o_2
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 428
- 385
Unatumia kinywaji gani laini mama? Nunua hapo naja kulipia.Siku mtakayojua kucheat ni tabia sio kazi mtakuwa mmechelewa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia kinywaji gani laini mama? Nunua hapo naja kulipia.Siku mtakayojua kucheat ni tabia sio kazi mtakuwa mmechelewa sana.
Inasikitisha sana...Kucheat ni tabia ya mtu!
Ila huyo ya kumuachia mwanamke kila kitu na mimi kwenda kuishi kwa tabu na maumivu kwa makosa ya mtu mwingine kwangu hapana.
Yeye ndio ataondoka na hilo begi la nguo tu sio mimi.
Ntasepa ila na vitu vyangu, hasira za kupiga na kuua hizo sina.Hao ffu kukutoa roho au kukupa kesi ni kugusa tu...heri usepe