Kaka, Uganda ana sukhoi, anapenya popote hapa kwetu na anatokomea pasipojulikana.Rafiki sikupingi. Yale madude yetu adui akiamua kutumia modernized drones anayalevel hata kabla Misa ya kwanza haijaisha.
We need to modernize real. Display zile zile kila mwaka! Bora hata wasiyaoneshe.
Bunduki zenyewe asilimia kubwa ni mabunduki ya vita ya kwanza ya dunia