo kama wa nchi za India na Pakistan wa kuwa na jeshi lenye vifaa vya gharama kubwa sana vyenye teknolojia za Hali ya juu,wakati ambapo hakuna vita yeyote ni ukichaa ulio wazi kabisa.
Ni T series nadhan ni T -56 kitu kama hchoHako kadude kadogo vile kenye bendera nyekundu mbili ni ka nini, ka APC au IFV? Sasa kana Impact gabi mbona hata hakaonekani kuwa na armour.
Hiyo Grad moja tulitumia kipindi cha vita ya Amin tena tulipewa kama msaada na USSR. Wanajeshi wa Amin walikuwa wanaiogopa na waliwahi tuma ndege ije kuushambulia ila ilikuwa inahamishwa kila ikifanya attack. Warusi wenyewe walizigundua WW 2 dhidi ya Wajerumani na ziliitwa Katyusha, Wajerumani wakaziita "Stalin's Organs"
Kwa sasa kuna modern version kama TOS.
Vifaru vyetu ni Chinese model flani nimeisahau niliona na Chad wanavyo. Vya sasa vitakuwa modernized ila ni type ya 1960s
Wabangua korosho kwa menoBado tupo kizamani mno. Mavifua ya kutishia waandamanaji.
Kwahiyo unategemea wanajeshi wetu 27,000 ndio wapiganishwe kupambana na Su-30 inakuingia akilini kweli!?Toka 2010 zaidi ya wanajeshi 2300 wa Marekani waliuwawa huko Afghanistan dhidi ya wanamgambo wa Taliban...
Kwa nini wasingetumia tecnolojia kupiganisha vita...
Leo unaambiwa Urus imepeleka wanajeshi zaidi ya 175,000 kwenye mpaka na Ukrane kwa nini wasingepeleka tecnolojia ndio ikapigane.?
Af sie bado tunahangaika na J-6 series na 7 za kichinaUganda wana SU-30, achana na huo moto wa Sukhoi, tena wanazo 6.
Wanapita pale ngerengere sijui mzinga kama sisi tunavyopita Zanzibar.
Ina maana hujui kama AK47 zilishastop kutengenezwa muda tu? Kweli tunajadili haya mambo na watu ambao hawana uelewa wa kutosha.Na hazijawa obsolete bradha bado ziko kazini kama ilivyo AK 47! Hiyo ni ya 1947 lakini bado ni moto wa kuotea mbali hata hizo za kisasa kama UZI ya Israeli na nyingine nyingi hazioni ndani!
Haya basi!Hao wanaoonesha silaha kali unafkiri hazina yao itakuwa ina nini?
Mkuu wewe unakitumbua kwani?Kwa hiyo mnataka tuonyeshe hadi rangi ya chupi ndio ujue tuna kitumbua size gani au?
Kwenye maonyesho kama haya, si rahisi nchi kuonesha nguvu yake halisi ya kijeshi.1.Nacho amini, uwezi unyesha kila kitu ulichonacho utawapa advantage maadui wako
2.Nchi zilizokua za kikomunist ziliwekeza sana kwny jeshi bila kujitangaza, ila ikitaka kazi ziguse ndo utajua uwezo wao.
3.Kwa jwtz hii ndo outing yao kubwa kitaifa kwahiyo wansheherekea wakiwa pamoja nasi lkn bila kuuza siri za kazi.
4.Nachowapendea zaidi jwtz ukiwa nao wanajitambulisha kama JESHI LENU sio JESHI LETU.
Mfano: jeshi lenu litaenda Kongo kulinda amani, na sio hutaenda au jeshi letu litaenda ........
ALL IN ALL JWTZ NI MOJA YA MAJESHI YENYE NIDHAMU SANA DUNIANI.
Hakuna cha low profile wewe. Kwanza wote hapa unaoona wana uelewa na silaha usidhani huwa wanaziona kwenye maonesho. Silaha sio vikombe kwamba utasafirisha umevificha.Ni risk sana kuleta silaha mpya kwenye maonesho ya wazi kama ya leo pale uhuru stadium...
Nakumbushia tu... Komandoo Kagame alikuwepo...
NB: Always play low profile to confuse your enemies...