Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Haya mambo hayana formula lakini odd kubwa za kuchapiwa zimelala kwa watu waliiooa watumishi, yaani 60% Huwa ni dhaifu saana so kupigiwa ni kugusa tu.

Imani yangu inaniambia kwamba Mwanamke hawezi kucheat kwa bahati mbaya yaani lazima kuwepo na sababu ya yeye kucheat, lazima atengenezewe ukaribu/mazingira.

Nilikua naperuzi nikavutiwa na hii story nadhani itawafundisha na kupata mwanga.

Screenshot_20231228-204117.png
Screenshot_20231228-204155.png
Screenshot_20231228-204218.png
Screenshot_20231228-204247.png


Kama umeoa Mwanamke Mfanyakazi kwa ajili ya kusaidiana kimaisha, hakuna rangi hutoacha kuiona kwenye hiyo ndoa, oa Mwanamke uliempenda, huku makazini unashangaa tu mke wako kila seminar yupo, trip za kutosha mara dodoma wewe umekaa tu hapo sebuleni shtuka mzee.
 
Back
Top Bottom