Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Kichwa.. Hajaweka utoto huo ndo uhalisia utaanzaje mechi timu moja inaongoza goli moja au zaidi tayari?Acha utoto mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa.. Hajaweka utoto huo ndo uhalisia utaanzaje mechi timu moja inaongoza goli moja au zaidi tayari?Acha utoto mkuu
Mwanamke anayetaka kufaa kwenye ndoa alelewe kwa kujizuia. Hizi hadithi zenu zinachosha, tangu awali mwanamke alipaswa kulinda hadhi yake wa ajili ya ndoa. Ndivyo ilivyo kwa mwanamume pia. VIJANA JIFUNZENI CHASTITY.Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.
Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.
Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Mma isya bhalumyana mbalapala.Mbombo naloli
Chawa ndo nani?Mpaka mwenzio kaamua kukacha familia, wewe ndio ukajibebeshe fupa la goti, si mnamuona chawa, kakubali kuwa mama ntilie
Ni nothing kwako na wajinga wengine.Bikra kwa saiz is nothing
The question was "Unaweza kununua gari used kwa bei sawa na jipya?Kwa mke tunachza na akili yake,ila kwa gari tunacheza na injin,nadhan umeona utofaut
Vijana wengi wa kiume wamekuwa wakiwapmda sana single mama kwa kuwakashifu kuwa hawawez kuolewa.
Wanaume weng wanaamin kuwa ukimuoa single maza atakusumbua kwa tabia mbaya hasa ile ya kuwasiliana na mzaz mwenzie
Lakn ukweli ni kwamba single maza wanaolewa na wanakalika katka ndoa!!!
wew mwanamke ulieolewa ukiwa single mama na ndoa yako ikadum hebu njoo uzibe midomo ya hawa wanaume!!!
NB:Unapotoa ushuhuda ni vizur ukataja na changamoto unazokutananazo kuhusu mtoto wako wa nje hasa unavyowasiliana na mzaz mwenzio na jins unavyokaribiana nazo hzo changamoto!! karibun
Huyo mwanamke humgongi kwa sabab ya kuwa umezaa nae ila unamgongi kwa sabab yeye ni mzinifu tu,na usijidanganye kuwa unamgonga wew kwa vile ulizaa nae,lazma watakuwepo na wanaume wengne anaozin nao.mzinz ni mzinz tu hata usingekuwa umezaa nae ungekuwa unazin nae tuKuoa mwanamke mwenye mtoto ni kujitafutia matatizo tu kwa bei rahisi!!baby mama wangu mmoja kaolewa mie na kula mzigo muda wote nao taka kw kisingizo nataka kumuona mwanangua!!
Sent using Jamii Forums mobile app
LekaMma isya bhalumyana mbalapala.
Leka itoloMzee wa Mwakaleli nyie Dada zenu wanaolewa na kuchana kila kukicha, unakuta mwanamke kazaa na wanaume hata 3 tofauti na bado unakuta hajafikisha hata miaka 30!!!!
HAHAHAHAAAMi nkipata single maza aliyefiwa na mumewe ntaoa ila awe mwarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana acheni woga oeni.