Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

Muwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
Nyie wanawake kwani huwa mnaeleweka basi?!.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo hayana formula lakini odd kubwa za kuchapiwa zimelala kwa watu waliiooa watumishi, yaani 60% Huwa ni dhaifu saana so kupigiwa ni kugusa tu.
Imani yangu inaniambia kwamba Mwanamke hawezi kucheat kwa bahati mbaya yaani lazima kuwepo na sababu ya yeye kucheat, lazima atengenezewe ukaribu/mazingira.

Nilikua naperuzi nikavutiwa na hii story nadhani itawafundisha na kupata mwanga.

View attachment 2855892View attachment 2855894View attachment 2855895View attachment 2855896
Kama umeoa Mwanamke Mfanyakazi kwa ajili ya kusaidiana kimaisha, hakuna rangi hutoacha kuiona kwenye hiyo ndoa, oa Mwanamke uliempenda, huku makazini unashangaa tu mke wako kila seminar yupo, trip za kutosha mara dodoma wewe umekaa tu hapo sebuleni shtuka mzee.
Mwanaume mwenye Akili Timamu hawezi Kuumizwa Kugongewa Mkewe kwani Kugongewa Mke ni jambo la kawaida na la lazima katika Maisha ya Wanandoa wowote.

Tujikite zaidi katika kutafuta Fedha na siyo huu Utoto wa Kulia lia Mitandaoni na katika Jamii tunaoishi kuwa Tunagongewa Wake zetu. Wewe una uhakika kuwa nawe Hugongi Wake za Watu?
 
Wanaume nao wana matatizo sana. Ukiwa naye pekeeake anakuona una mikosi hutongozwi. Ukitongozwa anakuona malaya.
Sasa sijui wanatakaga nini?
JF ina balaa siku hizi..hao wanaume zenu mnawapata wapi nyie?Kwamba sisi wanaume huwa tunauliza wake zetu kama wametongozwa ama...??Au unatembea muda wote na huyo mwanaume wako kama kumbikumbi kiasi kwamba unapotongozwa anakuwepo...??
Hili balaa sasa
 
Usipende sana kumuamini mwanamke hata kama ni mkeo, tegemea tu ipo siku atagongwa kama wewe ulivyomtongoza mara ya kwanza na kumgonga. Cha msingi ukigundua anakucheat, usimuulize ila usimpe tena uroda, wewe kazana na kugonga wengine huko nje atakuja kujiuliza tu kuna nini hapa na kuacha mara moja. Ukiwa na roho ngumu kama yangu, akikuuliza unamwambia ukweli kisha unampa talaka. Lazima tu atajiona mdogo na pengine hata kujiua.
Mh....sio rahisi kihivyo aiseee....
 
Haya mambo hayana formula lakini odd kubwa za kuchapiwa zimelala kwa watu waliiooa watumishi, yaani 60% Huwa ni dhaifu saana so kupigiwa ni kugusa tu.

Imani yangu inaniambia kwamba Mwanamke hawezi kucheat kwa bahati mbaya yaani lazima kuwepo na sababu ya yeye kucheat, lazima atengenezewe ukaribu/mazingira.

Nilikua naperuzi nikavutiwa na hii story nadhani itawafundisha na kupata mwanga.

View attachment 2855892View attachment 2855894View attachment 2855895View attachment 2855896

Kama umeoa Mwanamke Mfanyakazi kwa ajili ya kusaidiana kimaisha, hakuna rangi hutoacha kuiona kwenye hiyo ndoa, oa Mwanamke uliempenda, huku makazini unashangaa tu mke wako kila seminar yupo, trip za kutosha mara dodoma wewe umekaa tu hapo sebuleni shtuka mzee.
Kungongewa ni kitu Cha kawaida kwasababu ngono hanyimwi mtu
 
Mwanaume mwenye Akili Timamu hawezi Kuumizwa Kugongewa Mkewe kwani Kugongewa Mke ni jambo la kawaida na la lazima katika Maisha ya Wanandoa wowote.

Tujikite zaidi katika kutafuta Fedha na siyo huu Utoto wa Kulia lia Mitandaoni na katika Jamii tunaoishi kuwa Tunagongewa Wake zetu. Wewe una uhakika kuwa nawe Hugongi Wake za Watu?
Hapana sijawai kufanya hivyo
 
Hakuwahi kuwa wake huyo..
Na inaweza ikawa ndo wale sogea tuishi, most likely hata mahari alikuwa hajatoa.

Mwanamke anaye cheat na anafanya juhudi ujue anakucheat sio wako.

Alifanya maamuzi murua kabisa kujiondokea.
Angempiga hata jiwe la uso kidogo, maana hizo ni dharau
 
Mwanaume mwenye Akili Timamu hawezi Kuumizwa Kugongewa Mkewe kwani Kugongewa Mke ni jambo la kawaida na la lazima katika Maisha ya Wanandoa wowote.

Tujikite zaidi katika kutafuta Fedha na siyo huu Utoto wa Kulia lia Mitandaoni na katika Jamii tunaoishi kuwa Tunagongewa Wake zetu. Wewe una uhakika kuwa nawe Hugongi Wake za Watu?
Mke kuliwa sio kitu cha kawaida bora ungesema mpenzi ila mke aseh hapana na mwanamke akicheat hafai kusamehewa ht x1
 
Wanaume mnaolia kila siku hapa kisa mapenzi mnatutia aibu sisi wengine

Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake na wao wanajua

Kuoa sio sababu, mwanaume angalau inabidi uwe na wanawake watatu, kila mmoja awe mbdala wa mwenzake na mdogo zaidi yake

Huwezi basi wawe wawili. Unakua na mmoja kama taa ya treni bila fall back utakufa au kuozea jera

Mwanamke aki cheat inauma kwasababu tofauti na mwanaume a cheat tu kwa starehe anapeleka na moyo wake wote

So make sure anajua hayupo peke yake wakati huo unahakikisha bado kuna plausible deniability
Comment hii imemaliza yote hakuna haja ya watu kuendeleza mjadala [emoji724]
 
KANUNI NI HII, ULIMKUTA KATUMIKA. ATAENDELEA KUTUMIKA
HIZO KANUNI SIJUI ZA MFANYIE HIVI, FANYA VILE, NI ZA KUJIFARIJI.

KUNA WATU MNAOA WAKE ZA WENZENU BILA KUJUA.
 
😅🤗
Ooh Kaka wetu wa jukwaa ya burudani, naandika mwenyewe. Hivi nakosea nini haswa mie naona poa tu sababu ni Mimi nipo hivi humu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣haya bhana ila unanifurahisha sana comments zako.
 
Mambo yaboucheat ni ya wazungu sisi huku mwanaume ni WA wote yaani ni WA yeyote.
 
Wanaume mnaolia kila siku hapa kisa mapenzi mnatutia aibu sisi wengine

Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake na wao wanajua

Kuoa sio sababu, mwanaume angalau inabidi uwe na wanawake watatu, kila mmoja awe mbdala wa mwenzake na mdogo zaidi yake

Huwezi basi wawe wawili. Unakua na mmoja kama taa ya treni bila fall back utakufa au kuozea jera

Mwanamke aki cheat inauma kwasababu tofauti na mwanaume a cheat tu kwa starehe anapeleka na moyo wake wote

So make sure anajua hayupo peke yake wakati huo unahakikisha bado kuna plausible deniability
NAKAZIA!!
 
Back
Top Bottom