Kama ukiwa huna Bahati (luck) utatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo mengi

Hana mawazo huyu yeye anaona gepu lililokuwepo la kielimu Kati ya wachaga, wanyakyusa na wahaya dhid ya makabila mengine ni bahati? Huyu jamaa Kuna vitu havijui mm simlaumu
 
Agreed 100%.

Hiyo laini ya mwisho nakubaliana nayo sana mkuu
 
Mhubiri 9:11 Nimeweka na andiko kutjibitisha mada hii.
 
Mengi uliyoandika ni sahihi, bahati inakuwa underrated sana kwenye mafanikio wa wanadamu.
 
Nyota ni upuuzi, bahati ipo.

Kukutana na watu sahihi nayo ni bahati, unaweza kuwa unamalizia chuo ukakutana na muajiri wako wa baadaye kwa bahati katika kupiga story akakuelewa akakuambia ukimaliza chuo uende akupe kazi wakati kuna watu wamemaliza muda mrefu chuo na kila siku wanaomba kazi kwenye hiyo kampuni yake bila mafanikio.

Kuzaliwa kwenye familia bora yenye maisha mazuri inayoweza kukusomesha elimu bora na kukupa kazi bila kusumbuka ni bahati tu.

Kuzaliwa na kipaji fulani ambacho kinaweza kukupa mafanikio kama Samatta au Diamond ni bahati.
hakuna kitu kinaitwa bahati wala nyota acheni kukalilisha watu upuuzi ninachojua dunia inataka juhudi na ukutane na watu sahihi enough
 
Kwa nini wengine wenye juhudi zaidi yake kazini hawakutani na watu sahihi?
Hiyo siwezi kutafsiri kama ni bahati mkuu labda kwa upande wako maana sijajua wewe hiyo umetoa wapi ! lakini mimi nilichokiona hapo ni juhudi yako kazini na ulikutana na mtu sahihi enough



Closed
 
Hakuna njia zozote unazoweza kufanya ili bahati ikifukie.
Ukiwa na bahati ni jambo zuri sasa ishu nyingine bahati inakuja vipi kwako au ni njia gani za kukufanya uwe na bahati (ngekewa) wataalam waje watusaidie [mention]Mshana Jr [/mention]
 
Uko sahihi
mkuu bahati huwa inakuja ukiwa hujategemea,na bahati haihitaji nguvu lakini si vizuri kuishi kwa kutegemea bahati ,heri kujituma na kutumia nguvu bahati ikitokea inakukuta njiani kuliko kusubiria
 
Neno bahati ni neno la kisingizio, kuamini katika bahati ni kama mcheza kamari tu.

Ukijiaminisha sana katika bahati utaacha hata kuamini Mungu. Utajiingiza kwenye shirki.

Binaadam unatakiwa ujifanyie mambo yako kwa kujipanga na kujitayarisha na si kutegemea bahati au kujiendekeza kwenye bahati.

Kuamini kila kitu kinategemea bahati ni uzembe.
 
Wachaga wamefanikiwa Nini hebu tueleweshe
Huenda tukajifunza kitu
 

Umeelewa vizuri alichoandika mleta hoja?
Hakuna mahali amesema mtu asifanye juhudi au bidii kwenye mambo yake, la hasha. Kinachokngelewa hapa pamoja na bidii binafsi, kuna Bahati pia. Haimaanishi usifanye chochote kusubiria bahati.

Hata kwenye mashindano ya michezo mathalani mpira wa miguu, timu zote zitajitahidi, mnaweza washambulia sana wapinzani, mipira ikagonga Mwamba, mkapata penalt mkakosa, hapohapo beki wenu akajifunga wapinzani wakaibuka kidedea.

Mnapokua shule wote mnaweka bidii kwenye kusoma lakini wapo watasoma vitu vingi sana na havitatoka kwenye mtihani. Wako watasoma vichache Kwa Bahati mtihani unakuja mlemle, hiyo ni Bahati.

Kikubwa ni kuwa na utayari. Kuna mahali nilisoma Lucky = preparedness+ Opportunity
 
Bahati = Opportunity + preparations


Unataka kujitengenezea bahati jiandae kwa fursa fulani then tafuta mazingira yake.

Mfano. Diamond platinum alifanya maandalizi ya kuwa msanii atakaeweza kufanya show za kimataifa kwa kutazama hatua za ngazi atakayopitia.

Jambo ambalo kila msanii alipuuza. Ila leo wanaona kama mchawi au MUNGU kampendelea. Ila Kuna watu walikuwa na opportunity nyingi mara 100 ya diamond ila hawakuwa tayari kutengeneza (preparations) ngazi za kupandia.
 
Nyota yenyewe unajua ipoje au ndio bashikolobagendi?! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu hawafanyi preparations zozote za kufanikiwa maishani na wanafanikiwa tu.
 

Nimeelewa na nnasema kutegemea eti kuna "bahati" ni uzembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…