Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
BM-21 Grad bado inatumka dunia nzima kwa majeshi ya ardhini...fuatilia
Ila niliona kuruka pale kwenye hel mbona ilichukua muda sana na pia kuondoka uwanjani.... nilitamani 5sec wote wamesharuka....
 
Marekani wana ndege za B52 bomber,zilitengenezwa mwaka 1972 zina perform vizuri sana Afghanistan
Silaha sio kama gari unasoma mwaka na kilometa,silaha ni mahitaji dada
Kasomw vizuri, wanaupgrade vitu vingi mno, tuwe wafatiliaji vizuri wa haya mambo jamani.

Pia elewa kuwa hizi stealth bomber mfano wa B52 zikienda ktk mission zinakuwa na ndege zingine kwa ajili ya kuilinda.

Ni kama unavyoona Aircraft Carrier inavyosindikizwa ma frigates, ndivyo ambavyo stealth bomber zinavyosindikizwa na ndege zingine mfano F22 Raptor n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani kasafiri kupeleka kiherehere Vietnam na akakutana na silaha za Mrusi. Hakuwa anajitetea hivo hakulazimika kutumia hata 10% ya uwezo wake kijeshi
Hawajui kuwa hata zile AK47 vietnum alipewa na mrusi baada ya US kutumia bulletproof kwa Askar zake. Vietnum yeye kama yeye alikuwa mtoto mdogo tu kwa US.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BM-21 Grad bado inatumka dunia nzima kwa majeshi ya ardhini...fuatilia
Ila niliona kuruka pale kwenye hel mbona ilichukua muda sana na pia kuondoka uwanjani.... nilitamani 5sec wote wamesharuka....
Hata manati bado inatumika.
 
Kati ya vitu vya kipuuzi vinavyo fanyika kwenye hizi sherehe ni haya maonyesho ya maaskari. Its wastage of time na kuonyesha madhaifu ya nchi. Kuna jipya gani watu kushuka kwenye helkopta na kamba? Au kuonyesha masilaha outdated?
Kama rais anataka kuona silaha si aende kwenye makambi? Hii tabia aliikuza mwenda kuzimu sijui kwa faida ya nani?
Ina julikana askari wa Tanzania wanacho jua ni kubambikia watu kesi na kutoa ushahidi wa uongo mahakamani.
Watu wanapiga pesa kupitia hiki chombo, si unajua CAG hapiti humo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
Uliziona wapi wewe yan nyie kila kitu rwanda kenya ndo wapo vizur mwisho mtasema hadi mama zenu baba zenu walikosea kuoa
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Wakitishika viongozi basi zinaonekana ni tishio kwa wote
 
Mzee nani amesema kushinda battle hapa. Kwani kuwa na computer ya kisasa ndio kujua programming!? Fungua ubongo wako acha kutetea outdated tools.
Nadhani wewe ndio unatakiwa kufungua ubongo wako zaidi.
 
Wewe usiye mshamba ndio ushauri jeshi liwe na machuma yenye technology ya 1967!? Hata kwenye computer zipo Pentium 2. But is outdated technology.

Heshimu technology mwanangu na badili mtazamo.
Aisee we jamaa ni mjinga sanaa nimegundua huna unalojua kuhusu silaha. Tafadhali ni bora unyamaze tu.
 
Aisee we jamaa ni mjinga sanaa nimegundua huna unalojua kuhusu silaha. Tafadhali ni bora unyamaze tu.
Mzee wewe unayeniita mimiji mjinga huku ukijiona wewe mwelevu toa maelezo sahihi.
 
Si ajabu aliyeanzisha huu uzi hajawahi hata kushika bunduki! Halafu anadai eti jeshi letu lina silaha za kizamani. Mambo ya kutizama sinema za uongo na kuja kulinganisha na uhalisia na mtu anajifanya na yeye ni mchambuzi wa masuala ya silaha za kivita!
 
Huo ndo ukweli mchungu. Jeshi ni la CCM na watawala
Jeshi badala ya kulinda wananchi, lenyewe linakandamiza wananchi kisa wana posho ya chakula laki mbili na viposho vya ajabu ajabu.

Hospital yao ya Lugalo hata kuiendesha ili kupanua huduma hawawezi.

Mara wakabangue korosho, mara sijui wafanya niniiii, aibu tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Kwani ina maana hizo ndizo silaha pekee tulizonazo?Sio kwamba wametoa hizo kwa ajili ya Paredi tu?Lakini hata hivyoTanzania haina haja ya kulimbikiza silaha sababu hatuna uadui na nchi yeyote.Nchi hununua /huweka bajeti ya silaha panapotokea vita.Yaani badala ya kuweka bajeti kwenye mambo kama kilimo ,tununue silaha wakati hatuna vita?
 
Back
Top Bottom