Agogwe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 2,742
- 3,000
Kama zile mig ndege za kizamani sana halafu wanafanya acrobatics ni hatariNimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.
Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.