Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Kwa hiyo huwa unamsikiliza Zito?

Lema zaidi ya Arusha hamna anayemsikiliza labda wachaga wenzake.

Hauwezi kumfananisha Zitto na Lema Zitto yupo kitaifa Lema yupo na maandamano ya Arusha.
 
Kichaa huwa kinaanza kwa namna kama hii. Si afadhali ungeota kuwa wewe mwenyewe umekuwa Rais?

Pasco, wakati huu wachaMungu wamezama katika maombi wakimlilia Mola atupatie Rais BORA! Huyu Zitto yumo TANURUNI na akivuka salama yeye ndiye Rais ajaye, utamsikia tu Lubuva kwa uwezo wa Mungu anaahirisha uchaguzi ili matakwa ya KATIBA yatimilizwe!
 
Teh teh teh

Ally kombo umenifurahisha sana.

Hivi huyu jamaa laana ya usaliti wa kanisa na mke wake itamuacha kweli??

Lione kwanza na gauni lake hilo nani ampe Urais wa nchi hii??


Teh teh teh

Akili ya namna hii ndo imeifanya mikoa ya kusini kuendelea kuwa masikini mpaka leo licha ya kuwa na rasilimali lukuki.

Jaribu kukua kidogo.
 
Duh mkuu ligi ya Zitto na Mengi hujui nani atashindwa??
L
Mswahili....mpuuzi na masikini Kama Zitto anaweza shindana na Mengi??

He is just a smaller dog !!!!

Amekwisha!!!!!!

Lusungo narudia tena, najua wivu wa kimasikini unakusumbua sababu unatamani Kuwa Kamna Zitto wakati huna hata 1/100 ya sifa ya kumfikia Zitto. Uwezo wa Zitto kielimu,kimaisha na kisiasa ni zaidi yako wewe na familia yako yote. Wewe uwezo wako ni fitina na majungu tu. Nakufahamu!
 
Pasco bhana,hili umekurupuka,hakuna ushahidi wa kuthbtsha kilichoandikwa hapo haijalish source ya habari,kwa mtu kama wewe ulipaswa kuitlia shaka hyo taarifa kabla hujaitumia kama base ya topic yako
 
Wakati woote huo Taasisi za Ulinzi na Usalama za Serikali zimeenda likizo !
Akili za kichaga ni kama za kikristo, ananunua picha dukani na kuiabudu !

udini utakumaliza tu. ni heri kuabudi picha isiyosema lolote kuliko kuabudi waganga wa kienyeji wanaokuambia ukawaue albino na kutoa makafara ya damu ili ushinde uchaguzi. wakristo huwa wanakemea majini, hawayakaribishi, wala hakuna jini malaika.....ukija na jini lako litakemewa kwa Jina la Yesu Kristu Mwana Kondoo, Bwana na Mwokozi wa wanadamu WOTE akiwemo Ally Kombo.....

ahahahahahahaaaa, kunilipua huwezi, ukitaka lipua JF na moshidaa alipukie mumo.
 
Lusungo narudia tena, najua wivu wa kimasikini unakusumbua sababu unatamani Kuwa Kamna Zitto wakati huna hata 1/100 ya sifa ya kumfikia Zitto. Uwezo wa Zitto kielimu,kimaisha na kisiasa ni zaidi yako wewe na familia yako yote. Wewe uwezo wako ni fitina na majungu tu. Nakufahamu!

Aiseeh ! kumbe unamfahamu ! mimi nilikuwa nahisi lusungo ni kanguruwe fulani ka kichaga !
 
Last edited by a moderator:
Hata wachaga walikuwa wanamsukuma Mrema huku wakishangilia, Raisss....Raisss....Raisss ! Ikabakia hivyo hivyo !
msee ya kiraracha sku hizo ipo beneti sana na jk. yan watu wa hovyo hovyo ndo mnawasogeza karibu na jk ili wazidi kumpotosha. lakin UKAWA tutamnyoosha kule vunjo mwaka huu. yeye na mamvi wanatakiwa wakakamue maziwa ya ngombe zao wajinywee chai, WAMESHAJICHOKEA, waache vijana wa cdm waongoze nchi.
 
udini utakumaliza tu. ni heri kuabudi picha isiyosema lolote kuliko kuabudi waganga wa kienyeji wanaokuambia ukawaue albino na kutoa makafara ya damu ili ushinde uchaguzi. wakristo huwa wanakemea majini, hawayakaribishi, wala hakuna jini malaika.....ukija na jini lako litakemewa kwa Jina la Yesu Kristu Mwana Kondoo, Bwana na Mwokozi wa wanadamu WOTE akiwemo Ally Kombo.....

ahahahahahahaaaa, kunilipua huwezi, ukitaka lipua JF na moshidaa alipukie mumo.

Kumbe una abudu mwana kondoo !?....akili zenu zinatosha kutambua taste ya kiroba tu !
Waua Albino wote ni wagalatia, sisi neema tunaitegemea kwa Allah SWT pekee !
 
Pasco uliowataja wote ni sahihi isipokuwa Kilagane wa TPDC, yeye amestaafu kwa mujibu wa sheria na kwa kweli hakuwa na ugomvi wa kihivyo na Mh Dr Reginald(ya-Kifalme) Mengi ( mwenye mambo)!
 
Kumbe una abudu mwana kondoo !?....akili zenu zinatosha kutambua taste ya kiroba tu !
Waua Albino wote ni wagalatia, sisi neema tunaitegemea kwa Allah SWT pekee !
..Kiroba na kitimoto huwa vinashuka bei sana nyakati za mfungo wa ramazani. ngojea sasa mfungo ukiisha, weeeee.....
 
babu anatafuta kick,ngoja jion utaskia mwanaume atakavyojibu kiuungwana,babu chezea wote sio huyu nyerere wa pili utauza had huyo mjukuu wako uliemuoa juzi.

Hujui hata unachoongea na hujui kuwa hujui! Nyerere wa pili, labda Steve Nyerere!!
 
..Kiroba na kitimoto huwa vinashuka bei sana nyakati za mfungo wa ramazani. ngojea sasa mfungo ukiisha, weeeee.....

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umebarikiwa na Allah SWT kwani hata makafir hujuzuia na ukafir wao !
 
Back
Top Bottom