Kama umeona mwenye hulka/tabia mojawapo kati ya hizi, basi mkeo ni kahaba, na anayafanya haya kuvutia wanaume wengine. Fukuza kabla mambo hayajakuharibikia:-
1. Anabandika kope, nyusi, kucha na kuvaa mawigi. Unadhani anambandikia nani?
2. Anavaa nguo za kubana ama zinazoonesha maungo ama nguo za ndani (see through clothing). Unadhani anamuonesha nani maungo yake?
3. Ana makolokolo mengi kwenye dressing table yake. Anajiremba kwa ajili ya nani?
4. Anafuga kucha ndefu. Anafuga ili iweje?
Wa nini mke wa aina hii? Tafuta mke mwenye tabia na hulka njema ambaye hana makuu. Akioga anapaka mafuta yake ya mgando huyo anaondoka.
Endelea kushupaza shingo. Unachapiwa!
1. Anabandika kope, nyusi, kucha na kuvaa mawigi. Unadhani anambandikia nani?
2. Anavaa nguo za kubana ama zinazoonesha maungo ama nguo za ndani (see through clothing). Unadhani anamuonesha nani maungo yake?
3. Ana makolokolo mengi kwenye dressing table yake. Anajiremba kwa ajili ya nani?
4. Anafuga kucha ndefu. Anafuga ili iweje?
Wa nini mke wa aina hii? Tafuta mke mwenye tabia na hulka njema ambaye hana makuu. Akioga anapaka mafuta yake ya mgando huyo anaondoka.
Endelea kushupaza shingo. Unachapiwa!