Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Na unaweza ukaona akiwa na wewe anamponda kinoma huyo jamaa aliyemuoaKuoa mwanamke mwenye mtoto ni kujitafutia matatizo tu kwa bei rahisi!!baby mama wangu mmoja kaolewa mie na kula mzigo muda wote nao taka kw kisingizo nataka kumuona mwanangua!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba handicap [emoji13][emoji13] hiyo haikubaliki kwa mwanaume timamu.
.
Yani washukuru sana siujui uchawi ningekuwa naroga vibaya mno wapuuzi kama hao
Sana tu kuwa alikosea njia hakuw na jinsi baadaya ya mimi kuto muoana unaweza ukaona akiwa na wewe anamponda kinoma huyo jamaa aliyemuoa
Hittin Blunts and Bustin Nuts
Yaan kama kuna mwanamke anasema ivo jua kuwa hilo ni kopo,na kama umezaa nae jua kuwa ulizaa na kopo, au mlikutana wote makopo kabisa!!!! Yaan usijisifu kuwa ulizaa na mwanamke sema ulizaa na kichaa mwenzioSana tu kuwa alikosea njia hakuw na jinsi baadaya ya mimi kuto muoa
Sent using Jamii Forums mobile app
ilikuaje hadi ukakataa kumuoa?Sana tu kuwa alikosea njia hakuw na jinsi baadaya ya mimi kuto muoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabia zake hazikufika matamanio yangu ila ni mwanamke mzuri kwa umbo na sura otho mimi sijao mpaka leo niko na jimama languilikuaje hadi ukakataa kumuoa?
Hittin Blunts and Bustin Nuts
Sawa mkuuYaan kama kuna mwanamke anasema ivo jua kuwa hilo ni kopo,na kama umezaa nae jua kuwa ulizaa na kopo, au mlikutana wote makopo kabisa!!!! yaan usijisifu kuwa ulizaa na mwanamke sema ulizaa na kichaa mwenzio
Uliwahi kumuahidi kuwa utamuoa?? jimama lina miaka mingapi?Tabia zake hazikufika matamanio yangu ila ni mwanamke mzuri kwa umbo na sura otho mimi sijao mpaka leo niko na jimama langu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi uishi kama Yuda Thadei.Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni kujitafutia matatizo tu kwa bei rahisi!!baby mama wangu mmoja kaolewa mie na kula mzigo muda wote nao taka kw kisingizo nataka kumuona mwanangua!!
Sent using Jamii Forums mobile app
40yrs .....hapana kabisa ila alitegemea nitaoauliwahi kumuahidi kuwa utamuoa?? jimama lina miaka mingapi?
Hittin Blunts and Bustin Nuts
Hilo jimama vipi ni mke wa mtu?
Write your reply...sijawahi kuona mechi inaanza 1-0
iwe league
-au Uefa
ueropa
copa liberito
vodacom premier na kadhalika
wanawake wapo wengi kwani lazima kuoa aliezalishwa na mwanaume mwezio ?
Kuna uzi wangu nimemulezea vizuri utafutehilo jimama vipi ni mke wa mtu?
Hittin Blunts and Bustin Nuts