Kama taarifa hizi za 'Hujuma' inayofanyiwa Simba na Yanga ni kweli, hatua kali zichukuliwe

Kama taarifa hizi za 'Hujuma' inayofanyiwa Simba na Yanga ni kweli, hatua kali zichukuliwe

Kuanzia jana na leo huko Temeke kila ukionekana umevaa nguo nyekundu unapewa ticket bila kujali ulinunua.
 
Kama ticket ya Tsh elfu 10 walishindwa kununua uwanja ukawa wazi ndo wataweza kununua ticket zote ili uwanja usijae? si wangeanza kununua za tamasha lao wagawe bure
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kuna watu bongo wana pesa hazina kazi, kama we huna pambana kutafuta!
Hakuna mtu mwenye pesa hazina kazi, ndio maana hata Mo, Bakhresa na Bill gates bado wanaendelea kuzitafuta.
 
Kuanzia jana na leo huko Temeke kila ukionekana umevaa nguo nyekundu unapewa ticket bila kujali ulinunua.
Unanichukia na hunikubali halafu Kutwa ( 24/7 ) bado tu unanifuatilia hapa JamiiForums kwa ama Kuzisoma Threads
au hata Posts zangu. Mimi mbona siwashobokei?

Nashauri kwakuwa nimekuwa Chukizo Kwenu naomba msiwe hata mnawashwawashwa Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums bali kasomeni / kazisomeni za wale mnaowana ni bora zaidi yangu na mnawakubali.

Mnaboa na Kukera...!!
 
Acha nyege kakutukania mamako wapi?mbona tusi hatulioni?wee ni hoples
Achana na Fool huyo kaja na ID yake nyingine na Kaanzisha Thread kuna natukana Mama za Watu hapa JamiiForums na naenda tena huko huko Kumjibu kwa hiyo ID yake nyingine.
 
Kuna taarifa (si rasmi bado naendelea Kuzichunguza) zinadai kuwa Tiketi nyingi za 'Simba Day' zilizonunuliwa huku Uongozi wa Simba SC ukifurahia SOLD OUT yake wakiamini kuwa Uwanja wa Benjamin Mkapa utajaa hadi Pomoni Keshokutwa zimenunuliwa na Matajiri wenye UMAFIA wa Yanga SC kwa Makusudi ili Mashabiki wa Simba SC wakose Tiketi na Uwanja usijae kisha Simba SC Waumbuke na Wachekwe kwani kama kweli Uwanja ukijaa (Nyomi likiwa ni la Kufa Mtu) kwa Mkapa hadi Uhuru itakuwa ni Fedheha (Aibu) kubwa kwa wana Yanga na Klabu yao ya Yanga SC inayojinasibu kuwa na Mafanikio makubwa ya ndani na nje ya Uwanja.

Hivyo basi GENTAMYCINE nichukue nafasi hii Kuuomba Uongozi wa Simba SC na hata Watendaji wa Serikali na Vyombo vyake muhimu (hasa Watu wa TISS) kulifuatilia na kulichunguza na kama lina Ukweli basi ni muda sahihi sasa kwa Klabu ya Yanga kuchukuliwa Hatua kwani wanachokifanya sasa (kama hii taarifa ni ya kweli) siyo Uungwana na Uanamichezo bali ni Vita rasmi ya Ugaidi Michezoni (Mpirani) na ikiachwa ipo Siku itatupeleka kubaya na Mpira Wetu utakuwa ni Vita Kamili na siyo Burudani tena kama lilivyo Lengo Mama la wenye Mamlaka nao (nalo) akina FIFA Kidunia na CAF kwa Afrika.

Tutaniane, ila tusileteane Uhuni!!!
Pumba
 
Back
Top Bottom