T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Vita na Uganda mlitumia maji kushinda?Vifaa vya jeshi vinasaidia nini watu hawana majii
DaaaahKwa hiyo mnataka tuonyeshe hadi rangi ya chupi ndio ujue tuna kitumbua size gani au?
Jeshi la watawala. Jeshi la CCM. Nidham kwa kwa watawala1.Nacho amini, uwezi unyesha kila kitu ulichonacho utawapa advantage maadui wako
2.Nchi zilizokua za kikomunist ziliwekeza sana kwny jeshi bila kujitangaza, ila ikitaka kazi ziguse ndo utajua uwezo wao.
3.Kwa jwtz hii ndo outing yao kubwa kitaifa kwahiyo wansheherekea wakiwa pamoja nasi lkn bila kuuza siri za kazi.
4.Nachowapendea zaidi jwtz ukiwa nao wanajitambulisha kama JESHI LENU sio JESHI LETU.
Mfano: jeshi lenu litaenda Kongo kulinda amani, na sio hutaenda au jeshi letu litaenda ........
ALL IN ALL JWTZ NI MOJA YA MAJESHI YENYE NIDHAMU SANA DUNIANI.
kagame pale alikuwa anatuchora tu,.sisemi kwamba Rwanda itatushinda, ila kwa siku hizi, zana hizo wameonyesha ni za mwisho kabisa kutumiwa kwenye battle, kama Rwanda wanazo zana za kisasa za drones toka Israel, hizo wanakupiga vizuri tu ukienda kichwakichwa, ndio walitaka wazitumie kipindi kile watuaibishe, na wangetupa surprise kwelikweli.Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.
Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Ndo ushangaeMiaka 60 ya Uhuru, tunaonyesha siraha za kivita. Kwan tunataka kupigana na Nani??
Lilikiwa jicho gani? Kubeza, kudharau, kushangaa,kushtuka au...?
Hiyo screenshot sijaiona ila hakuna S300 hapa nchini. Misri na Algeria wanazo, Ethiopia ilinunua ikazipanga zizunguke anga la Grand Renaissance Dam kwa vile wana mgogoro na Misri na technically inaweza taka kulishambulia.Hayo mawazo yako ila ukweli ni kwamba Tanzania huwa hawaonyeshi silaha zake mpya waziwazi. Kuanzia sasa ufahamu hilo!View attachment 2038324
Baada ya hii ndiyo yakafanywa manunuzi ya silaha (picha za awali nilizo kuwekea juu). Mi 17 zilinunuliwa zikiwemo air defensive system S-300 kutoka Russia na hizi nilizozitaja ni baadhi tu.
Screenshot nimeiona sasa. Kuna mahali unaona tumenunua Mi 17 transport helicopter au S300. Sisi Tanzania?Hayo mawazo yako ila ukweli ni kwamba Tanzania huwa hawaonyeshi silaha zake mpya waziwazi. Kuanzia sasa ufahamu hilo!View attachment 2038324
Baada ya hii ndiyo yakafanywa manunuzi ya silaha (picha za awali nilizo kuwekea juu). Mi 17 zilinunuliwa zikiwemo air defensive system S-300 kutoka Russia na hizi nilizozitaja ni baadhi tu.
Rais keshasema hatuma maadui dunia hii .... wasiwasi wa nini?Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.
Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Mtu unaweza fikiria ni makusudi auMagufur tokea aingie madarakan hakununua vifaa vya ulinz hata bastora moja
Sawa Tank 14Mara nyingi ni vigumu kujua order zilizowekwa ni zipi labda ziwe ni kubwa na zimewekwa wazi. Ila wakati wa delivery ndio inajulikana. Haya mambo sio magumu inategemea na mtu anafatilia nini.
Watu wanafatilia utajiri wa mtu, mali zake, hisa na madeni sembuse silaha zenye regulations. Mimi hushangaa watu hujuaje vikosi, nakuwa nimekaa naangalia let's say Liverpool Vs Man City alafu mchezaji anapasha nje watu wanashangilia mtoe huyo X. Najiuliza wamejuaje X ndio atatoka na ni kweli anatoka yeye, wamejuaje X anapwaya. Huwezi ona nachangia kwenye mpira maana sijui.
Sipingi lolote hapa ila ujue exceptions are rare and few. Kwanza budget tu inaonesha ni silaha gani mtanunua, bado kuna operation costs and maintenance. Alafu bado kuna marupurupu sijui mishahara kwa bajeti hiyo hiyo ambayo haizidi trilioni 2.Uko sahihi lakini sijui unachonibishia ni nini. Unajua kama wakati huu kuna watu wako training ya silaha ambazo ni toleo jipya na hazijaoneshwa hapo uwanjani? Unajua kama kuna silaha tunazo na watu wameshapewa mafunzo tayari lakini hazijaoneshwa hapo?
Unasemaje kama silaha ndo hizi basi hatuna kitu?
Ukubali ukatae kuna silaha hununuliwa kwa dharura kulingana na mahitaji achilia mbali long term plan unazozizungumzia wewe.
Unajua kuwa kuna tabia ya soko la siri la silaha hasa baina ya nchi marafiki? au kwa kulinda maslahi ya nchi ngeni katika nchi yenye vita?
Mambo ni mengi linapokuja suala la vita. Si tu eti mikataba ya kuuziana silaha pia kuna kufake mikataba hiyo kuficha kufahamika kuwa nchi fulani ina silaha fulani.
Kwa kifupi tu.
Rais keshasema hatuma maadui dunia hii .... wasiwasi wa nini?
Badala ya kununua vifaru na ndege bora tu wanunue vifaa vya mahospitali zetu!
Maonesho ya silaha ya leo lengo lake ni nini sasa!?Rais keshasema hatuma maadui dunia hii .... wasiwasi wa nini?
Badala ya kununua vifaru na ndege bora tu wanunue vifaa vya mahospitali zetu!
Sisi hatulaumu jeshi wala hatusemi ni dhaifu, wala hatulidharau. Sisi tunapaza sauti tuwe tiyari kila idara. Ni kama mtu akija kusema TANESCO wawe imara haambiwi anaidharau au hana uzalendo. Ingekuwa vyema tukajua ni jeshi la WANANCHI, sio jeshi la kikundi fulani wala wanajeshi wenyewe. Sisi wananchi tulipiganie liwe na nyenzo za kutulinda. Waliotakiwa kuhakikisha lina nyenzo ni hawa akina Musukuma na Babu Tale.Nasema usidharau nchi hii kisa hizi siasa za kiccm ila Kuna mambo mengi hufanyika kulinda hii nchi sema Raia tunalaumu vile nchi yetu inausiri mkubwa kuliko unavoweza kufikiria.
Naamini tuko vizuri hvi vya Leo ilikuwa display tu kidogo, pia ukisema tujilinganishe sijui na USA mara Russia ni sawa na kulinganisha mbingu na ardhi
Tapeli huyuMbongo ni mtaakamu wa kila kitu.
Kina Yericko Nyerere ni wataalamu wa Ujasusi
Unachokisema halina maana Sana katika mbinu za kivita kwa sababu zifuatazo:-Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.
Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Labda Uganda ,, Kenya ni wenzetu sanaa[emoji3]Ulinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
Usichanganye siasa za CCM na Chadema ukajua ndio jeshi lipo hivyo....Kuna amani ni kwa sababu ya ukondoo wa watanzania. Na pia rushwa katika jeshi. Kimsingi jeshi limetekwa na CCM na watawala na kuwasaliti wananchi.