Ahsante sana kwa maon yako!!!! vip kuhusu single mama wanaoolewa na kuachika huwaon huko uliko?Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.
Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.
Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Mkuu huu uzi haopond single bali unawasaidia na kuwaondoa wasiwasi il wajue kuwa kumbe na was sio watu wakunyanyapaliwa na kuonwa hawana thaman!Muwapumzishe jamani hawa Single Mothers. Wameshasemangwa vya kutosha humu, tuhamie kwenye kujikinga na Maambukizi ya CORONA
Mbombo naloliKuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.
Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.
Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Mzee wa Mwakaleli nyie Dada zenu wanaolewa na kuchana kila kukicha, unakuta mwanamke kazaa na wanaume hata 3 tofauti na bado unakuta hajafikisha hata miaka 30!!!!Mbombo naloli
Vipi khs wanaume au wao sio watu?Mzee wa Mwakaleli nyie Dada zenu wanaolewa na kuchana kila kukicha, unakuta mwanamke kazaa na wanaume hata 3 tofauti na bado unakuta hajafikisha hata miaka 30!!!!
Wanaume hawana say kwenye familia mke ndo jogoo
Nawaona wote tu walio single moms na wasio, so suala la kuolewa na kuachika inategemea na wanandoa wenyewe na changamoto zao.Ahsante sana kwa maon yako!!!! vip kuhusu single mama wanaoolewa na kuachika huwaon huko uliko???
Umesahau jambo la msingi sana mshikaji wangu BIKRA hii kitu muhimu sana.Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.
Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.
Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Natamani niandike tusi ila acha nivunje mwiko wa Nyerere wewe kabila gani?single maza ni wanawake watam na wazur sana,so msiwaogope jaman
Kwamba handicap ππ hiyo haikubaliki kwa mwanaume timamu.Kabla refa hajapuliza kipenga team moja tayari imepewa goal.[emoji23]
We mzee umewajuaje aisee?Mzee wa Mwakaleli nyie Dada zenu wanaolewa na kuchana kila kukicha, unakuta mwanamke kazaa na wanaume hata 3 tofauti na bado unakuta hajafikisha hata miaka 30!!!!