Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

Kama ww unachepuka amini amini na kwambia na mkeo anachepuka!
Na lazima kuna siku utajua hata kama ndo siku ya mwisho unapelekwa kaburini.
Kifupi malipo ni hapa hapa!!!.
Badilika ili abadilike
Jidanganye mzee, Mwanamke kama tabia yake ni kuchepuka hata uwe mchungaji ushinde kanisani atakazwa tu.
 
Bora umemuacha,achezee za maafande wenzake hadi basi,huyo mwanao atakua anaambiwa tu,msalimie anko.... kwa kila kidume atakayekua anakuja kuchakatia humo ndani.
 
Haya mambo hayana formula lakini odd kubwa za kuchapiwa zimelala kwa watu waliiooa watumishi, yaani 60% Huwa ni dhaifu saana so kupigiwa ni kugusa tu.

Imani yangu inaniambia kwamba Mwanamke hawezi kucheat kwa bahati mbaya yaani lazima kuwepo na sababu ya yeye kucheat, lazima atengenezewe ukaribu/mazingira.

Nilikua naperuzi nikavutiwa na hii story nadhani itawafundisha na kupata mwanga.

View attachment 2855892View attachment 2855894View attachment 2855895View attachment 2855896

Kama umeoa Mwanamke Mfanyakazi kwa ajili ya kusaidiana kimaisha, hakuna rangi hutoacha kuiona kwenye hiyo ndoa, oa Mwanamke uliempenda, huku makazini unashangaa tu mke wako kila seminar yupo, trip za kutosha mara dodoma wewe umekaa tu hapo sebuleni shtuka mzee.
[emoji23][emoji23]
Ukila juwa na wewe kuna kiliwa.
 
Wanaume nao wana matatizo sana. Ukiwa naye pekeeake anakuona una mikosi hutongozwi. Ukitongozwa anakuona malaya.
Sasa sijui wanatakaga nini?
Dawa ni kuwa na wengi,na ikiwezekana usioolewe,ubaki nikubadilisha tu,ili uonekane unapendwa.
 
Wanawake ukipata aliyetulia shukuru Mungu,ila hata mama wa nyumbani ukimuacha nyumbani huko kwenye mishemishe muuza genge,mpaka rangi kucha na bodaboda wanakuja kumla kitandani kwako sembuse huyo FFU?Nilichobaini Wazee wetu walikuwa wanawafunga mama zetu,anaondoka mwaka akirudi anakuta hana hata wazo la kucheat.
 
Hizo ndio fikra za vijana wetu dunia inazidi kupoteza wanaume
 
Muwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
Unaweza Kuta mwenye hii comment ana mabwana zaid ya mmoja.
 
Mbna kama kinyonge sasa unaondokaje na nguo na unaacha mtoto na makaz na husemi sababu nn, au mwanamke ndo alikuaa mpango mzima kwenye maisha yao....
 
Afsnye kazi, awe mama wa, nyumbani,kugongewa, kupo palepale,
Niliishi, mtaa, mmoja, nipo ki bachela, jamaa mmoja, na, mke wake, tumepanga wote, jamaa ni muuza mitumba, kipindi hicho, napiga mishe zangu za, migodini, mke, wake alitokea kunipenda balaa, jamaa yake, tangu na hamia pale, tulikuwa, kama, paka na panya, hatusalimiani kabisa, mke wake, alinipenda balaa, ilifikia point, akahama nyumbani, thank god, mi nimcha Mungu, bila hivyo ningempelekea moto, na, jamaa angelea watoto wasio wake
 
Hivi kuna maumivu kama kutafuniwa mkeo.... Dah... Mana ukimuona ukimfikiria unaona kabisa alivyokua anakunjwa anavyolia kwa .... Dah...
.
IMG_20240107_141751.jpg
 
Back
Top Bottom