Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Unaelewa maana ya neno "show off"
You show off vitu ambavyo ni outdated, for which reasons!?

Umeshawahi kuona show off za Kenya!? Umeshawahi kuona show off za Uganda!?
Uki generalize kaka unakosea, nimekuambia kwenye show off unaweza oneshwa siraha bandia kumuogopesha adui au chakavu kumuhadaa adui yako.
 
Wakuu na naomba kuuliza kwan vita ni kuwa silaha za kutisha au ni Intelligence kuwa vyema Mbona US silaha za kutisha mbona Vietnam alichemka vizuri tuuu Vita ni Intelligence silaha zinakuja baadae
 
Siraha" ndiyo nini wewe fisi wa kisukuma...fala wewe
 
Acha kuhangaika na hao watu wanajua wanachofanya. JK was an Army Officer na alikaa madarakani miaka 10, just get a hint!. Be very comfortable just in case of anything, japo hatuombei hilo! Naamini kuwa wanachokuja kukuonyesha wewe ni kile walichotunza kwenye archive yao kama kumbukumbu
 
Wew ulitaka uonyeshwe nn labda uridhike..
Kama huwa unamwambia kila kitu mkeo familia yako ipo hatarin sana.
 
Wew ulitaka uonyeshwe nn labda uridhike..
Kama huwa unamwambia kila kitu mkeo familia yako ipo hatarin sana.
Hizo silaha kama ndizo tulizonazo basi tuandike tumeumia. Hakuna kitu....ni silaha ndogo ndogo za masafa mafupi sana ambazo hata kutulinda haziwezi. Kwa hiyo huwezi kumwambia mkeo kila kitu? Wewe una shida sana, upo na tabia kama za mwendazake.
 
JK kuwa army officer halina tija hilo, tatizo ni silaha tulizo nazo, very obsolete, ni za kizamani sana, zimepitwa na wakati na efficacy yake ni almost half of the capacity.
 
BM-21 ni obsolete, kwanza siyo accurate, pili hazina masafa marefu na tatu ni unguided. Sasa ubora wake upo wapi? Hakuna modification zilizofanywa ila zimekuwa de-commissioned. Ukisema tunazo S-400 au S-300 ningesema hapo hakuna atakayesogeza pua yake. Ukisema ongeza na ndege kadhaa Sukhoi au MIG-29 au MIG-25 Supersonic, Chengdu J-10 (Multirole) hapo ningekwambia tupo mbali sana na tupo vizuri, lakini kwa hayo mabati? Hakuna kitu, jeshi bado lipo kienyeji mno.
 
Wengi wetu tunajadili kama vile kuichukukua timu ya namungo kwa mfano kisha tuipeleke ikacheze ligi kuu ya misri....yani hapo tupo vizuri sana kwa kulibganisha vibonde wenzetu....my dad R.I.P the retired soldier alishanambia huo ni mtori tu..nyama zipo chini sana......
 
Ubora wa Paka wako atapimwa kwa kudhibiti Panya sio ukali wa kucha au meno yake

Ubora wa Jeshi letu linapimwa kwa kulinda nchi na amani na usalama wake

Hongera zao sana JWTZ
Wakati mwingine akili unazitumia, wakati mwingine huzitumii
 
Watu mkishashiba na kuangalia terminator mna tabu sana.
 
Ulinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
Wabongo wajuaji Sana weak kwa viwango vipi ? afu huwezi onyesha coin yako ya mwisho ila Mungu mkubwa ukiuliza hizo nchi zote nani zinamhofia kwenye makablasha yao watakueleza and they know TPDF well we ka huko vijiweni kwako kwa mpalange and you talk this shit
 
Inaangusha mkuu
Ndio drone uchwara hizo nilizosema. Hapo hiyo kill ni within visual range, ya kawaida. Ujue hata Ukraine kuna siku walitumia MANPAD kupiga cruise missile. Ni case ambazo sio guaranteed destruction.

Na hasara kutumia interceptor yenye gharama kubwa maradufu kuzidi suicide drone inayopigwa. Ingawa unalinganisha na madhara ambayo ingeleta
 
🤣🤣🤣 Siraha ni zilezile bro ila wanaziimprove tuu.
Mimi NASHANGAA HUMU ndani WANASEMA Ethiopia wanavifaa vya kisasa.
Ila waasi wa TPLF waliwachakaza kinoma ,
Mpaka uturuki wakawasahuri kununua drone , no wakafanikiwa.
Sasa ila HUMU UKIANGALIA watu wa HUMU ndani Ethiopia wanalisifia jeshi Lao balaa.
 
Hakuna silaha yoyote iliyofichwa wenye uwezo wa kuficha silaha ni hao wenye ujuzi wa kuzitengeneza we mtz una ujuzi wa kutengeneza silaha gani hadi upige mkwara mbuzi kuwa Kuna silaha umeficha? Umeficha manati au? Tz zile silaha zinazoonyeshwa ndo zenye hafadhali zililzobaki ndo za kizamani zaidi ni aibu hata kuzionyesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…