Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Uhakika wa kufaulu upo kwenye private schools. Pitia matokeo shule za serikali. Hali ni mbaya.
hayo maneno ya "ufaulu umeongezeka" yasikie hivyo hivyo
Haki tena, JK hakukosea, za kuambiwa changanya na za kwako!
Rahisi sana kupotea usipotumia akili zako!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kama hoja ni kuelewa tu basi hata kwa Kichaga,Kihaya,Kimasai,Kimatumbi n.k wanaweza kuelewa na tuwafunishe hivyohivyo.
Hoja yako ni chakavu na imekosa dira na muelekeo.
Hujifunzi ndio tatizo lako.. India karibu kila State inlugha ya kufundishia.. wao waliofanya hivyo ni sisi tuliadopt kizungu nani anafanya vizuri kwenye eneo la ubunifu!?

Acha kupelekeshwa na dunia.. take a pause and think independently. Wanao unawafundisha majukumu yao ya nyumbani kwa kizungu!? Mbona wanayaelewa na wako very confident kuyaexpress kokote!?

Nakama hoja sio kuelewa.. shule wanaenda kufanya nini.. kuimba!?
 
Mleta mada upo sahihi tatizo la wazazi Ni kuigana, Wanasahu kuwa Elimu hufuata mkondo.

Kama mzazi ni std 7 hata ukifosi mwanao asome IST ni kazi bure, kingine nikwamba tunasomesha watoto wajue thamani na siyo kuwa matajiri.
 
Waliosomea hizo english medium na kayumba waje watupe mrejesho huko mtaani life linasemaje

Waliojiajiri/walioajiriwa wengi wanatokea wapi?
Wabunifu wengi wanatokea upande upi?
Viongozi wengi wanatokea upande upi? n.k
 
Hawana exposure..na kujiamini.
Kujua lugha hakukufanyi smart... Au kujua kabla ya mwingine hakukufanyi uwe na akili zaidi yake.. mtoto anatakiwa ajue hilo mapema maishani.

Elimu ni kutafsiri maarifa uliyopewa au kupata katika maisha yako ya kila siku. Mtoto anajua kiingereza hajui kufunga kamba za viatu inamsaidia nini!?
Mtoto anajua kiingereza hawezi kwenda sokoni mwenyewe na kurudi itamfaanini!?

Logic and Reasoning ndio muhimu. Kwa level za chini watoto wanatakiwa kuwa curious... Mid ages waweze kuleta connection na theory na uhalisia katika maisha yao.. mtoto awe huru atleast saa 9 saa kumi aende akacheza apumzike kutoka shule ... Ukizidisha hapo unaua curiousity mtoto anakuwa duster ananyonya kila kitu kama kilivyo without Reasoning
true that
 
Waliosomea hizo english medium na kayumba waje watupe mrejesho huko mtaani life linasemaje

Waliojiajiri/walioajiriwa wengi wanatokea wapi?
Wabunifu wengi wanatokea upande upi?
Viongozi wengi wanatokea upande upi? n.k
Umri wa viongozi wetu ni mkubwa. Wamesoma za serikali zamani wakati private zilikuwa chache.
 
Zisizozidi laki 1 kwa mwaka nje ya mahitaji muhimu ya mtoto
Mi tatizo langu na kayumba school ni utoaji wa adhabu Kali zilizopitiliza Hali inayopelekea watoto kuwa na matatizo ya kisaikolojia

Km ukifanya utafiti watanzania tulio wengi tuna matatizo ya kutojiamini na chanzo kikuu cha Hali hii ni shule zetu hizi za kayumba.

Km ulisoma kayumba nadhani utakuwa unanielewa, shule za kayumba ukiwa unajiamini unaonekana ni tatizo mbele ya walimu watakuandama mpaka uone shule chungu

Yaani mwalimu kila anapoingia darasani we ndyo unajifanya kiereere cha kumuuliza maswali, soon wataku lebel km mjuaji na utakula stiki mpaka unakuwa ngo'mbe km wenzako yaan hakuna kuhoji.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mgoyojr
Hivi ada za Shaaban Robert zipoje?

Mimi nimesoma form 1 pale 2004 , kiukweli Ada ilikuwa nahisi ni milion moja na laki fulani ya kipindi kile kwa mwaka nahisi , but Shabaan Robert walikuwa wako very selective na ufaulu wa mchujo na pia walikuwa nahisi wanaangalia background sijui za wazazi manake kwa bei ile ilikuwa watu wengi wangeweza ingia but nafasi zilikuwa chache sana na watu wengi walifaulu wakitoka hapo manake Elimu ilikuwa babu kubwa kutoka kwa walimu best ... Sams goes to Shule nyingi za kihindi na asili za wa asia . But they deliver the best to their generation ndio maana unaona wanatoa elimu nzuri manake Target yao ilikuwa jamii yao wapate elimu nzuri
 
Mi tatizo langu na kayumba school ni utoaji wa adhabu Kali zilizopitiliza Hali inayopelekea watoto kuwa na matatizo ya kisaikolojia

Km ukifanya utafiti watanzania tulio wengi tuna matatizo ya kutojiamini na chanzo kikuu cha Hali hii ni shule zetu hizi za kayumba.

Km ulisoma kayumba nadhani utakuwa unanielewa, shule za kayumba ukiwa unajiamini unaonekana ni tatizo mbele ya walimu watakuandama mpaka uone shule chungu

Yaani mwalimu kila anapoingia darasani we ndyo unajifanya kiereere cha kumuuliza maswali, soon wataku lebel km mjuaji na utakula stiki mpaka unakuwa ngo'mbe km wenzako yaan hakuna kuhoji.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app

Elimu ya Tanzania ndio ilivyo , kote tu si kayumba hata tu english medium , elimu ni ya kuogopana , ukimuona Mwalimu , professor unamuogopa kama mtoa roho wakati huyo ni mfundishaji wako unatakiwa uwe close na akujue vzuri kiundani ili mbond na muweke perfect environment ya kusoma na uelewa , nje watu wanaongea na maprofessor wao wakubwa darasani kwa heshima but bila kuogopana na mnachat hata kwa simu na kupigiana pale unapohitaji msaada wa jambo fulani , mko friendly bila ya kuogopana . Rudi bongo PROFESSOR NI MUNGU MTU , WE NEED CHANGES GUYS
 
Angalia huyu mshamba mwingine huku duniani, watu wanamaanisha maisha ya mtu baadae pamoja na kusoma hizo english school na mtu aliyesoma kayumba,ukweli ni kwamba watu wa kayumba wengi ndo utakuta wanatoboa maisha, hawa wa kwenu ambo unakuta wanasoma wengine mihula ya uingereza huishiaga kwenye ubishoo tu na wanatafuta kwenda kufanya kazi nje, kule ukubwani au uzeeni wanarudi na mikogo tu ya kutembea wametanua mikono na miwani ya jua machoni huku wameacha kizazi chao kikiishi utumwani ugenini na kua wamekimbia aridhi ya uzao wao,endelea kumsifia wa kwako bado yuko darasa la 7, huyo siyo jiwe anakua, akikua utaona kitakacho tokea labda tu awe amezaliwa na utashi wa asili, vinginevyo utajuta tu maana tumewaona wengi kwenye familia na majirani
Uongo

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mm nimesoma kayumba ,kiingereza nakijua kuongea vizur bila mtetemo ,ila kwa shule za kayumba za Leo hapana aisee siwez peleka mtoto huko labda nisiwe na hela kabsaa nimechoka ......lazima nipeleke mtoto eng.medium akapanue wigo na kukutana na marafiki wenye ahueni ya maisha ..baadaye watapeana connection za kimaisha

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Umeona mbali

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Umeongea maneno makubwa sana mkuu..
Yapaswa uwe na mawazo ya mbali sana kulielewa hilo..
Utakuta mtu ni kapuku kabisa, hana chochote nae anashindana na wenzie mtaani kupeleka mtoto shule za kurudishwa na gari.

Ukimuuliza kwa nini usisomeshe mtoto shule ya kawaida?
Anasema siwezi kumsomesha mwanangu shule kama nilizosoma Mimi..

Sasa kama shule hizo za kayumba hazina msaada mbona wewe sasa unaweza kumsomesha mwanao,,shule ya gharama kubwa?
Je kama shule uliyosoma haikukusaidia ungewezaje kupata kazi nzr ya kuweza kumsomesha mwanao shule ya gharama Leo?

Jibu ni college , mtoto hata umsomeshe shule ya gharama kiasi gani bila kwenda chuo ni sawa na zero..

Na mtoto hata asome shule duni kiasi gani lakini akifika chuo hatokuwa na tofauti na yule aliyesoma shule za gharama.

Wakikutana chuoni hakuna utofauti wowote.
Ongeeni yote ila mwisho wa siku kwenye interview za kutafuta kazi hpo ndipo mbivu na mbichi ndipo zinapojulikanaga

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Elimu ya Tanzania ndio ilivyo , kote tu si kayumba hata tu english medium , elimu ni ya kuogopana , ukimuona Mwalimu , professor unamuogopa kama mtoa roho wakati huyo ni mfundishaji wako unatakiwa uwe close na akujue vzuri kiundani ili mbond na muweke perfect environment ya kusoma na uelewa , nje watu wanaongea na maprofessor wao wakubwa darasani kwa heshima but bila kuogopana na mnachat hata kwa simu na kupigiana pale unapohitaji msaada wa jambo fulani , mko friendly bila ya kuogopana . Rudi bongo PROFESSOR NI MUNGU MTU , WE NEED CHANGES GUYS
Aliyeimba bongo bahati mbaya hakukosea

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mimi namtazamo mwingine japo sitofauti sana na wewe, mimi naona ni vyema kipindi hichi wazazi wenye kipato cha kawaida wakawa na malengo ya kuja kuwekeza zaidi kwa watoto wao kwenye elimu ya juu huku chini hakuna haja sana sababu watoto wanaishia kujua lugha tu.
Uko juu ndo kuna nini? tusikariri kwamba ukisoma lazima uwe CEO au uajiriwe mtoto asome apate uwezo wa kupambana, hiyo lugha ni mhimu tofauti na unavoichukulia. Kuna kampuni moja ya gas niliahi kufanya asilimia 90 ya wabongo waliokuwa wameajiriwa pale, wamesoma nje siyo kuwa walikuwa na knowledge kubwa kuliko waliosoma ndani. Tatizo ni lugh kwenye interview, soma kilimo fanya miradi kilimo na ufugaji
 
Nyie mnaokaa mijini mimi niko mbwinde kilindi huku.. pigania wanao.. sio fedha yao yote unampelekea mtu awape cheti.. ukishindwa ng'ombe wapandie shamba la miti, watunzie bank hiyo milioni mbili kila mwaka, wanunulie hisa... Wanunulie ardhi.. wajengee .. sio pesa yote unapeleka apate elimu.. halafu akitoka mnakaa mnaangaliana.. ukipanda ujue kuna palizi na baadae kuna kuvuna.. sio unapanda halafu unaenda.. mazao yatadumaa, na mwisho yataoozea shambani
Mawazo mazuri sana, je kizazi hiki kitataka kuingia huko mashambani??

Nikiangalia vitu walivyoamini na kuvipenda wazazi wangu sivyo navyo viamini na kuvipenda mimi, na hata watoto wangu nikiangalia wana maono tofauti kabisa na mimi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mwambie kabisa wewe ni mwanaume, shida yako unadanganya watu kuwa ni demu halafu baadae kwenye simu wanakuja kugundua kuwa ni mwanaume ndipo unapoleta shida wewe kijana
Sasa mommy kwan huyo muhusika, yupo serious? Au mie nipo serious? Mbna vitu vidogo mnapenda kuvichukulia serious. Yaan mie niwadanganye watu ili iweje? Sijawahi kutangaza jinsia yangu humu, na wala hakna anaejua hilo.
Poleeeeeh huko kwa cm wapi wanapojua jinsia yangu? Hebu relaaaaax mie swezi kukuibia mabwana zako.
 
Ukiwa mji wa kielimu.. ni kumjengea mtoto tabia.. anasoma shule ya kawaida.. anatumia muda wake vizuri. Anaratiba ya library, ana tembelea maeneo kujifunza kwa vitendo ndio kumjengea mtoto uwezo. Sio kulipa hela nyingi apewe taarifa na kuaminishwa vitu.

Apate vitabu, mtembeze aonane na Mainjinia, tofauti tofauti.. aone processes mbalimbali anazojifunza kwa nadharia.. hivyo ndio kumpa mtoto elimu..
kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom