Kama uliolewa ukiwa "single mother" na ndoa ikadumu njoo uwape moyo wenzio!

Kama uliolewa ukiwa "single mother" na ndoa ikadumu njoo uwape moyo wenzio!

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Vijana wengi wa kiume wamekuwa wakiwapomda sana single mama kwa kuwakashifu kuwa hawawezi kuolewa. Wanaume weng wanaamin kuwa ukimuoa single maza atakusumbua kwa tabia mbaya hasa ile ya kuwasiliana na mzaz mwenzi. Lakn ukweli ni kwamba single maza wanaolewa na wanakalika katka ndoa!

Wewe mwanamke ulieolewa ukiwa single mama na ndoa yako ikadum hebu njoo uzibe midomo ya hawa wanaume!!! NB:Unapotoa ushuhuda ni vizur ukataja na changamoto unazokutananazo kuhusu mtoto wako wa nje hasa unavyowasiliana na mzaz mwenzio na jins unavyokaribiana nazo hzo changamoto!! Karibuni.

1629278756573.png
 
Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.

Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.

Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
 
Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.

Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.

Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Ahsante sana kwa maon yako!!!! vip kuhusu single mama wanaoolewa na kuachika huwaon huko uliko?
 
Muwapumzishe jamani hawa Single Mothers. Wameshasemangwa vya kutosha humu, tuhamie kwenye kujikinga na Maambukizi ya CORONA
Mkuu huu uzi haopond single bali unawasaidia na kuwaondoa wasiwasi il wajue kuwa kumbe na was sio watu wakunyanyapaliwa na kuonwa hawana thaman!
 
Mwanaume ambaye Tayari keshashiba Imani ya kua Singo maza ni tatizo, huyu hawezi kuona upande wapili bora wa Singo mama...

Lkn wapo wanaume wanaoa Singo mam, lkn sababu ya kuvutiwa tu na uzuri au papuchi ya bidada, hijikuta wanasahau wajibu wao kwa Mtoto wa bidada huyo. Matokeo yake, bidada analazimishwa kuhakikisha kwamba mbali nakuolewa, bado yupo na mawasiliano nababa mtoto wake kwaajili ya matumizi n.k.

Pia, Kuna wanawake wachache hawa, Baada ya kuolewa , sasa ameshapata mahali pauhakika,.. Huanza sasa kumzungka jamaaa , ndio anamzunguka sababu sikeshapata mahali pakutulia..... Yeye hata umjali vipi mwanawe, Bado tu atahakikisha mawasiliano na Jamaa wake Mara tatu kwa siku.

Baada ya yote, Mke mwema tu ndio kila kitu, awe ana mtoto, umemkuta hana, kama ni wale "Manungaembe" HAFAI ...kama ni mwema anafaa.

Ila nasikitika sana, tunaenda kua na kizazi ambacho Wanaume wamepoteza Uanaume wao.... Kizazi ambacho wanawake kwao mwili ndio utakua Dereva wa maisha yao nasio Akili.
 
Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.

Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.

Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Mbombo naloli
 
Mpaka mwenzio kaamua kukacha familia, wewe ndio ukajibebeshe fupa la goti, si mnamuona chawa, kakubali kuwa mama ntilie
 
Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.

Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.

Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Umesahau jambo la msingi sana mshikaji wangu BIKRA hii kitu muhimu sana.
 
Mzee wa Mwakaleli nyie Dada zenu wanaolewa na kuchana kila kukicha, unakuta mwanamke kazaa na wanaume hata 3 tofauti na bado unakuta hajafikisha hata miaka 30!!!!
We mzee umewajuaje aisee?
.
Nina dem wakinyakyusa nilikutana nae Mbezi 2018 anavaa ki-slay Queen kabisa sikuwahi kumfanya chochote tulipishana kidogo ila tuliahidiana mwaka huu nikirudi tuanze eee bwana ee i saw her on Facebook ana watoto wawili na kwa taarifa za snitch mzuri mzuri (rafiki ake) mkubwa ana miaka tisa mdogo ana miaka sita alafu mama ao ana miaka 26.😭😭
 
Back
Top Bottom