Sio wanaume wote madamMimi niliwahi kua na mahusiano na mtu Kwa muda alikua hataki kabisa kunipeleka kwao lkn alitaka nizae nae kabla ya ndoa alinibana kiasi cha kuona hakuna mwanaume anaenipenda kama yeye hapo nilikua binti wa miaka 20 tuu yule mwanaume alinilazimisha sna nimzalie nikaona isiwe tabu ngoja Nihame mji kimya kimya baada ya miez 6 nikagundua Ana watoto kama 5 kila mtu na mama yake
Note: wanaume ndo wanasababisha uwepo wa single mother
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo iman iondoe haraka iwezekanavyoUkweli kabisa kutoka moyoni mm ninavyojijua cwez kuoa mwanamke mwenye mtoto nikigundua tu ni Bora tuachane maana yajayo yanafurahishs
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa maon yako ni yap kulingana na maada inavyosema?Mimi niliwahi kua na mahusiano na mtu Kwa muda alikua hataki kabisa kunipeleka kwao lkn alitaka nizae nae kabla ya ndoa alinibana kiasi cha kuona hakuna mwanaume anaenipenda kama yeye hapo nilikua binti wa miaka 20 tuu yule mwanaume alinilazimisha sna nimzalie nikaona isiwe tabu ngoja Nihame mji kimya kimya baada ya miez 6 nikagundua Ana watoto kama 5 kila mtu na mama yake
Note: wanaume ndo wanasababisha uwepo wa single mother
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly, kinacho matter ni mapenzi na kujitambua. Wapo wengi wameoa wanawake wasio na watoto, na hao wanawake ni hopeless kabisa.Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.
Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.
Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.
Acha kuchafua iman za watu mkuu!!! mim nazan tabia mbovu huwa inadepend sana na nature ya mtu na wala sio dini au iman ya mtu.Exactly, kinacho matter ni mapenzi na kujitambua. Wapo wengi wameoa wanawake wasio na watoto, na hao wanawake ni hopeless kabisa.
Ila mlokole, ni wa kuwa naye makini sana. Ukioa mwanamke mlokole, asilimia kubwa mnakuwa wanaume watatu. Wewe, Yesu na Mchungaji!
Sasa maon yako ni yap kulingana na maada inavyosema?
?We mzee umewajuaje aisee?
.
Nina dem wakinyakyusa nilikutana nae Mbezi 2018 anavaa ki-slay Queen kabisa sikuwahi kumfanya chochote tulipishana kidogo ila tuliahidiana mwaka huu nikirudi tuanze eee bwana ee i saw her on Facebook ana watoto wawili na kwa taarifa za snitch mzuri mzuri (rafiki ake) mkubwa ana miaka tisa mdogo ana miaka sita alafu mama ao ana miaka 26.😭😭
Na Wanawake nao wanachangia.Wanaume ndo wanasababisha kiwepo single mothers
Wee mbona hujaolewa?Kuna wadada nawafahamu wameolewa wakiwa single moms lkn ndoa zao zinaenda poa tu.
Nadhani inategemea na single mama mwenyewe anajitambuaje, kuna ambao ni wastaarabu ni vile ilitokea tu hao baba watoto wao wakaenda zao, au utoto ile stage ya balehe wakajikuta wanapata ujauzito, so huyu akipata mume atakua serious na mwenye kujiheshimu.
Changamoto inatoka kwa sisi watu wa pembeni kuwanyooshea vidole, like "yule ni firstborn wake si mtoto wa huyo mume wake" nk, inawafanya wajiskie vibaya. Ila ni watu poa na wanajua maisha coz wamepitia mengi. Vijana acheni woga oeni.