Kama umeajiriwa sehemu yoyote shika sana kazi yako hakikisha huipotezi, ukiipoteza utajuta

Now atakuwa na adabu ya kutosha
 
Umenena msg...
 
Pwagu Aliacha Kazi Ya Kutumwa Akafungua Duka Lake Akajiajiri Akichoka Anafunga Duka Amekwenda Kulala

Sasa Wateja Wakuja Wakikuta Duka Limefungwa
Wanamgongea Basi Akitoka Ndani Mteja Anafokewa
😀😁😂😂😁😀😀🤣🤣🤣😃😂😄😄😅🤣😂
Mteja: Anaulizwa Hujaona Nimefunga Mlango
Nenda Kanunue Sehemu Nyingine



Pwagu: Nimeacha Kazi Ya Kutumwa Na Hii Kazi Ya Duka Sitaki Kero 😑😐😐😶😶
 
Umemaliza kila nilichotaka kuandika. Kiukweli kuongeza chanzo kingine cha mapato ndo jambo litakalomweka mtu huru. Na ili kuongeza kipato inahitaji roho ngumu na mipango thabiti ya muda mfupi na mrefu. Umeongelea hili tatizo la waajiriwa wengi anapata mshahara na kukimbilia kukopa ili ajenge au kununua gari. Sio jambo baya lakini kibiashara haiko sawa sana kwasababu hela iliyowekezwa hairudi na kuishia kuishi maisha magumu sana yenye kitanzi cha mkopo. Nawashauri watu wazingatie hii comment yako
 
Sisi ma atheist, matumaini yetu tunaweka kwenye logic na science 😃
 
Sisi ma atheist, matumaini yetu tunaweka kwenye logic na science 😃
Whatever, tumia hio hip Logic and science kujua kuwa kuna fursa nyingi nje ya ajira (kuajiriwa)!!

Kumbuka, ajira yako ni nzuri sana ila ujue kuna siku itakoma! Siku ikikoma na ukiwa na umri mdogo utafanyeje? Usitegemee mifuko ya hifadhi ya jamii, I lost a friend of mine kwa kusumbuliwa na mfuko mmoja wapo Lapf to be specific. Alikua just 46yrs imagine.

Mungu atusaidie or whatever unaamini....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…