Kama uliolewa ukiwa "single mother" na ndoa ikadumu njoo uwape moyo wenzio!

Kama uliolewa ukiwa "single mother" na ndoa ikadumu njoo uwape moyo wenzio!

Mimi niliwahi kua na mahusiano na mtu Kwa muda alikua hataki kabisa kunipeleka kwao lkn alitaka nizae nae kabla ya ndoa alinibana kiasi cha kuona hakuna mwanaume anaenipenda kama yeye hapo nilikua binti wa miaka 20 tuu yule mwanaume alinilazimisha sna nimzalie nikaona isiwe tabu ngoja Nihame mji kimya kimya baada ya miez 6 nikagundua Ana watoto kama 5 kila mtu na mama yake
Note: wanaume ndo wanasababisha uwepo wa single mother


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibun wadau mchangie maada nzur na yenye mafunzo
 
Mimi niliwahi kua na mahusiano na mtu Kwa muda alikua hataki kabisa kunipeleka kwao lkn alitaka nizae nae kabla ya ndoa alinibana kiasi cha kuona hakuna mwanaume anaenipenda kama yeye hapo nilikua binti wa miaka 20 tuu yule mwanaume alinilazimisha sna nimzalie nikaona isiwe tabu ngoja Nihame mji kimya kimya baada ya miez 6 nikagundua Ana watoto kama 5 kila mtu na mama yake
Note: wanaume ndo wanasababisha uwepo wa single mother


Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wanaume wote madam
 
Mimi niliwahi kua na mahusiano na mtu Kwa muda alikua hataki kabisa kunipeleka kwao lkn alitaka nizae nae kabla ya ndoa alinibana kiasi cha kuona hakuna mwanaume anaenipenda kama yeye hapo nilikua binti wa miaka 20 tuu yule mwanaume alinilazimisha sna nimzalie nikaona isiwe tabu ngoja Nihame mji kimya kimya baada ya miez 6 nikagundua Ana watoto kama 5 kila mtu na mama yake
Note: wanaume ndo wanasababisha uwepo wa single mother


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa maon yako ni yap kulingana na maada inavyosema?
 
Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.

Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.

Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Exactly, kinacho matter ni mapenzi na kujitambua. Wapo wengi wameoa wanawake wasio na watoto, na hao wanawake ni hopeless kabisa.

Ila mlokole, ni wa kuwa naye makini sana. Ukioa mwanamke mlokole, asilimia kubwa mnakuwa wanaume watatu. Wewe, Yesu na Mchungaji!
 
Exactly, kinacho matter ni mapenzi na kujitambua. Wapo wengi wameoa wanawake wasio na watoto, na hao wanawake ni hopeless kabisa.

Ila mlokole, ni wa kuwa naye makini sana. Ukioa mwanamke mlokole, asilimia kubwa mnakuwa wanaume watatu. Wewe, Yesu na Mchungaji!
Acha kuchafua iman za watu mkuu!!! mim nazan tabia mbovu huwa inadepend sana na nature ya mtu na wala sio dini au iman ya mtu.
 
Karibun tena ndugu wachangiaji
 
Vp ulimuoa ??
We mzee umewajuaje aisee?
.
Nina dem wakinyakyusa nilikutana nae Mbezi 2018 anavaa ki-slay Queen kabisa sikuwahi kumfanya chochote tulipishana kidogo ila tuliahidiana mwaka huu nikirudi tuanze eee bwana ee i saw her on Facebook ana watoto wawili na kwa taarifa za snitch mzuri mzuri (rafiki ake) mkubwa ana miaka tisa mdogo ana miaka sita alafu mama ao ana miaka 26.😭😭
?
 
Mimi bila bikra sioi..sasa sipatii picha kuoa single mom..

Anyway,sio kusudio sana la wanawake kujikuta single moms,na yeyote atakayeoa single mom na wakapendana basi kila la kheri kwao.
 
Huon kuwa hapa tunawapa moyo
Muwapumzishe jamani hawa Single Mothers. Wameshasemangwa vya kutosha humu, tuhamie kwenye kujikinga na Maambukizi ya CORONA
 
Wapo wengi sana walioolewa na ndoa zao zikasimama. Narudia ni wengi mno. Kikubwa muoaji na muolewaji wajiamini na wajue wanachofanya.
 
Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.

Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.

Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Wee mbona hujaolewa?
 
Back
Top Bottom