Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Hapo kazingua, ni dhaifu kwanza kukimbia nyumba bila ya kusema chochote au alimuogopa mke wake ni FFU? 😃😃Yaani jitu limalaya halafu unaogopa kuwaambia kwao? Sasa yeye utamuumiza vipi bila kuyamwaga kwao wajue wana litoto malaya?
Bado haitasaidia kama ataamua kukucheat atakucheat tu ndio tabia yakeMuwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
NAKAZIAkucheat ni tabia
Muwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
Itoshe kusema unachekeshaKugongewa kunatuumiza Sana Sisi masikini lakini mtu mwenye pesa zake na Miradi hawezi kuumia eti kisa kugongewa
Tukujengee sanamu.Siku mtakayojua kucheat ni tabia sio kazi mtakuwa mmechelewa sana.
Sema hii tabia inawakumba saana wanawake weupeSiku mtakayojua kucheat ni tabia sio kazi mtakuwa mmechelewa sana.
Jamaa boya kweli ndio maana alikondeana. Hapo ni kuyamwaga tu kwa wazazi wake halafu unasepa.Yaani jitu limalaya halafu unaogopa kuwaambia kwao? Sasa yeye utamuumiza vipi bila kuyamwaga kwao wajue wana litoto malaya?
Wewe una yako sasa, mi mbona sicheat?Sema hii tabia inawakumba saana wanawake weupe
Mbona unatusemea sisi matajiri, nani alikuambia hivyo kwamba hatuumii kuchapiwa?Kugongewa kunatuumiza Sana Sisi masikini lakini mtu mwenye pesa zake na Miradi hawezi kuumia eti kisa kugongewa