Kama uko smart kichwani, usiishi Tanzania. Nenda kaishi moja kati ya hizi nchi 10 utanishukuru baadaye

Kama uko smart kichwani, usiishi Tanzania. Nenda kaishi moja kati ya hizi nchi 10 utanishukuru baadaye

Nimejaribu, kupiga hesabu, wastani miezi sita ya kukaa kila nchi hizo 125, mara umri wake 34, nikatoa miaka 14 ya shule, msingi na Sekondari, nikabaki na miaka 20, ambayo hii ndiyo ameitumia kutembea nchi 125, akikaa watani wa miezi sita kila nchi nikagundu inabidi tumuongezee miezi kama 60, ili iendane umri wake ukitoa miaka 14, ya shule kwenye umri wake 34.

Mimi naamini inawezeka kwa kutembea nchi 125 ila kila nchi ukikaa miezi sita basi itabidi tukuongezee miaka mitano, na ukitoa miaka mitano kwenye miaka ya shule, utabaki na miaka 9 ya shule. Inawezekana ama pia haiwezekani.
achana na mjinga huyo...kuna watu wanaishi katika ndoto za wengine. Akisoma simulizi ya mtu mwingine, anaibuka nayo kama yake
 
Huko unapo patamani babu zao wasingekua smart wakawa wapenda mtelezo kama wewe wakatelekeza miji yao unafikiri we leo ungepatamani?
 
Moja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacations hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani.

But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.

Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.

Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..

1. Switzerland
2. Norway
3. Canada
4. Sweden
5. Finland
6. Australia
7. Netherlands
8. Denmark
9. Austria
10. New Zealand

Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu. Kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana.

NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde.

Muwe na siku njema!
Ahsante mkuu tusaidie na fursa za kikazi ukipata connection hata tuziombe tu.
 
achana na wanasiana wa Afrika.. Mwanasiasa yeyote kutoka bara la africa matumizi ya uongo kwake ni wa kiwango cha juu kuliko kusema ukweli.
Hiyo ni kawaida kwa binadamu wakati unaona maala flani hakuna fursa kuna wezako wanaona kuna fursa maisha ndivyo yalivyo.
 
Nimejaribu, kupiga hesabu, wastani miezi sita ya kukaa kila nchi hizo 125, mara umri wake 34, nikatoa miaka 14 ya shule, msingi na Sekondari, nikabaki na miaka 20, ambayo hii ndiyo ameitumia kutembea nchi 125, akikaa watani wa miezi sita kila nchi nikagundu inabidi tumuongezee miezi kama 60, ili iendane umri wake ukitoa miaka 14, ya shule kwenye umri wake 34.

Mimi naamini inawezeka kwa kutembea nchi 125 ila kila nchi ukikaa miezi sita basi itabidi tukuongezee miaka mitano, na ukitoa miaka mitano kwenye miaka ya shule, utabaki na miaka 9 ya shule. Inawezekana ama pia haiwezekani.
Ameishi miezi sita sita kwenye hizo nchi 9 alizoziorodhesha.
 
Moja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacations hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani.

But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.

Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.

Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..

1. Switzerland
2. Norway
3. Canada
4. Sweden
5. Finland
6. Australia
7. Netherlands
8. Denmark
9. Austria
10. New Zealand

Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu. Kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana.

NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde.

Muwe na siku njema!
Hakuna nchi nzuri ya kuishi kushinda nchi uliyo zaliwa, ni swala la kuweka miundo mbinu ya makazi yako na muendelezo wa kiuchumi binafsi, hili uliloongea washauri watu wanaotoka nchi zenye shida kama Somalia n.k

Nyie ndo wale kama walioko Dar es Salaam hua wana tabia ya kuwaita waTanzania wengine eti hao ni wa mikoani, yaani kimtu kilitoka huko huko mikoani tena vijijini Ngara huko Kagera,kikifika Dar miaka mitatu kinasema we wa mkoani. Yote kwa yote maisha bora yako hapa hapa TZ
 
Moja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacations hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani.

But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.

Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.

Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..

1. Switzerland
2. Norway
3. Canada
4. Sweden
5. Finland
6. Australia
7. Netherlands
8. Denmark
9. Austria
10. New Zealand

Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu. Kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana.

NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde.

Muwe na siku njema!
Mkuu mm naomba tu utofauti Kati ya mbususu za dada zetu na za wazungu
 
USA its shit country! si nchi nzuri kama wengi tunavyohadithiwa ni majirani zangu hao ila dah kimaisha hapana, ukiishi hiyo nchi roho inakuwa juu tu, wasiwasi, mashaka mashaka na depression mbaya zaidi crime rates iko juu sana marekani, wanaosema pesa ipo ni kweli pesa ipo, ila pesa nyingi watu wanazipata kwa kufanya shughuli haramu(We call "Dirty Money") Jambo ambalo linaloweza kufanya life expectance yako kushuka chini kila kukicha.. kwa jicho la kitalaamu simshauri mtu kuingia humo labda kama una ndoto za kupata hela tu na kuondoka..
USA its shit country....wtf. Kama Mcanada huwezi kuwa mbovu hivi kwenye lugha ya Canada.

USA is a shit country (Hii ndio sahihi)
 
Back
Top Bottom