Kama umeajiriwa sehemu yoyote shika sana kazi yako hakikisha huipotezi, ukiipoteza utajuta

vijana mkajiajiri acheni utumwa
 
Kwahiyo uliyotuambia hapo juu unayafanya (implement)? Kama unafanya na yameenda kama ulivyokusudia tueleze, ili na sisi tufanye (sio tujaribu), maana nijuavyo mikopo ina masharti, ikiwa ni pamoja na dhamana (nyumba, kiwanja, shamba, nk). Tumeona wengi badala ya kupiga hatua, mikopo imewarudisha nyuma!
 
Umenena Vyema sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…