Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!


Acha kukimbia hoja kwa kutengeneza hisia za kibabaishaji!Tumia mantiki kuunganisha dots zako kisha hitimisha kwa hoja yenye mwelekeo wa kisayansi ili utushawishi tukubaliane nawe na si kuongea kama wapiga kampeni wa shamba mkuu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

hata mpiga gita awe diblo dibala au dally kimoko mbuzi hawezi kucheza huo mziki!!!!!!!!!!! kwa heri.
 
Mengi na Zito wote ni opportunistic ndo maana waliungana kung'oa PROF Muhongo huku wakijua kuwa mchezo wanaoufanya ungeichafua hata Ikulu baadaye kila mmoja wao alitaka kwenda kujikosha ili aonekane mwema,

 
Then kama uliyoyasema ni kweli basi Karma haitamuacha Salama mzee Mengi inaweza isiwe leo ila ipo siku Only if Kama uliyoyaandika ni ya kweli
 

Unaelewa maana ya maneno `Muda mfupi baada'? Anzia hapo ndipo wenzako wanapobishana na wewe!
 
Hapa zitto katumika tu kulianzisha timbwili kati ya MENG NA RUGEMALILA. Hapa ZZK hahusiki na ujinga wao.
 
Unaungana na mwana CCM mwenzako sio? Sawa bhana ndugu hawatupani hata siku moja @ Faiza
 
Usipende kuropoka na kujifanya unajua kila kitu kumbe punguani.
Ndugu si Kama najifanya mjuaji ila yakupasa utambue binadamu tunatofautiana Sana!!!

Wengine wanakumbukumbu nzuri wengine hawana usifikiri unaweza kulingana na wote ktk kufikiri....kuelewa na hata kutenda!!!

JK karudi tarehe 29, November 2014.
Ni kweli JK karudi tarehe 29 November hilo sikatai ila nakataa unaposema JK karudi wakati mjadala Wa ESCROW umekwisha huu ni uongo mkubwa au hujui kitu....


Kikao cha bunge kimiesha tarehe 28, November 2014.
hapa ndipo unapojichanganya, Bunge lilitazamiwa limalize mjadala tarehe 28 November ila pakatokea mvurugiko kwa wabunge waupinzani kugoma mpaka spika akaahirisha kikao mpaka jumamosi ya tarehe 29 November ambapo JK ndo alirejea hivyo wewe umedanganya.....

Soma hapa:


Umeona hapo juu?
 
Tuhuma hizi zito tayari kakanusha toka jana na tweter yake na ataliongelea hili lesho kwa mapana zaidi shinyanga
Cdm wanalikuza sana lakini watashindwa tu

Hivi kwa nini matatizo yenu muwasingizie cdm? Cdm wameingiaje kwenye hili?Akili finyu hizi,nashauri muwe focused kukijenga chama badala ya kuwasingizia cdm kwenye kila matatizo yenu.
 
Kwa hiyo ni uongo ni Bavicha pekee ndiyo wanakubaliana na hii habari.

Nyie propaganda zenu zinaelekea kufikia ukingoni. Unafikiri Mengi anaweza kuvaa mkenge kwa kuingilia mambo ya kijiweni. Hapa lazima anajua anachosema na ana uhakika nacho!
 
Fuatilia mtiririko wa nilichoandika, kna hapo hujaelewa kipi? we unataka mwelekeo upi wa kisayansi? hapa tunajadili tuhuma zenye mlengo wa kisiasa!!!!!! Kama ni kujiuzuru wameshajiuzuru wengi sana na serikali haikutishika iweje escrow ndo itake kuangusha serikali?

 
babu anatafuta kick,ngoja jion utaskia mwanaume atakavyojibu kiuungwana,babu chezea wote sio huyu nyerere wa pili utauza had huyo mjukuu wako uliemuoa juzi.

Zitto hana political hata economic Base ya kupambana na mengi. Msimjaze ujinga Kijana mwenzenu. Ana safari ndefu sana. Maisha ya Zitto yanategemea siasa ili kupata kula ya kesho.
 
Nikiliangalua article yenyewe haina ukweli ndani yake.Ila Mengi anahaki ya kushtuka:

1.Gazeti lipo huru mpaka leo.

2.Serikali kupitia msemaji wake haijajibu hoja.

3.Zitto mwenyewe hajakanusha wala kukubali sakata zima.

4.Issue ya Escrow ilikuwa ya Kafulila na si Zitto.Zitto alikuja tu kuungaunga ripoti ya CAG na Takukuru basi.

4.Hawa walioweka hiyo hoja watakuwa Pro.Muhongo au anti Wachagga.Sababu CAG kwa wakati huo alikuwa toka Kilimanjaro.

Na mwisho kabisa Mengi hatakiwi kusubiri KARMA kama anavyotanabaisha Pascal.Anatakiwa kwenxa MAHAKAMANI ,huko ndiko haki itatendeka.Mwenye gazeti ataeleza wapi amepata taarifa hizo.Haya ndiyo maoni yangu kwenye hii issue.

Pasco mzee wa KARMA karibu.
 
Namwona kwa mbaliiii zitto akielekea kuwa another new mrema hahahahah ni bora akaacha siasa tu
 
Hili ni tatizo la nchi ambayo ina matajiri wachache na hivyo ni rahisi kum-sport Mengi katika mambo mengi, lakini popote pale duniani wafanyabiashara hasa wenye makampuni makubwa duniani wana influence kubwa katika mustakabali wa nchi. Sina hakika na uhalali wa taarifa hii ya kichochezi maana Tanzania imekuwa nchi ya wasema hovyo, hasa ukizingatia kuwa gazeti linamilikiwa na ruge, ambaye bado machungu yake kwa Zitto bado ni mabichi. Kwa upande wake Zitto atumie muda sasa kujusafisha na kuelewa namna ya kuongoza taasisi za umma kwa kuwa ni tafauti kabisa na kuongoza kikundi cha wajinga ambao muda wote watakubali unachosema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…