Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
We nawe jaribu kuficha uchi wa akili yako. Umeandika upuuzi wa hali ya juu.Ndio maana nasema hujanielewa!Ungesoma maelezo yangu ungenielewa!
Refa wa kati hupewa tu taarifa na timu yake ya wasaidizi iliyo kwenye vyumba!Na taarifa aliyopewa ni kuwa sio goli!Vipi kama Refa wa kati angepewa taarifa kuwani goal,ungelalamika?