Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Kama umeona mwenye hulka/tabia mojawapo kati ya hizi, basi mkeo ni kahaba, na anayafanya haya kuvutia wanaume wengine. Fukuza kabla mambo hayajakuharibikia:-
1. Anabandika kope, nyusi, kucha na kuvaa mawigi. Unadhani anambandikia nani?
2. Anavaa nguo za kubana ama zinazoonesha maungo ama nguo za ndani (see through clothing). Unadhani anamuonesha nani maungo yake?
3. Ana makolokolo mengi kwenye dressing table yake. Anajiremba kwa ajili ya nani?
4. Anafuga kucha ndefu. Anafuga ili iweje?
Wa nini mke wa aina hii? Tafuta mke mwenye tabia na hulka njema ambaye hana makuu. Akioga anapaka mafuta yake ya mgando huyo anaondoka.
Endelea kushupaza shingo. Unachapiwa!
Ni kweli mkuu, unaemuona kabla ya ndoa ndiye yeye halisi maana kama angeona anastahili kubadilika kwa ajili yako angefanya hivyo kabla ya ndoa. Ila kuitumia ndoa kama kigezo cha mabadiliko kwa mtu ambaye haoni thamani au umuhimu wako ni kujipa false hopesVijana ni wapumbavu sana, wana msemo wao wa kuhalalisha red flags za .wanamke eti wanasema mapenzi hayana formula.
When we tell them judge a woman harshly based on her past they think we are joking.
Whatever you torelate while dating will multiply 10x in marriage. Marriage doesn't fix disfunction, it reveals it all.
Marry reality and not potential
Avutie na amvute nani wakati kishaolewa??Mm ninachojua ulivyotaja ni urembo wa kumfanya mwanamke au binti yeyote apendeze zaidi ....... au kumfanya avutie zaidi ya alivyokuwa mwanzo.....
Ananivutia Mimi na pia hawezi enda sehem km sherehe bila kuwa smartAvutie na amvute nani wakati kishaolewa??
Vaisi vesa ni kweli.Mke wa nani?
Sihitaji na wala sina mpango wa kuoa
5. Ana TattooKama umeona mwenye hulka/tabia mojawapo kati ya hizi, basi mkeo ni kahaba, na anayafanya haya kuvutia wanaume wengine. Fukuza kabla mambo hayajakuharibikia:-
1. Anabandika kope, nyusi, kucha na kuvaa mawigi. Unadhani anambandikia nani?
2. Anavaa nguo za kubana ama zinazoonesha maungo ama nguo za ndani (see through clothing). Unadhani anamuonesha nani maungo yake?
3. Ana makolokolo mengi kwenye dressing table yake. Anajiremba kwa ajili ya nani?
4. Anafuga kucha ndefu. Anafuga ili iweje?
Wa nini mke wa aina hii? Tafuta mke mwenye tabia na hulka njema ambaye hana makuu. Akioga anapaka mafuta yake ya mgando huyo anaondoka.
Endelea kushupaza shingo. Unachapiwa!
Mmmh nimecheka....Afghanistan tena si kuna wale mataleban wanajichaguliaga wanae mtakaHamna mwanaune tz hii ambaye hachapiwi mke au mwanamke bro usinidanganye.
Sehemu peke mke wako yupo salama ni afghanistan tuu. Bongo hii watu tunashare mbusush vizuri tuu
Wale hawagegedi hovyo hovyo.Mmmh nimecheka....Afghanistan tena si kuna wale mataleban wanajichaguliaga wanae mtaka
Kwa hiyo no.3 hakuna atakayebaki kwenye ndoa...Kama umeona mwenye hulka/tabia mojawapo kati ya hizi, basi mkeo ni kahaba, na anayafanya haya kuvutia wanaume wengine. Fukuza kabla mambo hayajakuharibikia:-
1. Anabandika kope, nyusi, kucha na kuvaa mawigi. Unadhani anambandikia nani?
2. Anavaa nguo za kubana ama zinazoonesha maungo ama nguo za ndani (see through clothing). Unadhani anamuonesha nani maungo yake?
3. Ana makolokolo mengi kwenye dressing table yake. Anajiremba kwa ajili ya nani?
4. Anafuga kucha ndefu. Anafuga ili iweje?
Wa nini mke wa aina hii? Tafuta mke mwenye tabia na hulka njema ambaye hana makuu. Akioga anapaka mafuta yake ya mgando huyo anaondoka.
Endelea kushupaza shingo. Unachapiwa!