Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
You never know how strong you're, till being strong is the only option you.....!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hayo maisha nje ya kuajiriwa ndiyo haya haya ya kuamka hujui utakula wapiKuna maisha nje ya kuajiriwa,.
Sipati picha nimefulia eti mke ndio ananilisha 😄😄😄😄Mke akishakulisha week mbili shombo zinaanza hapa lazma uandike uzi kama huu witnessj karibu uchangie huku
Mara nyingi ni somo kuhusu mke ulieoa😅 na marafiki waliokuzunguka!Sometimes ukifukuzwa kazi ujue unaweza kujifunza jambo then ukaja kushukuru kupoteza kazi yenyewe
Wala kuelekea wapi jua likikuchwaNa hayo maisha nje ya kuajiwa ndiyo haya haya ya kuamka hujui utakula wapi
You have!You never know how strong you're, till being strong is the only option you.....!!!
Akikujibu nistueKiongozi imekuaje tena mpaka ukaja na mada kama hii 😀😀😀
Eeh mzee baba usiombe, ukiwaza unatakiwa uanze kuchoma mahindi stand wakati ulikuwa unarudishwa kibosi na Prado lenye namba SU mtaani kwako basi unaona wacha nitulie kwenye kochi nitafakari cha kufanya kwanza😅 huku wife yeye akiwasha IST yake na kwenda zake Access bank kila panapokuchwa!Sipati picha nimefulia eti mke ndo ananilisha 😄😄😄😄
Nahitaji ela la voucher ananitolea kwenye handbag yake aiseeee
Kuogopa Kufukuzwa Kazi ni uoga wa maishaHuwezi kuwa mfanyakazi bila kuwa mtumwa
Nakazia!!!Huwezi kuwa mfanyakazi bila kuwa mtumwa
Hata shuleni,kazini hakunaga marafiki, kuna wanafiki
put it in your mind
Kuna kitu hukijui mkuu,Sometimes ukifukuzwa kazi ujue unaweza kujifunza jambo then ukaja kushukuru kupoteza kazi yenyewe
Kuna mshikaji mmoja alikuwa jeuri sana kwa mabosi zake. Alikuwa ana uwezo wa kujibu nyodo anavyojisikia. Hapo ni kazi anafanya Serikalini. Baadae mambo ya dharau yalivyozidi waliamua kumuhamisha na akawekwa chini ya mtu ambapo pamoja na dharau zake alikuwa hawezi kufurukuta. Na ajabu zaidi hakupewa JD yoyote akabaki anauza sura tu ofisini. Baada ya miezi kadhaa akaamua kuacha kazi na kwenda kwenye kampuni nyingine. Hiyo kampuni akahama tena akapata nyingine. Kabla hajaanza hiyo kampuni ya nyingine ikabidi wafuatilie background ya jamaa kote alipopita. Walimchafua vibaya sana.Nimeshuhudia mtu akidharauliwa na ki secretary kimoja hivi cha serikalini nkatafakari sana
Hizi ndiyo nyuzi sasa big man ndiyo mara ya kwanza kwa mwaka huu nasoma uzi umejaa points toka mstari wa kwanza mpaka wa mwishoHabari wakuu!!
Huu ni ushauri kwa watu wote waliopo kwenye ajira sehemu mbali mbali serikalini au makampuni binafsi n.k,
Haiijarishi wewe ni polisi, mwanajeshi, Mwalimu, daktari, mhasibu, sekretari, mwandishi wa habari, kiongozi wa kisiasa, Modetator JF n.k hata kama unalipwa elfu moja kwa siku, heshimu sana kazi yako na ipende kama unavyompenda mke wako au watoto wako.
Siku ukipoteza hiyo kazi sio ajabu kujikuta unapoteza na vitu vingine vya muhimu kama vile mke, heshima, marafiki ndugu hata biashara uliyoamua kuianzisha nayo ikafa kifo cha mende,
Hakuna watu wanafiki kama walio maofisini, hakikisha hupotezi kazi baki huko huko na wanafiki wenzio maana siku utakapopoteza kazi hakuna atalayehangaika na wewe hapo ofisini kwako ulipo sasa ama huko utakakokuwa unapereka vyeti na CV zako narudia tena hskuna atakayehangaika nawewe,
Siku ukitaka kujitolea watapokea CV zalo ulizotype na kuprint kwa pesa ya msaada kama umezipereka private watakuambia watakupigia simu na hiyo ndio bye bye, kama ni serikalini hayupo mkurugenzi, au mkuu yeyote atakayehangaika na makaratasi yako yatawekwa kwenye faili yaungane na barua za wenzako za mwaka juzi ambazo hazijajibiwa,
haijarishi unalipwa laki moja au mbili kwa mwezi, haijarishi unalipwa mamilioni, haijarishi unatembea kwenye gali zuri la serikali au kampuni, nguvu uliyonayo sasa ndiyo inayokufanya uheshimike na kuchangamkiwa unapokwenda kikazi kwenye taasisi zingine,
UMASIKINI HAUNA TOFAUTI NA MAKALIO YA MBWA!
Wasio na kazi au ajira hawajapenda au kutaka wawe hivo bali ni competition kali iliyopo mitaani
kijana kama wewe ni boda boda umeoa unawatoto na unarisha familia heshimu sana hiyo kazi
Mwenye macho na asome kisha atafakari
Nawasilisha.
PointMara nyingi ni somo kuhusu mke ulieoa😅 na marafiki waliokuzunguka!
Nyuzi imekuja wakati muafakaHizi ndiyo nyuzi sasa.big man.ndiyo mara ya kwanza kwa mwaka huu nasoma uzi umejaa points toka mstari wa kwanza mpaka wa mwisho
Na akifika ofisini muda wa lunchtimeEeh mzee baba usiombe, ukiwaza unatakiwa uanze kuchoma mahindi stand wakati ulikuwa unarudishwa kibosi na Prado lenye namba SU mtaani kwako basi unaona wacha nitulie kwenye kochi nitafakari cha kufanya kwanza😅 huku wife yeye akiwasha IST yake na kwenda zake Access bank kila panapokuchwa
Sibishani Mpwa wala sikatai ila naamini kwamba kila binadamu ana uwezo wa ku--survive kutokana na mazingira! Kikubwa usikate tamaaa. Mimi ni mfanoKuna kitu hukijui mkuu,
Nitaleta uzi kuelezea,
kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ugumu wa kimaisha ndio unakuwa imara zaidi
just imagine enzi zile form four candidate mwenye division four anahitimu chuo cha ualimu Singida na kupangiwa ajira moja kwa moja bila hata kuaply
Leo hii unaonaje mziki wa ajira