Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Vita ni akili,sio maguvu.Ulinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
Vita ni akili,sio maguvu.Hapo hakuna silaha
Hiyo Low flying drone inaweza kutunguliwa hata kwa manati
Mkuu Navy ya Kenya ipo sawa,inalinda bahari yake kwa manowari zake za kila aina.Sisi tuna mavifaru ya kawaida, watu wana Armata huko, watu wana Apache, watu wana Sukhoi, tena wanazifanyia Parade, sasa jiulize hazina yao wana nini?
Kenya imetupiga hatua kubwa ktk hizi mambo, huu ni ukweli mchungu. Tunajaribu kufatilia hata Jeshi la Majini la Kenya tunaweza kuelewa.
Tunawaambia hawa vijana kuwa tupo weak ktk hili eneo ila wanatupinga.Mkuu Navy ya Kenya ipo sawa,inalinda bahari yake kwa manowari zake za kila aina.
Sisi tunashida hapo,kama Nyerere angekuwa hai labda aibu hiyo ingeishafutika.
Ukishakuwa na ukanda wako wa bahari mkubwa,pammoja na maziwa ya kumwaga tena una share na majirani zako,na huku umeapa kulinda na kutetea mipaka yetu,bila kuwekeza ni hatari.
Sio lazima tuwaoneshe Cha uvunguni mkuuMimi ni mfuatiliaji wa silaha za nchi mbalimbali. Hakuna silaha za kutisha hapo. Uganda na Kenya display yao inatisha Mzee.
Sio lazima tuwaoneshe Cha uvunguni mkuuMimi ni mfuatiliaji wa silaha za nchi mbalimbali. Hakuna silaha za kutisha hapo. Uganda na Kenya display yao inatisha Mzee.
👍👍1.Nacho amini, uwezi unyesha kila kitu ulichonacho utawapa advantage maadui wako
2.Nchi zilizokua za kikomunist ziliwekeza sana kwny jeshi bila kujitangaza, ila ikitaka kazi ziguse ndo utajua uwezo wao.
3.Kwa jwtz hii ndo outing yao kubwa kitaifa kwahiyo wansheherekea wakiwa pamoja nasi lkn bila kuuza siri za kazi.
4.Nachowapendea zaidi jwtz ukiwa nao wanajitambulisha kama JESHI LENU sio JESHI LETU.
Mfano: jeshi lenu litaenda Kongo kulinda amani, na sio hutaenda au jeshi letu litaenda ........
ALL IN ALL JWTZ NI MOJA YA MAJESHI YENYE NIDHAMU SANA DUNIANI.
Mkuu unataka Hadi uoneshwe dahir insaat unmanned copter????? Au s500?????Hizi ndo tunategemea kulindia anga zama hizi?
Zote SMG,SAR,RIFLES NA MAGOBOLEBunduki aina gani mzee mbona unazunguka!?
Acha ushamba.Ulinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
Unajifanya unajua sana.Mzee hiyo ni silaha ya 1967 USSR technology
M
Hizi ziko varied and since then zinakua modernized. Acha ushamba!Mzee hiyo ni silaha ya 1967 USSR technology
View attachment 2038210
Heshima yako mkuu!
Kabla sijasoma post yako hata mimi nlichangia hoja hapa kuwa kuna nchi kama Kenya na Ethiopia. Hizi nchi ktk ukanda wetu zimepiga hatua kubwa mno ktk uwekezaji jeshini.
Hatuwez leo kusema tuna kikosi bora kwa kuwa tuliwapiga M23 au waasi wengine, ilishawahi kutokea miaka ya nyuma Tz tukashika namba ishirin na kitu kwenye vikosi bora ulimwenguni, watu tukasifia mno.
Lakini huwez amini mkuu, China, Korea zote mbil n.k hawamo mle ndan, je kusema sisi ni bora kulia wao? Tumekuwa watu wa kusifia hiki chombo lakini kiuhalisia hakina sifa ambazo zinazo.
Kwa zama hizi tuna jeshi la kawaida mno, tena tusije thubutu jifananisha na majeshi mengine hapa Afrika.
hebu weka za Uganda na Kenya tuoneUlinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
weka hapa tuzione woteHakuna cha movie hapa Mzee. Jeshi letu lipo outdated. Tunatakiwa ku modernize. Tunaona display za silaha kwa majirani zetu. Uganda na Kenya.
silaha ya kutisha ni kama ipi mzee?Mambo hayo ni ya kishamba na ya kizamani. Uganda wapo SU-30 wanaionesha tena kila mmoja anaiona.
Kenya wanaonesha silaha za kila aina. Rwanda nao wanaonesha silaha.
We are weak. Hatuna silaha za kutisha. Mpaka jeshi linaonesha madaraja kweli!?
yamepitwa na wakati kivipi, US kaondoa lini majeshi yake kule Afghanistan? Mbona hazikupelekwa drones kuleMzee mambo ya watu kupiganisha yalishapitwa na wakati. Sasa hivi ni technology ndio inapigana. Achana na mawazo ya kijima ya Nduli Idd Amin Dadaa.
Walionyesha zao lini mkuu, mbona hukutuonyesha walipozitoa za kwao!Ulinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
kwa amani iliyopo bongo kwanini usiwape hizo sifa? maana yake wanafanyA kaz yao ipasavyo. Ama Kuna kigezo kingine. Kuna mdau huko juu amesema ukijiona unakula nyama na bia kwa Aman ujue Kuna wanaume hawalali kuhakikisha hayo yote yanatokea. [emoji706][emoji706][emoji706]Kweli hakuna mnalojua vijana.
Aliyekwambia jeshi halitambui adui yake ni nani? Umeshawahi jiuliza kwanini Mkuu wa Majeshi anatokea Jeshini? Sio kwamba eti wao ndo wana silaha nzito tu pekee, hapana kaka.
Wao ndo wana kitengo maalumu cha kuweza kutambua nani ni threat ktk Taifa. Jeshi lina kitengo chake kinachojitegemea kabisa cha Intelligenc, chenyewe kimejikita hapo tu na wala hawawategemei sana Usalama wa Taifa.
Hawa hata leo tukitaka kuzipiga na Uganda, wao wanajua tunaanzia wapi na tutaishia wapi, wao wanaweza wakajua Idad ya silaha zao na ukubwa wake n.k
Narudia tena, sio kila jambo tunaweza zungumza humu. Ila eleweni tu kuwa hatuna jeshi lenye sifa ambazo tunawapa.