Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
NakaziaaaYour dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaaaYour dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
Visingizio tu hivi.Muwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
Anaoa ''askali'' hajui huwa wana shift ya kusafirisha ''siraha''?Yaani jitu limalaya halafu unaogopa kuwaambia kwao? Sasa yeye utamuumiza vipi bila kuyamwaga kwao wajue wana litoto malaya?
Umesema kweli kabisa. Na mbaya zaidi vidume vyote vinavyolialia namna hii ndiyo vinaongoza kwa kuchepuka. Hili mimi huwa nashindwa kuelewa. Mwanaume unakuta anatongoza kila mwanamke anayekutana naye halafu anategemea wa kwake awe salama.Inferiority complex inawasumbua baadhi ya wanaume.
Mwanamke kufanya kazi havihusiani na kucheat.
Hao mnaowaacha majumbani mbona wanaliwa sana na wapangaji wenzenu + wauza genge na bodaboda.
Wanajijua wao wahuni ndio maana wanaona kila mtu ana tabia kama zaoUmesema kweli kabisa. Na mbaya zaidi vidume vyote vinavyolialia namna hii ndiyo vinaongoza kwa kuchepuka. Hili mimi huwa nashindwa kuelewa. Mwanaume unakuta anatongoza kila mwanamke anayekutana naye halafu anategemea wa kwake awe salama.
Saa 3 hii usiku unafnya nn Jf na n mke wa mtu.Wewe una yako sasa, mi mbona sicheat?
Mwanamke akianza kubadilika na wewe mwanaume badilika uanze kumla kisamvuInferiority complex inawasumbua baadhi ya wanaume.
Mwanamke kufanya kazi havihusiani na kucheat.
Hao mnaowaacha majumbani mbona wanaliwa sana na wapangaji wenzenu + wauza genge na bodaboda.
Hahaaa haaaa kwenye semina huko wanabanjuana mbaya sana,Haya mambo hayana formula lakini odd kubwa za kuchapiwa zimelala kwa watu waliiooa watumishi, yaani 60% Huwa ni dhaifu saana so kupigiwa ni kugusa tu.
Imani yangu inaniambia kwamba Mwanamke hawezi kucheat kwa bahati mbaya yaani lazima kuwepo na sababu ya yeye kucheat, lazima atengenezewe ukaribu/mazingira.
Nilikua naperuzi nikavutiwa na hii story nadhani itawafundisha na kupata mwanga.
View attachment 2855892View attachment 2855894View attachment 2855895View attachment 2855896
Kama umeoa Mwanamke Mfanyakazi kwa ajili ya kusaidiana kimaisha, hakuna rangi hutoacha kuiona kwenye hiyo ndoa, oa Mwanamke uliempenda, huku makazini unashangaa tu mke wako kila seminar yupo, trip za kutosha mara dodoma wewe umekaa tu hapo sebuleni shtuka mzee.
PUMBAMuwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.