Kama uko smart kichwani, usiishi Tanzania. Nenda kaishi moja kati ya hizi nchi 10 utanishukuru baadaye

Kama uko smart kichwani, usiishi Tanzania. Nenda kaishi moja kati ya hizi nchi 10 utanishukuru baadaye

Moja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacations hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani.

But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.

Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.

Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..

1. Switzerland
2. Norway
3. Canada
4. Sweden
5. Finland
6. Australia
7. Netherlands
8. Denmark
9. Austria
10. New Zealand

Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu. Kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana.

NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde.

Muwe na siku njema!

Argentina vipi mzee?
 
Tupambane kuijenga nchi yetu.
Hizo nchi unazozisema wananchi waliumia kuzijenga.
Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania.
Nchi yangu.
 
CANADA itoe hapo. Kuna kiongozi mkubwa wa upinzani alienda huko akiwa na akili timamu amerudi akiwa taahira. HAPAFAI huko. Hakuna nchi tamu kama Tanzania ukiweza kumudu bills zako.
 
Mauritius kuna amani kuliko nchi yeyote Africa na pia kuishi

Seychelles, Botswana, Ghana, Namibia na hata Cape Verde na SA

Hizo zote kuna maisha ya uhakika na kama una mtaji unaweza kufanya mengi tu
Ardhi unapata kama una nia ya Ranch na kilimo
Kama ni biashara wanakaribisha watu na longolongo kama za kwetu na tamaa za mswahili hakuna huko

Hata kwa Kagame ni pazuri pia na ujinga ujinga hakuna
Kama unataka kibali, ndani ya masaa 24 unapewa

Naona kuna zingine ila walizijadili sana humu kwa ubaguzi wao hizo pia zina maendeleo kuliko sisi
Nimeishia hapo ulipoitaja South Africa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Una miaka 34 ushazunguka nchi 125 na kila nchi umekaa miezi 6 6, ningependa kujua umeanza kutembelea tangu ukiwa na umri gan na ulifika kupitia mgongo wa nani?

Kuna watu ni vibopa Ila hata nchi 15/20 hawajatembelea, sasa wewe imekuaje kuaje?

Usije ukawa unatuletea akili za kitoto

Au ndio ile true definition of Bill Lugano on the 1 & 2
 
Hakuna nchi nzuri ya kuishi kushinda nchi uliyo zaliwa, ni swala la kuweka miundo mbinu ya makazi yako na muendelezo wa kiuchumi binafsi, hili uliloongea washauri watu wanaotoka nchi zenye shida kama Somalia n.k

Nyie ndo wale kama walioko Dar es Salaam hua wana tabia ya kuwaita waTanzania wengine eti hao ni wa mikoani, yaani kimtu kilitoka huko huko mikoani tena vijijini Ngara huko Kagera,kikifika Dar miaka mitatu kinasema we wa mkoani. Yote kwa yote maisha bora yako hapa hapa TZ
Punguza wivu wewe MTU WA mkoani

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna nchi nzuri ya kuishi kushinda nchi uliyo zaliwa, ni swala la kuweka miundo mbinu ya makazi yako na muendelezo wa kiuchumi binafsi, hili uliloongea washauri watu wanaotoka nchi zenye shida kama Somalia n.k

Nyie ndo wale kama walioko Dar es Salaam hua wana tabia ya kuwaita waTanzania wengine eti hao ni wa mikoani, yaani kimtu kilitoka huko huko mikoani tena vijijini Ngara huko Kagera,kikifika Dar miaka mitatu kinasema we wa mkoani. Yote kwa yote maisha bora yako hapa hapa TZ
Mtu anaeishi Dar huwezi mlinganisha na mtu anaeishi Namtumbo huko sijui Simanjiro Mahuta Shimoni lazima utofauti uwepo
 
Tupambane kuijenga nchi yetu.
Hizo nchi unazozusema wananchi waliumia kuzijenga.
Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania.
Nchi yangu.
Tanzania Tanzania Nchi yangu Tanzania
Huu wimbo ni Mali ya Tanzania

Tazama Ramani utaona Nchi nzuri
Huu wimbo ni Mali ya Tanzania

MUNGU ibariki Tanzania
Huu wimbo sio Mali ya Tanzania ni Mali ya South Africa
 
Moja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacations hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani.

But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.

Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.

Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..

1. Switzerland
2. Norway
3. Canada
4. Sweden
5. Finland
6. Australia
7. Netherlands
8. Denmark
9. Austria
10. New Zealand

Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu. Kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana.

NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde.

Muwe na siku njema!

Why not UK
Spain .
Italy
France
Portugal...hizi zina nini ambacho umeziona hazifai ??
 
Moja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacations hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani.

But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.

Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.

Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..

1. Switzerland
2. Norway
3. Canada
4. Sweden
5. Finland
6. Australia
7. Netherlands
8. Denmark
9. Austria
10. New Zealand

Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu. Kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana.

NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde.

Muwe na siku njema!
hii post naitazama kwa jicho tofauti sana. Kwa wajuvi unaweza kubaini Unigeria kwa mbaaali. Hii post iko kimtego kuvuta wapenda mteremko na maisha ya chap chap wamfuate DM afu hapo ndio wapigwe kama kawaida.
 
Daa hata JK hajatembelea nchi 125

Huenda ila mmh
Mimi nimejaza passports 4 kwa nchi 32 nilizoishi na zingine kuzitembelea, na transit ya siku moja haihesabiki kama nimefika bali nimepita

Naona unawapeleka watu mbali sana
Kuna nchi nyingi sana hapo hapo jirani na sisi ambao ni bora zaidi x10 kuliko kuishi nyumbani

Kwanza imewafanya vijana wengi wawe na akili sawa na ubunifu sifuri
Angalia baadhi ya nchi za Africa wana maisha mazuri kuliko hii barafu ya Ulaya

Asikuambie mtu
Ulaya ukitaka uishi vizuri uwe na elimu nzuri inayokuingizia kipato kinono au kuza watoto wasome vizuri na walipwe vizuri

Ila maisha yako Africa kwenye baadhi ya nchi ila bongo hapafai
Kuna documentary niliangalia inaelezea maisha ya homeless people wa America
Walikua wame cover kitongoji kimojawapo cha jiji maarufu na tajiri sana la Los Angeles kinaitwa Skid row

Aisee wale mbwa wanapata tabu yani wana maisha ya dhiki utadhani wale jamaa wanaolala nje ya maghofa kule kariakoo
 
Hebu tupe majibu ya haya maswali;

1.Ili Graduate ambaye hana kazi aweze kwenda huko anahitaji pesa kiasi gani?
2.Je akifika huko itamchukua muda gani kupata kazi ya kumfanya aishi maisha mazuri?
3.Atafanya kazi muda gani huko nchi za watu ili awe na uwezo wa kurudi na kuwekeza nchini mwake?
4.Mtu mwenye akili timamu lakini hana elimu akienda huko atafanya kazi gani?
5.Kazi ya Bodaboda huko inakubalika?
Nasubiri majibu.
 
Back
Top Bottom