Wakati asiekuwa nayo anahaha aipate.Ukiwa na kaz unatamani siku moja uachane na hio kaz ya manyanyaso na mshahara kidogo ukafanye nzuri.
Kweli tunataman tusivyokuwa navyo. Kama mke vile, wakwako wakawaida wa wengine niwazuri mno. Maisha sijui yameumbwaje hata hayasomeki.
Bossss huyu si mke wangu i have just do imagination mkuu.Heheheheh mbona mkeo mzungu huyo, wengine vilanga kichizi 😅😅😅 atakunyali kwanza ndio akutume mkeo sounds kama ana ku please kabisa!
True.Tukijifunza kupenda na kuthamini tulivyonavyo, tutaepuka stress nyingi na maradhi yasiyo na ulazima.
vijana mkajiajiri acheni utumwaHabari wakuu!!
Huu ni ushauri kwa watu wote waliopo kwenye ajira sehemu mbali mbali serikalini au makampuni binafsi n.k,
Haiijarishi wewe ni polisi, mwanajeshi, Mwalimu, daktari, mhasibu, sekretari, mwandishi wa habari, kiongozi wa kisiasa, Modetator JF n.k hata kama unalipwa elfu moja kwa siku, heshimu sana kazi yako na ipende kama unavyompenda mke wako au watoto wako.
Siku ukipoteza hiyo kazi sio ajabu kujikuta unapoteza na vitu vingine vya muhimu kama vile mke, heshima, marafiki ndugu hata biashara uliyoamua kuianzisha nayo ikafa kifo cha mende,
Hakuna watu wanafiki kama walio maofisini, hakikisha hupotezi kazi baki huko huko na wanafiki wenzio maana siku utakapopoteza kazi hakuna atakayehangaika na wewe hapo ofisini kwako ulipo sasa ama huko utakakokuwa unapereka vyeti na CV zako narudia tena hakuna atakayehangaika na wewe,
Siku ukitaka kujitolea watapokea CV zako ulizotype na kuprint kwa pesa ya msaada kama umezipeleka private watakuambia watakupigia simu na hiyo ndio bye bye, kama ni serikalini hayupo Mkurugenzi, au mkuu yeyote atakayehangaika na makaratasi yako yatawekwa kwenye faili yaungane na barua za wenzako za mwaka juzi ambazo hazijajibiwa,
Haijarishi unalipwa laki moja au mbili kwa mwezi, haijarishi unalipwa mamilioni, haijarishi unatembea kwenye gari zuri la serikali au kampuni, nguvu uliyonayo sasa ndiyo inayokufanya uheshimike na kuchangamkiwa unapokwenda kikazi kwenye taasisi zingine,
Wasio na kazi au ajira hawajapenda au kutaka wawe hivo bali ni competition kali iliyopo mitaani
Kijana kama wewe ni boda boda umeoa unawatoto na unarisha familia heshimu sana hiyo kazi
Mwenye macho na asome kisha atafakari
Nawasilisha.
Heheheh noma sana, tuna imagine tu mzee mambo kwa ground ni kujifulia na kujipikia tuBossss huyu si mke wangu i have just do imagination mkuu.
Japo wapo wana wanalelewa ila usikubali mke akulee hata siku moja ipo siku utaumbuka na mateso juu.Heheheh noma sana, tuna imagine tu mzee mambo kwa ground ni kujifulia na kujipikia tu
Ha ha haJapo wapo wana wanalelewa ila usikubali mke akulee hata siku moja ipo siku utaumbuka na mateso juu.
Hata kama mke anakabiashara wewe kapige debe hapo ila siyo utulie eti mke uridhike mke analeta msosi.
mtaji ni nguvu zako na akili kwani we mgonjwaTatizo linaanza hapo kwenye kutaka kujiajiri mwenyewe, huo mtaji unatolea wapi?
Tafuta nyingine kwanza au kitu chochote cha kufanya ndipo uiache hiyo kazi.Natarajia kuacha kazi ninayolipwa wastani wa 3300 kwa siku huku nikitegemea hiyo ndio Pesa ya kula, kodi, familia n.k.. Unanishaurije mkuu?
Km vipi angeweka na mfano wa hizo kazi zinazoweza kumfanya mtu kuwa mtumwa.Ndio inayozungumziwa hapo na jamaa
Kwahiyo uliyotuambia hapo juu unayafanya (implement)? Kama unafanya na yameenda kama ulivyokusudia tueleze, ili na sisi tufanye (sio tujaribu), maana nijuavyo mikopo ina masharti, ikiwa ni pamoja na dhamana (nyumba, kiwanja, shamba, nk). Tumeona wengi badala ya kupiga hatua, mikopo imewarudisha nyuma!Mentality ya Kuajiriwa naona ndio inatuweka kuwa watumwa,....sisemi kuwa kuajiriwa ni kubaya la hasha. Nasema, unaajiriwa na kuanza mchakato wa kuangalia mbele baada ya miaka kadhaa malengo yangu ni yapi? Kwenye kuajiriwa kuna fanya mwaajiriwa kutofikiri nje ya Box, kwa maana kua anaangalia mwisho wa mwezi atapata mshahara, hata kama hautoshi(Na hautatosha maisha yote), yeye atajituma muda woote kufanya kazi ya kuajiriwa!
Sasa basi, suluhisho ni, tumia kazi ya kuajiriwa kama ngazi ya kuanza kujijenga, ukitumia kipato cha kazini, anza kuchukua mkopo wa kuanzisha kijibiashara.....usianze biashara kubwa, anza kitu kidogo kama hata kibanda cha kuuza vocha na soda. baada ya kumaliza mkopo huo, biashara inakua yako na ndio faida......chukua mkopo mwengine, anzisha biashara nyengine, hata kinyozi na kuendelea.
Baada ya miaka michache, utakuta umekua mjasirimali na vibiashara kadhaa. Anza kulea na kuboresha hizo biashara.
Itafika wakati, hizo biashara zako zinakupa zaidi ya mshahara............hapo sasa ndio unaweza kuachia pole pole huo utumwa.
Tatizo wafanyi kazi wengi huanza na kuchukua deni kununua gari...kujenga nyumba, kununua makochi..na kadhalika!
Kuajiriwa ni Slavery ndungu zangu.........mimi ni muajiriwa, lakini, ningepata ushauri mapema, ningekua Muajiri kwa sasa!
Habari wakuu!!
Huu ni ushauri kwa watu wote waliopo kwenye ajira sehemu mbali mbali serikalini au makampuni binafsi n.k,
Haiijarishi wewe ni polisi, mwanajeshi, Mwalimu, daktari, mhasibu, sekretari, mwandishi wa habari, kiongozi wa kisiasa, Modetator JF n.k hata kama unalipwa elfu moja kwa siku, heshimu sana kazi yako na ipende kama unavyompenda mke wako au watoto wako.
Siku ukipoteza hiyo kazi sio ajabu kujikuta unapoteza na vitu vingine vya muhimu kama vile mke, heshima, marafiki ndugu hata biashara uliyoamua kuianzisha nayo ikafa kifo cha mende,
Hakuna watu wanafiki kama walio maofisini, hakikisha hupotezi kazi baki huko huko na wanafiki wenzio maana siku utakapopoteza kazi hakuna atakayehangaika na wewe hapo ofisini kwako ulipo sasa ama huko utakakokuwa unapereka vyeti na CV zako narudia tena hakuna atakayehangaika na wewe,
Siku ukitaka kujitolea watapokea CV zako ulizotype na kuprint kwa pesa ya msaada kama umezipeleka private watakuambia watakupigia simu na hiyo ndio bye bye, kama ni serikalini hayupo Mkurugenzi, au mkuu yeyote atakayehangaika na makaratasi yako yatawekwa kwenye faili yaungane na barua za wenzako za mwaka juzi ambazo hazijajibiwa,
Haijarishi unalipwa laki moja au mbili kwa mwezi, haijarishi unalipwa mamilioni, haijarishi unatembea kwenye gari zuri la serikali au kampuni, nguvu uliyonayo sasa ndiyo inayokufanya uheshimike na kuchangamkiwa unapokwenda kikazi kwenye taasisi zingine,
Wasio na kazi au ajira hawajapenda au kutaka wawe hivo bali ni competition kali iliyopo mitaani
Kijana kama wewe ni boda boda umeoa unawatoto na unarisha familia heshimu sana hiyo kazi
Mwenye macho na asome kisha atafakari
Nawasilisha.
Acha hio kazi uone bill zitakavyokupiga mieleka na kuanza kununiwa na wife pale home!nimefanyakazi zaidi a miaka 25 ila ni kama nipo utumwani tu
Pata kazi kwingine kwanza na hakikisha mmesainishana mikataba ndio uache hiyo kazi vinginevyo utapeleka watoto wakaishi kwa bibi yao kijijini
Mtu wa kitungi mno,wiki tu mshahara kwaheri...vinaanza vizinga na lawama.Anaula siku ngapi?
Kazi zote za kuajiriwa ni utumwa, kwa sababu kila kitu unapangiwa hadi muda wa kwenda na kutoka kazini, inshort hakuna uhuru na akili lazima ilale unawaza mshahara tu na viposho kama vipoKm vipi angeweka na mfano wa hizo kazi zinazoweza kumfanya mtu kuwa mtumwa.