Kaka, Uganda ana sukhoi, anapenya popote hapa kwetu na anatokomea pasipojulikana.Rafiki sikupingi. Yale madude yetu adui akiamua kutumia modernized drones anayalevel hata kabla Misa ya kwanza haijaisha.
We need to modernize real. Display zile zile kila mwaka! Bora hata wasiyaoneshe.
Bunduki zenyewe asilimia kubwa ni mabunduki ya vita ya kwanza ya dunia
Hakuna mapambano ya ana kwa ana katika ulimwengu wa sasa. Sasa hivi ni Tehnologies tu zinapambana.
Ama kweli wewe ni mtalaamu wa masuala ya vita kupitia Google!Askari wa miguu watapambana na Rocket?
Watu watazame ktk sites mbalimbali kwa sasa tupo nafasi ya ngapi.nilitegemea jibu kama hili baada tu ya kumaliza kusoma hoja, na hizi ni kauliz nzuri mno za kujipa moyo, ni vizuri kwa kweli.
Zile ndege hakuna kitu kaka.wataalam hebu tuambieni hizi zana zilitengenezwa lini na nchi gani?
Pia zile ndege lilizokuwa zinatupigie makelele zikiruka chini chini je zina aslimilia ngapi ya kujificha kwenye rada ya adui?
ni hayo tu.
Watu wenye akili timamu mnasema hivi, matahira watakupinga.Dhana nzima ya kuchukulia sikukuu ya Uhuru na kuifanya ionekane kama military exhibition ni utoto. Hatuna adui aliyetuzunguka, why waste our meagre resources on nonsense. Sherehe tulitegemea tuone ngoma na nyimbo na miundombinu ambayo inamgusa raia. not anything to do with war. Hii ni ufinyu wa akili.
HahahahahaPalikua na helikopta zaidi ya mbili bna,Vita ya Ana kwa Ana marekani na hawara yake Israel hawaviwezi,ukiwazidi kidogo wanaleta ndege
Hizi nne zinafunga hazina yetu yote ngerengere.Jibu swali mzee acha kuwaka kwa hasira. Askari waendao kwa miguu wanaweza kupambana Su-30 ya uganda?
View attachment 2039247
Hapana. ....usijipe moyo...zile ndiyo silaha zetu kaliVijana wengi wanaangalia movies zinawachanganya sana, hawajui mambo kwa ground ni tofauti kabisa.
Tanzania ni nchi ya Kijamaa, mambo yake mengi ni siri, hicho wanachoonyesha sicho kilichopo...
Kila Mwaka bajeti ya wizara ya Ulinzi na usalama inatengwa tena ya kutosha, umewahi kusikia wametangaza kununua hiki ama kile...
Ukiona umekaa sehemu unashushia bia na nyama choma tena kwa amani kabisa jua kuna wanaume hawalali huko.
Aisee😂😂Taliban walitumia AK47 na mabomu ya kutega barabarani tuu na waliweza kumshinda Mwamerika mwenye kila aina ya silaha ambazo ziltengenezwa kwa matrilioni ya dola. Kuwa na silaha mpya siyo muhimu kama utayari wa kupigana.
ha ha ha haZile ndege hakuna kitu kaka.
Huu ndo ukweli japo unauma.Hapana. ....usijipe moyo...zile ndiyo silaha zetu kali
Umemaliza kaka, barikiwa sanaSio dharau mkuu. Nikisema fulani ana elimu ya darasa la saba na huyu ana PhD utasema namdharau mwenye la saba B. Yani kuwa muwazi kibongo inaitwa dharau. Nchi nyingine zinaita tenda inajadiliwa na bunge na vyombo vya habari vinahoji, watu wanaanzisha debate kushindanisha silaha gani wanunue kwa fungu walilonalo. Watu wanatoka wanaenda Dubai Airshow, Army Expo, MAKS Airshow na wakirudi wanasema ukweli walioona nchi inaamua.
Last week mpaka leo kuna matukio kadhaa. India kasaini mkataba wa kutengeneza assault rifle za Kalashnikov ya Russia. UAE imenunua Rafales 80 kutoka Ufaransa kwa zaidi ya trilioni 43 za kibongo. Finland imesaini kununua F-35 kutoka Marekani. Hizi zote zinafanyiwa mchuano mkali na tenda zinakuwa wazi na wananchi wana haki ya kuhoji.
Sisi hapa tukisema tunaitwa wajuaji na wajinga. Maana ya jeshi la wananchi haipo wala haizingatiwi. Ila Afrika ndo ilivyo hata ndoto tunazoota sidhani kama wazungu huota hivi
Wapi nimetaja mlio wa engine au umechanganyikiwa?Mkuu yaani unagundua ubora wa ndege kwa mlio wa engine? tena engine ya fighter jet? sio bodaboda wala bajaji?
Kitu ambacho hukioni mara kwa mara wala technology iliyotumika au unategemea engine ya fighter jet inayotembea atleast at 1000km/h iwe na sound kama ndege ya abiria au pikipiki ya boxer?
Seriously?
Mkuu lini umekuwa expert wa maswala ya engine za fighter jets na ubora wake au wewe ni army pilot?
We nae uache ujuaji wa kitoto unaelekezwa hutaki , hiyo su 30 inaweza kuokoa mateka waliowekwa sehemu na watekaji? Sikia mpaka dunia inaisha askari wa miguu bado wana umuhimu sana sana hizo teknolojia zipo kurahisisha mfano kuna watu wametekwa na kufichwa sehemu fulani hebu nielezee hapa hapa jinsi hizo sukhoi zako zitakavyowaokoa mateka pekee .Wewe kichwa udongo mbona hujibu swali ninalokuuliza? Askari wa miguu wanaweza kupambana na Su-30
Maswala ya Jeshi ni very complex sana, mwenye utimamu wa akili awezi ongelea hii mada kama mnavyofanya.Nataman kuendelea kuzungumza na wewe kuhusu hii mada lakini naomba ufute neno la kuniita Boya.
Sipendagi kabisa kuona mtu akinitusi ukitazama tungeweza kuzungumza kawaida tu.
Hata siku mama yako akitofautiana na jirani au baba yako sidhani kama utafurahia akiitwa Boya. Hatujuani humu ndani, hivyo kutofautiana kimtazamo kusifanye kumdharau mwenzio na kumuita majina kama hayo.
hivi ubora unaangaliwa kutokana na muda au uwezo?Mzee hiyo ni silaha ya 1967 USSR technology
View attachment 2038210
Mkuu nimeshuhudia Kenya Navy si mara mmoja ni mara nyingi tu kwa miaka kadha anaita hiyo meli inayoonekana kwenye radar ujitambulishe labda uko maili 200 kutoka Mombasa huko deep sea. Na ukikaidi unaweza ghafla ukashtukia manowali nyingine ya Kenya Navy iliopo karibu nawewe inakusogelea.Tunawaambia hawa vijana kuwa tupo weak ktk hili eneo ila wanatupinga.
Si unaona miaka ya nyuma kuhusu ziwa Nyasa? Hayat Nyerere eneo la ulinzi hakutaka mchezo kabisa.
Kenya ipo hatua mbele zaidi ktk kila nyanja ya teknolojia dhidhi ya jeshi letu. Jamaa wapo mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app