The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Propaganda tu hizo. Design za socialist countries..... Maonyesho kama haya utayaona tu kwenye nchi kama North Korea, China, Russia.Maonesho ya silaha ya leo lengo lake ni nini sasa!?
Sijui wa namaanisha kuwa hiyo miaka 60 wanafanikiwa kujenga jeshi imara.....!!!