Mcanada
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 982
- 1,942
- Thread starter
- #121
Happy weekend bro.. 😂 endelea kuteseka.. siwez kujibu kila comment chukua kitakachokusaidia shida ya watanzania ni negativity kwenye kila jambo.. karibu canada tule maisha utakufa huko Tanzania..🤣Nilianza kukuamini ila kwa uongo huu ulioandika kuhusu US nimeanza kuwaamini waliosema huko juu kuwa hujatembelea nchi zote hizo, na ndio maana hata baadhi ya maswali uliyoulizwa kuhusu hizo nchi umeshindwa kujibu umerukia hili, na ni kama kwenye ile list uliiacha US makusudi ukijua kabisa lazima tu kuna mtu atakuja kuiulizia ili ujibu huo ujinga
🤣🤣