Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

..ona sasa vichwa panzi vya hawa baadhi ya wanachichiem!! ccm ya ukweli(ya kina mzee warioba) mnatakiwa mfukuze huu uchafu wa namna hii kutoka chaman kwa sababu ndo unaokichafua na kukididimiza hicho chama kila kukicha. hivi wewe crabat kati ya mengi na ikulu nani mwenye status zaidi? kwa hiyo ikulu kuchafuliwa wewe unaona sawa ikae kimya ila mengi harakaharak ndo unamwangushia mzigo wa kuprove???!!! yaan nyie watu mmeishusha sana hadhi magogoni, mnapaona kama kibanda cha bibi kizee kule kijijini. Ina maana wewe hushtuki ukisikia "ikulu ya nchi" inatajwatajwa kwenye mambo ya hovyo hovyo kama haya ya huyu msaliti zitto? yan hushtuki kabisa??!!! Huoni kwamba "ikulu ya nchi" ina duty na right ya kutoa ufafanuzi wa mambo kama haya haraka? hivi wewe huna hata chembe ya uzalendo ilokusalia?!! au wewe unafikiri ikulu ya nchi ni hizi nyumba zetu tunazojenga huku mtaani?

hopeless...
 
Hakika Bavicha wana ugonjwa wa kusahau...ndio maana wameamua kuungana na madisadi kumchafua Zitto.

kila kitu lawama kwa bavicha...utajaingiza bavicha ktk family issues,umekua sasa acha utoto kwa ufinyu wa fikra
 
Pasco wakati mwingine nakukubali na wakati mwingine sikuelewi au wewe ni nyoka mwenye makengeza. Hongera kwa uzi huu
 
Kama hii habari niya kweli sasa tusubiri ligi yake Mengi nani atanyoosha mikono


Duh mkuu ligi ya Zitto na Mengi hujui nani atashindwa??

Mswahili....mpuuzi na masikini Kama Zitto anaweza shindana na Mengi??

He is just a smaller dog !!!!

Amekwisha!!!!!!
 
Wakati Zitto anawasilisha ripoti ya PAC bungeni rais Kikwete alikuwa Marekani kwenye matibabu.

Huu sio ulimwengu wa analogia bali ulimwengu wa digital. Tunapojadiliana wewe Ritz na mimi hatujakaa meza moja ndicho kinachoweza kutokea Zitto kumfikishia kikwete habari hizo.
 
Huu sio ulimwengu wa analogia bali ulimwengu wa digital. Tunapojadiliana wewe Ritz na mimi hatujakaa meza moja ndicho kinachoweza kutokea Zitto kumfikishia kikwete habari hizo.

Mkuu wangu uwezo Wa kufikiria ulioufikia wewe huyo KENGE hana!!!!

Labda kuisoma ile minyoo yao hapo utampata lakini kwa issue hiyo he is too low!!!
 
Duh mkuu ligi ya Zitto na Mengi hujui nani atashindwa??

Mswahili....mpuuzi na masikini Kama Zitto anaweza shindana na Mengi??

He is just a smaller dog !!!!

Amekwisha!!!!!!

Wachaga wana madharau ! wewe kwa Mengi ni tajiri mwenzio au mlinzi wake ?......au kanguruwe fulani hivi ? lusungo
 
Last edited by a moderator:
Namwona kwa mbaliiii zitto akielekea kuwa another new mrema hahahahah ni bora akaacha siasa tu

Mrema ametengeneza history ktk nchi hii.amepata cheo ambacho hakipo kikatiba na dunia itamkumbuka kwa hilo.we masaburi umeacha nn
 
Kama kweli Zitto kafanya hivi, then si mwanasiasa mzuri na makini. Pia atakuwa hana akili kabisa, nasi tunajua anazo akili.
Lakini kama hizi tuhuma si za kweli kwa nini hajakanusha hadi Leo? Ukimya ina maana unakubaliana na kilichosemwa kutegemeana na unyeti Wa jambo. Hili ni jambo nyeti ambalo hakupaswa kulifumbia macho.
 
babu anatafuta kick,ngoja jion utaskia mwanaume atakavyojibu kiuungwana,babu chezea wote sio huyu nyerere wa pili utauza had huyo mjukuu wako uliemuoa juzi.

Ni mwenye mtindio wa Ubongo pekee atasema kuna mtu ana sifa za Nyerere wa pili. Huyu mpenda sifa hana hadhi hiyo! Never on earth!
 
Pasco, wakati huu wachaMungu wamezama katika maombi wakimlilia Mola atupatie Rais BORA! Huyu Zitto yumo TANURUNI na akivuka salama yeye ndiye Rais ajaye, utamsikia tu Lubuva kwa uwezo wa Mungu anaahirisha uchaguzi ili matakwa ya KATIBA yatimilizwe!
 
Wachaga wana madharau ! wewe kwa Mengi ni tajiri mwenzio au mlinzi wake ?......au kanguruwe fulani hivi ?
. mkiambiwa mfanye kazi na kujisomea hamtaki, mmebakia tu kutangaza udini na ukabila, kazi hamfanyi, shule hamtaki kwenda. mnataka wao wachaga wafanyeje? kwa hiyo wachaga waache kujitafutia maisha ili wawe sawa na wavivu ninyi msiotaka kufanya kazi mmekalia kueneza siasa za udini, ukanda na ukabila??!! mtavuna mnachopanda. lakni hata muwachukie vipi wachaga watabakia kuwa wachaga tu. makabila ya stahili hii yapo kila nchi duniani. hapo kenya wapo wakikuyu. bahati nzuri mliyonayio wachaga hawana roho mbaya na hawana ukabila. mkitaka kujifunza kwao nendeni tu, ilmu mtapewa bure.
 
Last emperor;Inamaana ni kwamba hujui kiswahili au unataka kutuonyesha unajua viingereza vingi vya kuokota maneno kwenye dictionary? Acha mbwembwe dogo.. Unataka watu wakuone umesooma!

=Is your head okay?
 
Hakuna lolote Pasco , kuna wengine umewataja hapo lakini wako vizuri tu upande mwingine wanakula good time! ila siamini hayo kama kweli Zitto kamsingizia!
 
Last emperor;Inamaana ni kwamba hujui kiswahili au unataka kutuonyesha unajua viingereza vingi vya kuokota maneno kwenye dictionary? Acha mbwembwe dogo.. Unataka watu wakuone umesooma!

=Is your head okay?
i don think so, he is symbolizing his mabosity too much!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…