Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Haya ndio madhara ya ujuaji.

Silaha za jeshi zipo outdated, outdated unadhani silaha ni smartphone zinazotoka kila mwaka na muda wowote utakuwa na budget ya kununua?

Silaha ni silaha sio smartphone au jaribu kuchukua Dreyse Reichsrevolver ambayo imetengenezwa mwaka 1879 then weka utosini na upull ile trigger kama haitakumwaga ubongo basi hii hoja yako ya silaha kuwa outdated kama windows xp itamake sense.
 
Wewe kichwa udongo mbona hujibu swali ninalokuuliza? Askari wa miguu wanaweza kupambana na Su-30
Huwa sijadiliani na watu wenye kumbukumbu duni na uwezo mdogo wa kufikiri na kujengwa hoja
 
Huwa sijadiliani na watu wenye kumbukumbu duni na uwezo mdogo wa kufikiri na kujengwa hoja
Jibu swali mzee acha kuwaka kwa hasira. Askari waendao kwa miguu wanaweza kupambana Su-30 ya uganda?

1639129039707.png
 
Watu wameshatoka huko kwenye uzalendo sijui heshima.

Sasa hivi Jeshi ni SILAHA, SILAHA ni TECKNOLOJIA.
Jeshi ni silaha, silaha ni technology.

Mkuu unaandika utadhani tanzania inakimbizana kiuchumi na USA.
Au unadhani hizo silaha na technology zake watu walitengeneza na wanagawa bure?
 
Wewe nawe ni boya.

Kwenye list ile haikuwa na order, ikiwa na maana yaani wamepenga tu moja mpaka mwisho randomly.

Na pia, ilihusisha special forces only na sio jeshi kigezo kikubwa ni hiw well trained and equipped. Special Forces za Tanzania Congo walikua wakitumia Galil MAR na ndio maana kwenye list ile hata vikosi maalumu vya Romania vipo nao wanatumia Galil MAR kwakua sio silaha za mchezo mchezo.

Acheni ushamba na ujuaji wa kijinga!


"These are the world’s most elite military teams. They’re highly trained, best equipped and well-prepared fighting units specializing in surgical military operations, from ending a hostage situation swiftly to stealthily eliminating top terrorists.

Yeah, pity the fools who get on the wrong side of any of these elite fighting forces. Please keep in mind that this list is in no particular order. We just hope you enjoy this one."

35 Most Elite Special Forces Around The World


Yaani mpaka wameweka, "please!". Kama huelewi kingereza omba msaada.
Nataman kuendelea kuzungumza na wewe kuhusu hii mada lakini naomba ufute neno la kuniita Boya.

Sipendagi kabisa kuona mtu akinitusi ukitazama tungeweza kuzungumza kawaida tu.

Hata siku mama yako akitofautiana na jirani au baba yako sidhani kama utafurahia akiitwa Boya. Hatujuani humu ndani, hivyo kutofautiana kimtazamo kusifanye kumdharau mwenzio na kumuita majina kama hayo.
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Wewe ni expert tangu lini na una uzoefu wa miaka mingapi kwenye sekta ya technology na silaha za jeshi?
 
Mzee nimefuatilia comments zako katika thread hii, umekuja kuchamba watu kama Mange. Sijaona hoja comment yoyote uliyoweka tukuone wewe ni GT.
Mimi nimemsoma nikaona ngoja nimkalie kimya. Naona anaropokaropoka tu kama mtoto mwenye njaa aliyekosa vitumbua na sambusa.
 
Siri kwani hizo silaha unatengeneza wewe? kila mtu alipewa old stock eti siri wewe unanunua mpaka msumari halafu unasema siri. Siri kama ina silaha unatengeneza na haziuzwi kama unaona USA kuna silaha hawauzi ila wakitengeneza mbadala wa hiyo wanauza wakijuwa wana mbabe wa hiyo waliyouza. wewe mpaka battery ya kuwasha kifaru unaagiza. Msicheze na vita mambo ya kizamamani watu wanakurushia kombora sehemu hata kufika huwezi wana station baharini wanapiga target tu. Ila hizi kutishana wenyewe kweli zinatutosha baada ya miaka 60 tunafurahia silaha za miaka ya 60
Hawawezi kukuelewa vijana wa miaka ya 90 na 2000, wasamehe tu.

Tunahitaji mabadiliko makubwa ya kiteknolojia ktk hiki chombo.
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Sidhani kwa intelligence ya kawaida kabisa unaweza kutoa silaha zako muhimu ukaanika mbele ya wageni
 
Kilichofanyika ni upuuzi mtupu pesa nyingi zimeligharimu taifa kwa maonesho ya siraha zilizopitwa na wakati! Ukiambiwa pesa zilizotumika jana unaweza ukalia! Jana PK kwa macho yake yale alidharau sana ameona bado tupo nyuma sana hususani kwenye nguvu ya kijeshi
Tuna rasilimali kila eneo, badala ya kuonesha nini tumefanya na wapi tunaenda, tunaonesha mtu kushuka ktk helkopta, tunaonesha bunduk za kuangulia ndege, zama hizi jeshi linahitaji vitu hivi?

Watu siku hizi wanakaa zanzibar, wanapaki meli msumbiji then wanatarget Pwani au Mtwara, hakuna tena mambo ya kupeleka watu eneo la tukio. Watu wanaenda baada ya kusafishwa kwanza.
 
Their aim was to capture key allies of the powerful Somali warlord, Gen Mohamed Farah Aideed. Japokuwa walimkamata aideed wakiamini ndio chanzo cha vita somalia. Baadae alifia mikononi mwao 1996.

In my own view marekan waliondoka baada ya kugundua vita ya somalia ni ethnic war. Na huwez maliza ethinic war hiyo iko level ya makabila. Kimsing walipoteza muda tu pale ns resources zao

Kwa technical records tu ni kuwa ni helicopter mbili tu ziliangushwa.
wasomali hawakutumia rocket launcher, zile ni RPG rocket propelled grenade ambazo mi rahis sana kuzipata. Origin yake imetoka kwa mrusi si mchina.
Hao vijana kukuelewa ni ngumu.

US ilivyojiandaa dhidi ya mapambano yale, sivyo ambavyo alichokikuta.

Akirudia kukusoma kwa makini ataelewa umemaanisha nini.
 
Propaganda tu hizo. Design za socialist countries..... Maonyesho kama haya utayaona tu kwenye nchi kama North Korea, China, Russia.

Sijui wa namaanisha kuwa hiyo miaka 60 wanafanikiwa kujenga jeshi imara.....!!!
Sehemu kubwa wenzetu ktk show off hizi zile silaha wanakuwa wametengeneza wao. So wanaonesha moja ya maendeleo ya mafanikio yao.

Sijajua sisi hapa tunaonesha for what.
 
Ukitaja Blackhawk unaongelea moja ya most advanced chopper si ndio, na mission ikafeli pia. So vita sio silaha tu pekee ndo zitakazo guarantee ushindi. Ama sivyo!?[emoji3] Wale wasomali walikuwa wanatumia AK tu na RPGs
 
Tanzania akuna stable jeshi,.. siasa nyingi sana mwanajeshi anasikia kuandamana anaenda kufanya usafi badala wawe upande na wananchi kudai haki yao...
Muda gani wanapata ku- assambble na ku- configure mitambo ..hakuna kazi pale
Uliwahi isikia ile trilion 3 ya mnadhimu mkuu wa jeshi?

Umeongea ukweli mtupu, kama police ilivyotafunwa na siasa, ndivyo ambavyo na jeshi pia lilivyomegwa.

Hakuna tena ule uzalendo ila kila mtu anatazama anaweka nini ndani ya tumbo lake.
 
Back
Top Bottom