Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Sehemu kubwa wenzetu ktk show off hizi zile silaha wanakuwa wametengeneza wao. So wanaonesha moja ya maendeleo ya mafanikio yao.

Sijajua sisi hapa tunaonesha for what.
Ulimbukeni....!!
 
Mkuu nimeshuhudia Kenya Navy si mara mmoja ni mara nyingi tu kwa miaka kadha anaita hiyo meli inayoonekana kwenye radar ujitambulishe labda uko maili 200 kutoka Mombasa huko deep sea. Na ukikaidi unaweza ghafla ukashtukia manowali nyingine ya Kenya Navy iliopo karibu nawewe inakusogelea.
Aibu kwa taifa langu hiyo bahari ya Indi eneo letuinalindwa na nini?Hakuna patrol vessel ndio sababu madawa ya kulevya yanasushwa hadi karibu na pwani zetu,Wavuvi haramu wanavua hadi milangoni mwa Dar sababu hakuna ulinzi hata wa sungusungu ni aibu.
Lakini cha ajabu naona Navy ina maofisa wengi wa nyota kibao hali huku hawana manowari za kufanyia kazi, kama vinavyoonyesha vyeo vyao.Swali hawa wanapandishwaje bila kuwa na zana husika?Kwa kuwa vigezo vilivyoiweka Navy kuwa kikosi kamili vimepwaya je nini kifuate?
Unauhakika Tanzania haina meli vita?
 
Huo ni ukweli ambao wengi watakuja kukupinga hapa yaani likitokea taifa lenye silaha advanced ni lazima tulie, watakuja hapa kukwambia jeshi letu tunalipima na waasi wa kongo, waasi wasio na silaha za kisasa wanaojificha misituni

Wenzetu kenya wanawekeza kwenye jeshi lao kila kukicha wananunua silaha za kisasa,hata rwanda pia wapo hivyo hivyo , kuna mandege yanapitaga hapa ya kivita hata milio tu unagundua ni za zamani
Mkuu yaani unagundua ubora wa ndege kwa mlio wa engine? tena engine ya fighter jet? sio bodaboda wala bajaji?

Kitu ambacho hukioni mara kwa mara wala technology iliyotumika au unategemea engine ya fighter jet inayotembea atleast at 1000km/h iwe na sound kama ndege ya abiria au pikipiki ya boxer?

Seriously?



Mkuu lini umekuwa expert wa maswala ya engine za fighter jets na ubora wake au wewe ni army pilot?
 
Heshima yako mkuu!

Kabla sijasoma post yako hata mimi nlichangia hoja hapa kuwa kuna nchi kama Kenya na Ethiopia. Hizi nchi ktk ukanda wetu zimepiga hatua kubwa mno ktk uwekezaji jeshini.

Hatuwez leo kusema tuna kikosi bora kwa kuwa tuliwapiga M23 au waasi wengine, ilishawahi kutokea miaka ya nyuma Tz tukashika namba ishirin na kitu kwenye vikosi bora ulimwenguni, watu tukasifia mno.

Lakini huwez amini mkuu, China, Korea zote mbil n.k hawamo mle ndan, je kusema sisi ni bora kulia wao? Tumekuwa watu wa kusifia hiki chombo lakini kiuhalisia hakina sifa ambazo zinazo.

Kwa zama hizi tuna jeshi la kawaida mno, tena tusije thubutu jifananisha na majeshi mengine hapa Afrika.
Sisi tunasema tunalinda mipaka yetu. Kama mipaka yetu ikosalama basi tuko salama.

Lakin imani yangu jeshi linajitahidi kufanya juu chini kuhakikisha linakuwa imara, na linajiweka mahali pazur kwa kulinganisha na nchi za wenzetu.


watu mnashindwa kuelewa kuwa M23, wale wanapigama gorilla war na unapozungumzia vita vya nchi na nchi unazungumzia convectional war. Hivyo ni vita tofauti. Gorilla war ni ngumu ajabu, inahitaji taarifa na uwezo wa kukusanya taarifa za kutosha.

Nimeangalia ileshow ya makomando, wao vizur, ilikuwa Emotional sana yaani nilifurahia.
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
sisi tunapambana na CDM.
 
Basi hujui chochote wakati wa kikwete alinunua meli 2 kubwa za kivita kutoka japan hiyo Nina uhakika nalo so no research no right to talk.
Mwongo wewe hujui meli ni nini,toa specificstion zake,au unazungumzia mitumbwi?
Anzia Msimbati mpakani mwa Tanzania na Mozambique hadi Mpaka wa Tanzania na Kenya ,jifanye japo usogelee visiwa vya Comoro kama utaona meli yoyote ya kivita ya Tanzania.
Lakini enzi za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilikuwepo manowari zetu zikipiga kazi kwenye bahari yetu.
Na sio hiyo tu tulikuwa na Police Marine ikiwa na manowari, zake nyingi tu zikifanya kazi kisawasawa.
 
Vijana wengi wanaangalia movies zinawachanganya sana, hawajui mambo kwa ground ni tofauti kabisa.

Tanzania ni nchi ya Kijamaa, mambo yake mengi ni siri, hicho wanachoonyesha sicho kilichopo...

Kila Mwaka bajeti ya wizara ya Ulinzi na usalama inatengwa tena ya kutosha, umewahi kusikia wametangaza kununua hiki ama kile...

Ukiona umekaa sehemu unashushia bia na nyama choma tena kwa amani kabisa jua kuna wanaume hawalali huko.
Kwa reply hii uzi ufungwe. Majibu yamekamilika kabisa. Asante mkuu.
 
Sehemu kubwa wenzetu ktk show off hizi zile silaha wanakuwa wametengeneza wao. So wanaonesha moja ya maendeleo ya mafanikio yao.

Sijajua sisi hapa tunaonesha for what.
Hakuna nchi Africa inatengeneza silaha so far labda kama ni siri. Sana zaidi wanaunganisha. Wanafanya ASSEMBLING MASHINE PARTS na sio MANUFACTURING from scratch. Pale NYUMBU kuna silaha na vifaa vingi vinaunganishwa na baadhi hutengenezwa. Acha kuwaamini wanasiasa wa KENYA na RWANDA uka underate jeshi letu. Tupo vizuri wape heshima yao JWTZ huwezi jua wamezima matukio gani ndani na nje ya nchi kuna operations zinafanyika kwa siri kubwa sana.
So far nikuhakikishie kuna askari na maofisa kibao wa Jw wapo mafunzoni sehemu mbalimbali dunian wanajifunza mengi kuhusu uwanja wa medani na kuviongoza vyombo vya kimedani na matengezo yake.
 
Ila mbali ya silaha zote limezidiwa na mbinu za CCM ,tunaona makomandoo wake wanahenyeshwa na kupewa vibano na vitengo vya CCM vilivyojipenyeza kwenye usalama wa Taifa,mjeshi hushughulikiwa na Military police,sasa hawa wanaoteswa kuandikishwa maelezo ya ajabu ajabu ,Jeshi letu limekaa kimya kama sio wenzao,wanaaibishwa na kusababishiwa kutiliwa mashaka.
 
Mzee hiyo ni silaha ya 1967 USSR technology
View attachment 2038210
huoni aibu ushahidi wako mwenyewe unasema ni silaha imegunduliwa mwaka 1967 na iko active to date ikifuatiwa na maboresho ya hapa na pale mpaka leo..
kwahyo ulitaka uoneshwe kila kitu tulichonacho wewe umekuwa nani mkaguzi na mhakiki wa silaha nchi za maziwa makuu ama!?..
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
We jamaa,nani kakuaminisha kwenye Sherehe kama hizi,nchi huonyesha siraha zake zote!?hakuna intelinjesia ya nchi inaweza kuruhusu kitu kama hicho.
 
Nilitaka nione hapa kama kuna silaha mpya. Sasa natumaini awamu ya tano haikununua sana silahasilaha hasa labda hizo Cougar na Super Cougar mbili, moja ilikuwa kwenye maonesho na nyingine iliyowabeba walipoondoka wameninginia sijui ni type gani. Na zenyewe waweza kuta order ilitolewa kabla ya JPM
Magufur haku nunua magari ya jesh kabisa je ange weza kununua silaa nzito kweli kama magar ya kawaida tu hakununua jesh lina tumia magari ya miaka kumi kurudi nyuma
 
Sisi bado primary weapon ya infantry ni SMG bunduki ya 47. Sema uzuri hata tukipata vita tutapigana na maboya wenzetu kama Congo sijui Rwanda n.k
 
Back
Top Bottom