Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Uhakika wa kufaulu upo kwenye private schools. Pitia matokeo shule za serikali. Hali ni mbaya.
hayo maneno ya "ufaulu umeongezeka" yasikie hivyo hivyo
Wanafalu na maisha???? Tumieni akili
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kumbe cocastic nawe bado wakusoma[emoji4]
 
Huyo anafilisika anajiona
 
Mwambie kabisa wewe ni mwanaume, shida yako unadanganya watu kuwa ni demu halafu baadae kwenye simu wanakuja kugundua kuwa ni mwanaume ndipo unapoleta shida wewe kijana
Duh! Masihara haya[emoji848]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usicheke mkuu, mtoto ana masterz anatafta kazi ya laki 3 kwa mwezi huku thamani ya elimu yake ni ya kulipwa millions.

Si aheri hizo hela ungemfungulia biashara baada ya form 4 tu. Ikisimama aendelee na mpango wa kusoma masters ila akiwa anaingiza hela zake.
 
Ni Ushamba Sana kusomesha ukiwa na lengo moja TU la mwanao kua mwajiliwa.

Mjenge mwanao awe mbunifu,ajiamini na hata aweze kujiajili.
 
Nadhan wee ndo umeenda kdg nje ya box,

Wengi humu naona wanabishana khs private za kina St.marys na hizi kayumba za serikali

Sio hizo international
 
Shule za kata na shule za akina Tabora boys,Kisimiri,Kibaha nk msiziweke kundi moja
Shule za private za St.marrys na tussiime zisiwekwe kundi moja na kina Tanganyika international schools
 
Shule za private za St.marrys na tussiime zisiwekwe kundi moja na kina Tanganyika international schools
IST anaweza amalize aende Yale,Havard, Salford . Sio aende chuo cha Genta. BUSISI UNIVERSITY
 
Mtoa post ana kitu huyu asipuuzwe
 
Kuna baadhi ya watu humu wanachekesha.
Msizifananishe international schools zenye mitaala ya IB, Cambridge na Mitaala hii yetu.
Pia kama kipato kipo bora kupeleka watoto huko, bond na urafiki atakao kuwa nao utamnufaisha sana baadae na hiyo ni investment nyingine tofauti na kayumba.
 
Kama anaishi kimara ng'ombe 68πŸ™„πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…