Kama sio Maaskofu wa Kanisa Katoliki, Watanzania tulikuwa tunapigwa na kitu kizito sana na DP World

Wakatolik wahuni tuu
Unaweza ukawa na ukweli.Kwa sababu zama za kale kulikuwa na msemo "EX EXLESIA NULA SALUS"! Kwamba nje ya kanisa(Katoliki) hakuna wokovu Lakini,baada ya kujidhihirisha kwamba kanisa lilipitia makosa na upotofu mwingi,likaamini kwamba kumbe "KANISA LINAWEZA/LITAENDELEA KUSAHIHISHWA NA WAKOSOAJI (REFOMANDAS)WAKE WA NJE NA HATA NDANI.
Hata wewe usiishie kuandika tu kwamba ni "wahuni"!Toa maelezo yenye ukweli,uhakika na pasina shaka,utasikilizwa na kupokewa.
 
Kweli?au hujui hawajamaa usizani wanahuruma hats kidogo wanchota pesa ndefu sana wanapewa naserekali nabado kilaufisadi jamaa wamo kwenyemgao mfano es
 
Vyeo vya askofu. 1. Mchungaji, 2. Nabii, 3. Mfalme. wana uwezo wa kutumia marungu yote kwa pamoja
Siyo Askofu tu; kupitia ubatizo, Wakristu wote tumeshirikishwa unabii, ukuhani na ufalme.
 
Mikataba hiyo imejadiliwa na jamii kwa sababu imeonekana kwa umma na unaposikia mkataba mbovu ni siasa zenye malengo maalum nyuma ya maoni hayo.

Haupo uwezekano wa nchi kuuzwa kupitia mkataba wakati huyo mwekezaji anakwenda kuendesha magati mawili tu ya TPA, kuna mikataba mingine ya bandari na muendelezaji wa magati namba nane mpaka kumi na moja hatujui nini kimeandikwa humo.

Kuna mwendeshaji wa bandari wa Bagamoyo, hatujui mkataba wake na serikali utaandikwa vipi, na mikataba ni mingi sana inayoendesha shughuli nzima za miradi ya kiserikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…