Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Kama zile mig ndege za kizamani sana halafu wanafanya acrobatics ni hatari
 
Watu huko nchi za mbali unaweza kuta mtu Koplo, Sajent ana degree au hata Masterz ama ana taaluma nzito mno.

Hapa kwetu ukiwa na Degree lazima ubebe manyota, ila wapiganaji ni wale darasa la 7, form 4 failures n.k sasa umakini ktk field unakuwa wapi?

Unaweza ukachukua maaskar wanne wenye elimu zao kisha ukawaringanisha na wacheza ngoma 4? Yaani mtu anavaa kombat kisa ana taaluma ya kucheza ngoma, kuchonga vinyago, fundi bomba n.k
uko sahihi ngoma coy ni ni wengi Sana majeshini..NI kutikisa matako tu
 
Amka toka usingizi! Hakuna ndege wala drone ilishawahi kupaa kwenye anga la Israel ukiachana na Egypt walipoingia jangwa la Sinai kwa ghafla na wakitegemea cover ya anti aircraft missiles kutoka kwenye mainland yao. Sio drone wala jet fighter, Israel haijashambuliwa kwa anga na yeyote.

Iran tusimseme hapa kwanza una tabia ya kuleta dini kwenye hizi mada
Dini gani bhana kwanza iran shia mimi sio mfusi wa madhebu yoyote hapa tunasema ukweli
 
Tunaangalia majirani zetu. Wakenya na Uganda wanaonesha silaha nzito nzito.
Sasa si ukatununulie hiizo nzito nzito sisi tutakushukuru sana sana na tutazitumia hata kesho yake tu maana lazima tumchokoze mtu tutest mitambo
 
Tungekua tunatumia silaha zilizokatazwa au ku expires hapo ningekuelewa. AK 47 mpaka leo inatumiwa na nchi kibao tuu unajua imetengezwa mwaka gani?
 
Na kwataarifa yako uimara wa jeshi aina ya silaha inachangia kiasi kidogo sana kushinda vita kikubwa jeshini ni intelijensia sasa kama ulikua hujui.
 
Fikra potofu...Kuwaza masilaha huku wananchi ni masikini ni upumbavu,,Finland na nchi nyingine za Scandinavia hawana hata tankers 100 lkni wananchi wanaishi vizuri ..
 
Hako kadude kadogo vile kenye bendera nyekundu mbili ni ka nini, ka APC au IFV? Sasa kana Impact gabi mbona hata hakaonekani kuwa na armour.
Mkuu, itakuwa ni vile vifaru vya urban warfare, si unajua mijini majengo mengi, kwa size yake kanaweza kukatisha kwenye chochoro za mijini bila shida.

Out of topic; T14 Armata, moja ya vifaru bora kabisa kuwahi kutengenezwa.
 
Na bado wanasumbuliwa na waasi wa ADF
Kuwa na silaha ya kisasa siyo ticket ya kushinda battle. Katika jeshi intelijensia ina 70% ya ushindi kwahiyo hilo la uganda hata usishangae.
 
Kuna amani ni kwa sababu ya ukondoo wa watanzania. Na pia rushwa katika jeshi. Kimsingi jeshi limetekwa na CCM na watawala na kuwasaliti wananchi.
Watanzania aman tuliyonayo ni mambo makuu mawili

1. Mungu ametupa neema
2. Sisi ni waoga

Hakuna kingine zaidi ya hiko.

Umeona mbali kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasema usidharau nchi hii kisa hizi siasa za kiccm ila Kuna mambo mengi hufanyika kulinda hii nchi sema Raia tunalaumu vile nchi yetu inausiri mkubwa kuliko unavoweza kufikiria.
Naamini tuko vizuri hvi vya Leo ilikuwa display tu kidogo, pia ukisema tujilinganishe sijui na USA mara Russia ni sawa na kulinganisha mbingu na ardhi
Yaani dada unavyozungumzaaaa, labda nikuulize swali. What if unaozungumza nao ni moja ya watu ambao wapo ndani ya huo mfumo ambao mnautetea hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom