Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Hiki anachofanya Zitto, is not right at all, hata kama ni kweli, huwezi kumtuhumu mtu asiyeweza kujitetea kwa tuhuma nzito hivi, naona sasa Zitto anaitafuta karma fulani hivi.. ambayo... halafu ikitokea, bado watu watajifanya kushangaa kama ilivyotokea kwa naniliu !.
P
Kwa hiyo kijana bila kujisalimisha, angemfuata aliemtuma siyo?
 
Hiki anachofanya Zitto, is not right at all, hata kama ni kweli, huwezi kumtuhumu mtu asiyeweza kujitetea kwa tuhuma nzito hivi, naona sasa Zitto anaitafuta karma fulani hivi.. ambayo... halafu ikitokea, bado watu watajifanya kushangaa kama ilivyotokea kwa naniliu !.
P
Asiyeweza jitetea!!!?[emoji15]

We ulitaka ajitetea akiwa hai kwani yule jamaa ana simile basi

Unadhani angembakisha hapa duniani!!!?

Acha aongee maadam ni muda sahihi yeye kuongea.

Wote walioongea neno dhidi ya kiumbe yule alijitetea kwa mabavu aidha walipotea kwenye uso wa dunia au waliishoa jela

We mwenyewe ni shuhuda wa lile swali ulilomuuliza pale magogoni ukihoja anayoyafanya kama ni kwa mujibu wa katiba na ukijiba kisanii "MAYALLA kwa kizilaNKENDE maana yake njaa..!?

Halafu ukaitwa dodoma na yule mgogo

Uliporudi toka kule ukawa kam roboti la matope[emoji2]

Hitler tunamnga hadi leo seuze huyo jamaa yenu[emoji849]
 
Hiki anachofanya Zitto, is not right at all, hata kama ni kweli, huwezi kumtuhumu mtu asiyeweza kujitetea kwa tuhuma nzito hivi, naona sasa Zitto anaitafuta karma fulani hivi.. ambayo... halafu ikitokea, bado watu watajifanya kushangaa kama ilivyotokea kwa naniliu !.
P
Muongo huyu Yan amiri jeshi mkuu atumie vijana wa mitaani Yan haogope kutoa amri kwa mkuu wa magereza, mkuu wa polisi mkuu wa majesh mkuu wa usalama, mkuu wa jkt

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki anachofanya Zitto, is not right at all, hata kama ni kweli, huwezi kumtuhumu mtu asiyeweza kujitetea kwa tuhuma nzito hivi, naona sasa Zitto anaitafuta karma fulani hivi.. ambayo... halafu ikitokea, bado watu watajifanya kushangaa kama ilivyotokea kwa naniliu !.
P
Mkuu JPM ndo hayupo, ulitaka huyo mtu aliyechoma moto nyumba na shamba ajitokeze kabla JPM hajafa?
 
Mkuu JPM ndo hayupo, ulitaka huyo mtu aliyechoma moto nyumba na shamba ajitokeze kabla JPM hajafa?
Ukipewa tuhuma zozote za mtu yeyote aliye hai, unapaswa kumface na kumweleza, akifa kabla hujasema, then you just can't, you just take it a secret and you go with it to your grave!.
P
 
Ukipewa tuhuma zozote za mtu yeyote aliye hai, unapaswa kumface na kumweleza, akifa kabla hujasema, then you just can't, you just take it a secret and you go with it to your grave!.
P
No no no!
Wahanga wa Hitler walipewa nafasi nzuri tu, tena kimahakama, kueleza madhira yaliyowapata wakati wa Nuremberg Trials, baada ya mauaji ya kutisha 1945.
Huyo kijana aliyejitokeza kuomba radhi ni lazima nafsi ilikuwa inamsumbua na alikuwa na ile inaitwa PTSD(POST TRAUMA STRESS DISORDER).
Wengi wanaotumwa kazi hizo chafu si kwamba wanapenda, na nafsi zao zinaugua.
Ndio maana hata kule Afrika Kusini, Recoinciliation Commission ilisaidia sana kuondoa hisia chafu na mbaya za revenge.
Zitto angeweza vile vile kusamehe na kupeleka mahakamani suala hili, for records purposes.
 
Nime note Zitto anatajwa tajwa sana humu jukwaani, nikaona na mimi nijikumbushe niliwahi kuandika nini kumhusu mtu huyu.
All and all, huyu Zitto sio mtu wa mchezo mchezo, he is a man to watch very closely!, sio mtu wa kawaida!.
P
 
Wanabodi,

Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "karma" ambayo ndio hukumu pekee ya haki hapa duniani!. Hii karma wakati wa kuhukumu, haina huruma kwa sababu hukumu zake ni za haki, unaweza kulipa mema, au kupigwa na mapigo ya kufidia uovu!.

Karma ni powers of 'cause and effects' ambapo ukitenda mema, utalipwa mema, na ukitenda uovu utaadhibiwa kwa uovu wako.

Chadema walipomtimua Zitto kwa tuhuma za usaliti, nilisema humu kama kweli Zitto ni msaliti, then 'karma itamshughulikia Zitto na kumuadhibu, lakini kama Chadema haikumtendea haki Zitto, then Chadema itaadhibiwa kwa hukumu kali ya 'karma'.

Ni muda mrefu kumekuwa kukitolewa tuhuma mbalimbali kumhusu Zitto na zote kwa sababu ni tuhuma tuu, ama hukanushwa, au kupanguliwa kisha maisha yanaendelea.

Sasa kuna hii tuhuma mpya nimeisoma kumhusu Zitto.


Mpaka sasa, tuhuma hii, haijakanushwa na Zitto mwenyewe, wala haijakanushwa Ikulu, na huku hilo gazeti lilitochapisha tuhuma hiyo, likiachwa kuendelea kupeta!. Mwana Halisi lilipochapisha tuhuma kama hiyo, kesho yake tuu Ikulu iliiytisha press conference kukanusha na haikupita wiki, lilifungwa kifungo cha milele hadi leo!.Sasa kama tuhuma hii ni kweli, then kwa mujibu wa reference ya 'karma', Zitto ni kweli atakuwa ni msaliti, na sasa kiuhakika kabisa bila kupepesa macho, wala kumung'unya maneno, "Huu sasa ndio mwisho rasmi wa Zitto Zuberi Kabwe!".Nimesema huu ndio mwisho rasmi wa Zitto kwa sababu kuna watu kwanye jamii yetu, wamejaaliwa karama mbalimbali hivyo kuwa ni

Jinsi 'karma' inavyofanya kazi, kila tendo jema binadamu analo tenda, linaproduce positive energy ambayo inakurudia mara dufu kwa kukunyooshea mambo yako na kukuletea mafanikio. Kila jambo baya binadamu analotenda, lina produce a negative energy ambayo ikikurudia inakuletea majanga.

Hivyo hata ukiwa ni mtu mbaya lakini ulitenda mema mengi, then kiwango cha mema yako kinaweza kufunika mabaya yako yote, hivyo yeyote atakayekutibua, karma yako inamshughulikia ipasavyo. Uzuri wa Karma, ni haki bin haki, hakuna kuonewa, ni just what goes around comes around, na malipo ya karma ni hapa hapa duniani!. Ubaya wa karma, adhabu yake ni transfarable up to four generations, hivyo kuna watu mambo yao yanawanyookea kwa mema ya wazazi wao, na kuna watu wanapigika kwa mapigo ya wazazi wao!.

Cha muhimu katika maisha yako haya mafupi hapa duniani, jitahidi kutenda wema sana kadri ya uwezo wako ili kudunduliza akiba kubwa ya positive energy kwa watoto wako!, ni bora kuwekeza kwenye wema kuliko kwenye utajiri!, ndio maana mnaweza kushangaa watu wakatili ajabu na wenye roho mbaya za ajabu lakini bado wanafanikiwa!, na watu wenye roho nzuri na wema wa ajabu, wakiishi katika mateso makubwa na umasikini uliotopea!.

Wazungu wanaijua 'karma' kama 'destiny'.

Pasco
Hivi hiyo "laana' au "karma" huwapata tu watu kwa kuwa tu fulani wewe Pascal Mayalla umsema, au..?

CHADEMA ni karma gani inayowatandika kwa mfano...?
Mkuu The Palm Beach, karma is the law of cause & effects kwa kuhukumiwa kwa matendo yako, ukitenda mema, unalipwa mema, na ukitenda uovu unaafhibiwa!.

The biggest toll ya karma ni kifo.

Kila binadamu kuna mazuri yake na mabaya yake, akitenda mema anabarikiwa, akitenda maovu analaaniwa. Kila kitu kinachomtokea binadamu hapa duniani ni matokeo ya matendo yake.

Kwa upande wa Chama, pia kuna karma za taasisi na karma za viongozi wa taasisi ambazo ndio watoa maamuzi. Taasisi inapotoa maamuzi ya dhulma, taasisi inaadhibiwa na watoa maamuzi nao wanaadhibiwa individually!, wakati wale wanao dhulumiwa karma ikiwafidia kwa kuwabariki.

Angalia baadhi ya viongozi wa Chedema waliofukuzwa bila kutendewa haki, baada ya kutimuliwa Chadema au kujitoa Chadema, angalia walikuja kuwa wapi?.

Angalia ma sterling wa matukio haya kilikuja kuwakuta nini?.

Angalia hali ya sasa ya Chadema kama Chama kikuu cha upinzani huku bara, amini nakuambia mwisho wa siku, Chadema itafanikiwa kuwatimua hawa makamanda mabinti 19 lakini machozi yao jasho na damu walioigharimikia Chadema, hayatapotea bure!, there is a price to pay and Chadema will pay dearly!.

Kwa vile Chadema inayo katiba yake na imeweka taratibu za haki kabisa kushughilikia nidhamu, zikiwemo mamlaka tofauti tofauti za nidhamu kwa viongozi tofauti tofauti, kwanini hazifuatwi?.

Mfano wakati wa kumtimua Zitto, Zitto alikuwa NKM, kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na mamlaka yake ya rufaa ni Mkutano Mkuu, mamlaka ya CC ya Chadema ni kumsimamisha tuu na sio kusikiliza shauri lake!, sasa hiyo CC ya Chadema ilimtumua Zitto kwa mamlaka gani?. Angalia Zitto baada ya kutimuliwa alikuwaje na angalia yule sterling wa kutimuliwa Zitto nini kilikuja kumkuta?.

Angalia Kitila Mkumbo baada ya kutimuliwa Chadema alikuja kuwa nani?.
Angalia Juliana Shonza baada ya kutumiwa Chadema alikuja kuwa nani

Hivyo kiukweli kabisa karma ipo and it acts upon us kwa matendo yetu!.

P.
 
Mkuu The Palm Beach, karma is the law of cause & effects kwa kuhukumiwa kwa matendo yako, ukitenda mema, unalipwa mema, na ukitenda uovu unaafhibiwa!.

The biggest toll ya karma ni kifo.

Kila binadamu kuna mazuri yake na mabaya yake, akitenda mema anabarikiwa, akitenda maovu analaaniwa. Kila kitu kinachomtokea binadamu hapa duniani ni matokeo ya matendo yake.

Kwa upande wa Chama, pia kuna karma za taasisi na karma za viongozi wa taasisi ambazo ndio watoa maamuzi. Taasisi inapotoa maamuzi ya dhulma, taasisi inaadhibiwa na watoa maamuzi nao wanaadhibiwa individually!, wakati wale wanao dhulumiwa karma ikiwafidia kwa kuwabariki.

Angalia baadhi ya viongozi wa Chedema waliofukuzwa bila kutendewa haki, baada ya kutimuliwa Chadema au kujitoa Chadema, angalia walikuja kuwa wapi?.

Angalia ma sterling wa matukio haya kilikuja kuwakuta nini?.

Angalia hali ya sasa ya Chadema kama Chama kikuu cha upinzani huku bara, amini nakuambia mwisho wa siku, Chadema itafanikiwa kuwatimua hawa makamanda mabinti 19 lakini machozi yao jasho na damu walioigharimikia Chadema, hayatapotea bure!, there is a price to pay and Chadema will pay dearly!.

Kwa vile Chadema inayo katiba yake na imeweka taratibu za haki kabisa kushughilikia nidhamu, zikiwemo mamlaka tofauti tofauti za nidhamu kwa viongozi tofauti tofauti, kwanini hazifuatwi?.

Mfano wakati wa kumtimua Zitto, Zitto alikuwa NKM, kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na mamlaka yake ya rufaa ni Mkutano Mkuu, mamlaka ya CC ya Chadema ni kumsimamisha tuu na sio kusikiliza shauri lake!, sasa hiyo CC ya Chadema ilimtumua Zitto kwa mamlaka gani?. Angalia Zitto baada ya kutimuliwa alikuwaje na angalia yule sterling wa kutimuliwa Zitto nini kilikuja kumkuta?.

Angalia Kitila Mkumbo baada ya kutimuliwa Chadema alikuja kuwa nani?.
Angalia Juliana Shonza baada ya kutumiwa Chadema alikuja kuwa nani

Hivyo kiukweli kabisa karma ipo and it acts upon us kwa matendo yetu!.

P.
You are very wrong, either purposely au dhamira yako inakuongoza hivyo. Kwa sababu binadamu ni mtumwa wa dhamira yake.
Hakuna karma yeyote iliyomkuta kiongozi yeyote wa CHADEMA zaidi ya matendo ya kikatili yaliyofanywa na viongozi wa serikali ya CCM dhidi yao.
Viongozi wa CHADEMA waliotimuliwa kwa usaliti walilambishwa asali na mamlaka iliyowatuma kwa kupewa nafasi za teuzi za uongozi, na kama hii kwako ni malipo basi you are deluded au ni kiwango kikubwa cha unafiki kinachokupofusha.
CHADEMA kiko imara mioyoni mwa wananchi licha ya figisu kutoka kwa viongozi wa serikali ya CCM, kubambikiwa kesi za ugaidi na watawala, kushambuliwa, kuzuiwa kufanya siasa kinyume na katiba kama kwako ni karma basi you are worse kuliko muuaji mwendazake.
Kama CHADEMA haifuati katiba yake katika kushughulikia uendeshaji wake Zitto baada ya kufukuzwa alivyoenda mahakamani iliamuaje? Au na mahakama nayo itakumbwa na karma?
Kama Kitila suala lake kwenda ACT hadi kupewa nafasi ya uongozi na dikteta na kupitishwa kuwa mbunge wa CCM kwenye uchafuzi wa 2020 ni malipo ya karma basi nimeamini karma itakuwa ni uchawi wa kisukuma
 
Mkuu The Palm Beach, karma is the law of cause & effects kwa kuhukumiwa kwa matendo yako, ukitenda mema, unalipwa mema, na ukitenda uovu unaafhibiwa!.

The biggest toll ya karma ni kifo.

Kila binadamu kuna mazuri yake na mabaya yake, akitenda mema anabarikiwa, akitenda maovu analaaniwa. Kila kitu kinachomtokea binadamu hapa duniani ni matokeo ya matendo yake.

Kwa upande wa Chama, pia kuna karma za taasisi na karma za viongozi wa taasisi ambazo ndio watoa maamuzi. Taasisi inapotoa maamuzi ya dhulma, taasisi inaadhibiwa na watoa maamuzi nao wanaadhibiwa individually!, wakati wale wanao dhulumiwa karma ikiwafidia kwa kuwabariki.

Angalia baadhi ya viongozi wa Chedema waliofukuzwa bila kutendewa haki, baada ya kutimuliwa Chadema au kujitoa Chadema, angalia walikuja kuwa wapi?.

Angalia ma sterling wa matukio haya kilikuja kuwakuta nini?.

Angalia hali ya sasa ya Chadema kama Chama kikuu cha upinzani huku bara, amini nakuambia mwisho wa siku, Chadema itafanikiwa kuwatimua hawa makamanda mabinti 19 lakini machozi yao jasho na damu walioigharimikia Chadema, hayatapotea bure!, there is a price to pay and Chadema will pay dearly!.

Kwa vile Chadema inayo katiba yake na imeweka taratibu za haki kabisa kushughilikia nidhamu, zikiwemo mamlaka tofauti tofauti za nidhamu kwa viongozi tofauti tofauti, kwanini hazifuatwi?.

Mfano wakati wa kumtimua Zitto, Zitto alikuwa NKM, kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na mamlaka yake ya rufaa ni Mkutano Mkuu, mamlaka ya CC ya Chadema ni kumsimamisha tuu na sio kusikiliza shauri lake!, sasa hiyo CC ya Chadema ilimtumua Zitto kwa mamlaka gani?. Angalia Zitto baada ya kutimuliwa alikuwaje na angalia yule sterling wa kutimuliwa Zitto nini kilikuja kumkuta?.

Angalia Kitila Mkumbo baada ya kutimuliwa Chadema alikuja kuwa nani?.
Angalia Juliana Shonza baada ya kutumiwa Chadema alikuja kuwa nani

Hivyo kiukweli kabisa karma ipo and it acts upon us kwa matendo yetu!.

P.
Uteuzi wa hawa mabinti 19 walioteuliwa na kupitishwa kuwa wabunge kinyume na katiba ya CHADEMA, waliopitishwa na CCM kwa maslahi ya CCM kwa kuvunja katiba ya nchi na ya CHADEMA karma ije iwalipe?
Aliyekuwa Magereza kwa kesi ya kubambikiwa na watawala atolewe gerezani usiku kinyume cha sheria akaapishwe kinyume cha sheria na CHADEMA inayotetea haki yake kama chama iadhibiwe na karma uko serious kweli?
Karma itakuwa ni uchawi wa kisukuma
 
Mkuu The Palm Beach, karma is the law of cause & effects kwa kuhukumiwa kwa matendo yako, ukitenda mema, unalipwa mema, na ukitenda uovu unaafhibiwa!.

The biggest toll ya karma ni kifo.

Kila binadamu kuna mazuri yake na mabaya yake, akitenda mema anabarikiwa, akitenda maovu analaaniwa. Kila kitu kinachomtokea binadamu hapa duniani ni matokeo ya matendo yake.

Kwa upande wa Chama, pia kuna karma za taasisi na karma za viongozi wa taasisi ambazo ndio watoa maamuzi. Taasisi inapotoa maamuzi ya dhulma, taasisi inaadhibiwa na watoa maamuzi nao wanaadhibiwa individually!, wakati wale wanao dhulumiwa karma ikiwafidia kwa kuwabariki.

Angalia baadhi ya viongozi wa Chedema waliofukuzwa bila kutendewa haki, baada ya kutimuliwa Chadema au kujitoa Chadema, angalia walikuja kuwa wapi?.

Angalia ma sterling wa matukio haya kilikuja kuwakuta nini?.

Angalia hali ya sasa ya Chadema kama Chama kikuu cha upinzani huku bara, amini nakuambia mwisho wa siku, Chadema itafanikiwa kuwatimua hawa makamanda mabinti 19 lakini machozi yao jasho na damu walioigharimikia Chadema, hayatapotea bure!, there is a price to pay and Chadema will pay dearly!.

Kwa vile Chadema inayo katiba yake na imeweka taratibu za haki kabisa kushughilikia nidhamu, zikiwemo mamlaka tofauti tofauti za nidhamu kwa viongozi tofauti tofauti, kwanini hazifuatwi?.

Mfano wakati wa kumtimua Zitto, Zitto alikuwa NKM, kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na mamlaka yake ya rufaa ni Mkutano Mkuu, mamlaka ya CC ya Chadema ni kumsimamisha tuu na sio kusikiliza shauri lake!, sasa hiyo CC ya Chadema ilimtumua Zitto kwa mamlaka gani?. Angalia Zitto baada ya kutimuliwa alikuwaje na angalia yule sterling wa kutimuliwa Zitto nini kilikuja kumkuta?.

Angalia Kitila Mkumbo baada ya kutimuliwa Chadema alikuja kuwa nani?.
Angalia Juliana Shonza baada ya kutumiwa Chadema alikuja kuwa nani

Hivyo kiukweli kabisa karma ipo and it acts upon us kwa matendo yetu!.

P.
Unajua hata maana ya "karma" kweli wewe...?

Yaani wewe Pascal Mayalla unavizia wenzako porini unawakata mapanga au unawapiga risasi kijambazi jambazi halafu wewe huyo huyo unakwenda mitaani na kipaza sauti una - shout kuwa

".....oooh, jamani eeeh karma inamtandika huyo......!!!???"

Really? Really? Yaani wewe na shahada yako ya chuo kikuu unatetea ujinga kwa hoja hizi...?

Bila shaka, kama ndivyo, basi mtu huyu atakuwa ni shetani ahamishiaye uovu wake alioutenda tangu mwanzo kwa wanadamu na kujifanya yeye huyohuyo anawashitaki kwa Mungu...!

Haya ndiyo mawazo yako na hiki ndicho unachojaribu ku - justify hapa...

Yaani hata kama ni propaganda basi unazifanya kijinga na kitoto sana...

Kwanza inakuwaje unaingiza ishu ya katiba ya CHADEMA kwenye kesi mbalimbali za wanachama wake wakosefu huku ukijua kabisa katika kesi zote hizo hakuna hukumu ya mahakama hata moja iliyowahi kui - disqualify ibara au kifungu chochote cha katiba hiyo ya CHADEMA ili kuwapa ushindi waliokuwa wakiegemeza utetezi wa makosa yao kwenye maeneo hayo ya katiba...!
 
Zitto anajulikana mpaka kwa walio mkiza kuwa ni msalti na mjanja mjanja . kwahivo haiwezi kuwa ajabu leo.
 
Kumsingizia kitu cha uongo, kumchafua marehemu, asiyeweza kujitetea...
karma yake ni usipime!.
P
Amesingiziwa nini kwa mfano..?

Wewe Pascal Mayalla ukifa ndiye utakuwa marehemu maana Tanzania na watanzania hawakujui kwa sbb huna maslahi nao na hujawahi kuwahusu...!

Lakini John P. Magufuli yeye si marehemu, maamuzi na matendo yake mbalimbali juu ya nchi na taifa hili yanaishi na yako recorded na yalituhusu kwa kutuathiri positively au negatively...

Watetezi wake (JPM) wapo. Ni nyie na hiyo ndiyo inayothibisha kuwa hajafa huyo, yupo aishi...

Lakini shida ni utetezi wenu hauwezi kufuta rekodi mbaya ya maamuzi na matendo yake. Watoto wa mjini wanasema, hamna uwezo wa kushinda mechi kwa sbb timu yenu haina uwezo...!
 
Unajua hata maana ya "karma" kweli wewe...?

Yaani wewe Pascal Mayalla unavizia wenzako porini unawakata mapanga au unawapiga risasi kijambazi jambazi halafu wewe huyo huyo unakwenda mitaani na kipaza sauti una - shout kuwa

".....oooh, jamani eeeh karma inamtandika huyo......!!!???"

Really? Really? Yaani wewe na shahada yako ya chuo kikuu unatetea ujinga kwa hoja hizi...?

Bila shaka, kama ndivyo, basi mtu huyu atakuwa ni shetani ahamishiaye uovu wake alioutenda tangu mwanzo kwa wanadamu na kujifanya yeye huyohuyo anawashitaki kwa Mungu...!

Haya ndiyo mawazo yako na hiki ndicho unachojaribu ku - justify hapa...

Yaani hata kama ni propaganda basi unazifanya kijinga na kitoto sana...

Kwanza inakuwaje unaingiza ishu ya katiba ya CHADEMA kwenye kesi mbalimbali za wanachama wake wakosefu huku ukijua kabisa katika kesi zote hizo hakuna hukumu ya mahakama hata moja iliyowahi kui - disqualify ibara au kifungu chochote cha katiba hiyo ya CHADEMA ili kuwapa ushindi waliokuwa wakiegemeza utetezi wa makosa yao kwenye maeneo hayo ya katiba...!
Huyu amekuwa ni mnafiki na nimekumbuka kuna mtu amesema kuwa ili uwe chawa lazima uwe muongo muongo, mnafiki, mpambe mwenye hila na inawezekana na ushirikina juu.
Nahisi mengi ya haya Pascal Mayala atakuwa na sifa hizi. Haaminiki amepofushwa sababu ya upambe
 
Wanabodi,
  1. Alipishana kauli na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo hivi vyote vimekufa.
  2. Alipishana kauli na Shabir Dewji kuhusu wahindi kupendelewa, Shabir Dewji aliswekwa lupango na sijui siku hizi yuko wapi?!.
  3. Alipishana kauli na Katibu Mkuu, Mambo ya Ndani, Silvanus Adel alipomtoa Dewji lupango, Adel alimwaga unga wake!.
  4. Alipishana kauli na mmiliki wa Gazeti la Mtanzania, Generali Ulimwengu, kwa gazeti hilo kutoa siri kuwa Mengi anadaiwa na mabenki. Generali alifutiwa uraia na gazeti la Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
  5. Alipisha kauli na Lowasa, Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
  6. Alipishana kauli na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, shamim aling'olewa!.
  7. Alipishana kauli na Waziri wa Utawala Bora, Wilson Masilingi, kuhusu "mchezo mchafu" wa ubinafsishaji wa Kilimanjaro Hotel, Masilingi aling'olewa!.
  8. Alipishana kauli na Iddi Simba kwenye mambo ya Uzawa, Iddi Simba alimwagwa!.
  9. Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
  10. Alipishana kauli na Adam Malima, almanusura Adam, yangemkuta, Sitta akamuombea msamaha!, ndio salama yake!.
  11. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
  12. Alipishana kauli na Waziri wa Mambo ya ndani, kuhusu 'mademu!', Masha, Masha kang'olewa!.
  13. Alipishana kauli na Mmiliki wa Channel Ten, Franco Tramontano, kugombea mademu fulani mamiss, Franco alikamatwa na kutupwa selo akisubiri deportation ya interpol
  14. Hakimu mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Sabas kiwango, alizuia Tramontano asiwe deported, Kiwanga akamwaga unga!.
  15. Akapishana kauli na Rostam Aziz, kwenye issue ya 'fisadi papa na fisadi nyangumi', Rostam alitimuliwa ubunge na sasa ameikimbia nchi!,
  16. Alipishana kauli na Balozi wa Uingereza kwenye kashfa ya Silvadale!, Balozi wa Uingerezwa aliondoshwa!.
  17. Alipishana kauli na Yusuph Manji, kuhusu Manji kuifilisi mifuko ya hifadhi za jamii, sasa soon Manji atafilisiwa!.
  18. Manji alipomfungulia Mengi kesi ya kumdai shilingi 1!, Wakili wa Manji, Sabas Kiwango alipishana kauli na Mengi, Kiwango akasitishwa uwakili!.
  19. Akapishana kauli na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Muhondo kuhusu wawekezaji wazawa kwenye issue ya gesi asilia, Prof. Muhongo katimuliwa uwaziri.
  20. Alipishana kauli na Mkurugenzi Mkuu, TPDC, Yona Kilaghane kuhusu kuweka masharti nafuu wazawa kumiliki vitalu vya gesi, Kilaghane ametimuliwa TPDC!.
  21. Alipishana kauli na wandeshaji wa Kipindi cha "Kiti Moto", Kiti Moto kilikufa.
  22. Alipishana kauli na 'mtangazaji mmoja maarufu' ambaye Mengi alimtaka ajiunge na ITV, huyo mtangazaji akagoma, mpaka leo huyo mtangazaji ni 'majalala', hoin bin taaban na hajawahi kupata tena ajira popote!.
  23. Alipishana kauli na kundi za Ze Comedy, by then lilikuwa na big impact ya watu kuacha shughuli zao kuiwahi Ze Comedy, sasa sasa hawana impact tena!.
  24. Sasa ndio amepishana kauli na Ziito Kabwe, tusubiri nini kitamtokea Zitto and it is soon!.
  25. And the List goes on...
Kumbe issue ya EK ilianzia hapa, Gazeti la HabariLeo lilivyoripoti juu ya kukamatwa mwandishi Erick Kabendera mwaka 2013
Alimkorofisha huyu mzee, ukimkorofisha tuu, huyu mzee, unalo!.
P
 
Back
Top Bottom