LUKAMA
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,117
- 1,343
Story yako umetelekeza kule mbona mnaangaisha watuSiamini kama kuna mtu ana hela ya kuchezea hivyo, hata kama anazo nyingi.
Japo lolote linawezekana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Story yako umetelekeza kule mbona mnaangaisha watuSiamini kama kuna mtu ana hela ya kuchezea hivyo, hata kama anazo nyingi.
Japo lolote linawezekana.
Kwani kuna shida gani? Kama Yanga wamenunua tiketi zote, yaani 'SOLD OUT' Simba si wafungulie mageti watu waingie free, maana tayari 'mpunga' wameishaupata.Kuna taarifa (si rasmi bado naendelea Kuzichunguza) zinadai kuwa Tiketi nyingi za 'Simba Day' zilizonunuliwa huku Uongozi wa Simba SC ukifurahia SOLD OUT yake wakiamini kuwa Uwanja wa Benjamin Mkapa utajaa hadi Pomoni Keshokutwa zimenunuliwa na Matajiri wenye UMAFIA wa Yanga SC kwa Makusudi ili Mashabiki wa Simba SC wakose Tiketi na Uwanja usijae kisha Simba SC Waumbuke na Wachekwe kwani kama kweli Uwanja ukijaa (Nyomi likiwa ni la Kufa Mtu) kwa Mkapa hadi Uhuru itakuwa ni Fedheha (Aibu) kubwa kwa wana Yanga na Klabu yao ya Yanga SC inayojinasibu kuwa na Mafanikio makubwa ya ndani na nje ya Uwanja.
Hivyo basi GENTAMYCINE nichukue nafasi hii Kuuomba Uongozi wa Simba SC na hata Watendaji wa Serikali na Vyombo vyake muhimu (hasa Watu wa TISS) kulifuatilia na kulichunguza na kama lina Ukweli basi ni muda sahihi sasa kwa Klabu ya Yanga kuchukuliwa Hatua kwani wanachokifanya sasa (kama hii taarifa ni ya kweli) siyo Uungwana na Uanamichezo bali ni Vita rasmi ya Ugaidi Michezoni (Mpirani) na ikiachwa ipo Siku itatupeleka kubaya na Mpira Wetu utakuwa ni Vita Kamili na siyo Burudani tena kama lilivyo Lengo Mama la wenye Mamlaka nao (nalo) akina FIFA Kidunia na CAF kwa Afrika.
Tutaniane, ila tusileteane Uhuni!!!
NarudiStory yako umetelekeza kule mbona mnaangaisha watu
lini aise hadi unasababisha watu kutukana unajuaNarudi
Weka hapa hiyo video nasi tuweze kuiona, na kama hilo limetokea basi lengo la hao watu linaweza kuwa ni kupata faida kwa kuuza hizo tiketi kwa bei kubwa zaidi ya aliyonunua yeye kwasababu kutakuwa na uhitaji mkubwa siku ya mechi
Madunduka bana. DahKuna taarifa (si rasmi bado naendelea Kuzichunguza) zinadai kuwa Tiketi nyingi za 'Simba Day' zilizonunuliwa huku Uongozi wa Simba SC ukifurahia SOLD OUT yake wakiamini kuwa Uwanja wa Benjamin Mkapa utajaa hadi Pomoni Keshokutwa zimenunuliwa na Matajiri wenye UMAFIA wa Yanga SC kwa Makusudi ili Mashabiki wa Simba SC wakose Tiketi na Uwanja usijae kisha Simba SC Waumbuke na Wachekwe kwani kama kweli Uwanja ukijaa (Nyomi likiwa ni la Kufa Mtu) kwa Mkapa hadi Uhuru itakuwa ni Fedheha (Aibu) kubwa kwa wana Yanga na Klabu yao ya Yanga SC inayojinasibu kuwa na Mafanikio makubwa ya ndani na nje ya Uwanja.
Hivyo basi GENTAMYCINE nichukue nafasi hii Kuuomba Uongozi wa Simba SC na hata Watendaji wa Serikali na Vyombo vyake muhimu (hasa Watu wa TISS) kulifuatilia na kulichunguza na kama lina Ukweli basi ni muda sahihi sasa kwa Klabu ya Yanga kuchukuliwa Hatua kwani wanachokifanya sasa (kama hii taarifa ni ya kweli) siyo Uungwana na Uanamichezo bali ni Vita rasmi ya Ugaidi Michezoni (Mpirani) na ikiachwa ipo Siku itatupeleka kubaya na Mpira Wetu utakuwa ni Vita Kamili na siyo Burudani tena kama lilivyo Lengo Mama la wenye Mamlaka nao (nalo) akina FIFA Kidunia na CAF kwa Afrika.
Tutaniane, ila tusileteane Uhuni!!!
Unamuamini huyo mwehu?Weka hapa hiyo video nasi tuweze kuiona, na kama hilo limetokea basi lengo la hao watu linaweza kuwa ni kupata faida kwa kuuza hizo tiketi kwa bei kubwa zaidi ya aliyonunua yeye kwasababu kutakuwa na uhitaji mkubwa siku ya mechi
Shida kubwa hamna akili tunawajua mko kama manyani na mambwa na mwaka huu mtabweka sanaSi yanga tunataka mpira baina yetu na Simba na tawi lao pendwa Azam uwe vita kamili kama Boca na River plate na upande wetu tumeishatangaza tayari msimu huu ni WA vita
Anakaa kwa shemeji huyoPunguza kuandika pumba wewe dogo
Aliyekuzaa nae Uwehu wake alipona lini?Unamuamini huyo mwehu?
kwa mujibu wa genta zimenunuliwa zote sasa walionunua wanatoka wapi?Unafungua mageti then wakija watu walio nunua tickets unafanyaje?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huyo hana akilikwa mujibu wa genta zimenunuliwa zote sasa walionunua wanatoka wapi?
Na kwa Basha wako pia.Anakaa kwa shemeji huyo
Kama Aliyekuzaa.
Kumbe ni huyu,tumwache kijana bado anajitafuta kimaisha na alishaona platform yake ni hii ya kujifyatua akili kupitia kofia ya kuwa shabiki lia lia wa Yanga.Uwanja utajaa tena mapema tu na watu wataingia kwa tiketi halali walizonunua.
Mbona hizi sifa unazo zote mkuu halafu punguza hasira unapanua moyo huo matibabu JK ni gharama kubwaShida kubwa hamna akili tunawajua mko kama manyani na mambwa na mwaka huu mtabweka sana
Kwamba luc eymael alituambia sisi simba ni manyani mambwa tunabweka bweka hovyo hatujui mpira?Mbona hizi sifa unazo zote mkuu halafu punguza hasira unapanua moyo huo matibabu JK ni gharama kubwa