Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆Unaoaje mwanamke anavaa wigi? anavaa rasta?
mwanamke anavaa suruali nguo za kubana halafu fupi?
Unaoaje mwanamke anapaka mkorogo anaji makeup daily? ili iweje?
Mwanamke haumwi macho ila kutwa kubadirisha miwani ili amtazame nani?
Hivi taaliban mnawaona wajinga sio?
Vijana mna akili sawasawa lakini?
I like this!Marry reality and not potential
Mwanaume wa pili ni wewe baada ya mimi G4NUnaoaje mwanamke anavaa wigi? anavaa rasta?
mwanamke anavaa suruali nguo za kubana halafu fupi?
Unaoaje mwanamke anapaka mkorogo anaji makeup daily? ili iweje?
Mwanamke haumwi macho ila kutwa kubadirisha miwani ili amtazame nani?
Hivi taaliban mnawaona wajinga sio?
Vijana mna akili sawasawa lakini?
Utanikumbuka siku mojaMtoa mada apuuzwe.
Hivi mwanaume mwenye Akili za hivi uwa ni wanaume kweli au kwa vile hatujuani hivi mwanaume huna wivU unapata wapi ujasiri wa kujitambulisha kwamba we ni wa kiume hivi hamjui vijana kwamba kila kitu kina sehemu yake yaani mkeo akivaa kikaaba kwamba fresh haina shida ila poa hapa ndo duniani.Hata akiwa ananyoa denge mzee akiamua kuliwa ataliwa tu
Mtoa Mada ni Mshamba sana LIMBUKENIMwenye hulka/tabia mojawapo kati ya hizi mkeo ni kahaba, na anayafanya haya kuvutia wanaume wengine. Fukuza kabla mambo hayajakuharibikia:-
1. Anabandika kope, nyusi, kucha na kuvaa mawigi. Unadhani anambandikia nani?
2. Anavaa nguo za kubana ama zinazoonesha maungo ama nguo za ndani (see through clothing). Unadhani anamuoneaha nani maungo yake?
3. Ana makolokolo mengi kwenye dressing table yake. Anajiremba kwa ajili ya nani?
4. Anafuga kucha ndefu. Anafuga ili iweje?
Wa nini mke wa aina hii? Tafuta mke mwenye tabia na hulka njema ambaye hana makuu. Akioga anapaka mafuta yake ya mgando huyo anaondoka.
Endelea kushupaza shingo. Unachapiwa
Haya. Siku moja utakuja na uzi hapa ukilalama kuwa umechapiwa.Qc
Mtoa Mada ni Mshamba sana LIMBUKENI
Mwamba kama kawaWhen we tell them judge a woman harshly based on her past they think we are joking.
Whatever you torelate while dating will multiply 10x in marriage. Marriage doesn't fix disfunction, it reveals it all.
Mke wa nani?Hivi mwanaume mwenye Akili za hivi uwa ni wanaume kweli au kwa vile hatujuani hivi mwanaume huna wivU unapata wapi ujasiri wa kujitambulisha kwamba we ni wa kiume hivi hamjui vijana kwamba kila kitu kina sehemu yake yaani mkeo akivaa kikaaba kwamba fresh haina shida ila poa hapa ndo duniani.
Kama huwezi kuwaoa, kwa nini uwape watoto mzigo wa kuwa na mama wa aina hizo?Hao huwa nazaa nao tu, ila huwa siwaoi
Mtu wa miaka 35+ unampaje mzigo?Kama huwezi kuwaoa, kwa nini uwape watoto mzigo wa kuwa na mama wa aina hizo?
Umeelewa swali?Mtu wa miaka 35+ unampaje mzigo?